Kwa mdomo wake alisema ana miaka kumi na nane. Sasa wewe kusema 17 unatafuta umaarufu? Kumbuka nguvu ya umma ipo against wewe! Ya ngoswe...............
Ndiyo mkuu nimekuelewa, kuna advantage/loophole flani nadhani kaiona katika kung'ang'ania kudai ana 17. Lakini kama ulivoasa hapo juu ikibainika anadanganya umri itaibua jingine. Na kuna clues: anaendesha gari possibly ana leseni ambayo wanapewa watu wazima tu hapa kwetu ni 18, see? Hii ni mojawapo tu zipo loopholes kibao zitazomexpose
Tatizo Lulu mwenyewe aliukana sana utoto wake ili aweze kuruhusiwa kuingia kwenye nyumba za starehe. Sasa amepata matatizo anataka kuurudia utoto alioukana ili unsaidie. Kwa kweli anatia huruma sana.
iwe SCAPEGOAT,FRIMASONS,MIAKA 17.hivyo vyote havitaweza kuzuia mahakama kufanya kazi yake,sheria ni msumeno hukata pande zote.
kama hana hatia ama anahatia vyote hivyo haviwezi kuongelewa na wanaharakati,Mdee,wanaJF.Ni mahakama inayofuata sheria,taratibu na kanuni zake.
siko upande wa kanumba wala lulu,nachokisema tuache sheria ifanye kazi yake
Sipingi mahakama na ndo itaamua lakini Lulu anahitaji msaada wa kisheria kwani anaweza kufungwa kwa kushindwa kujitetea ndo hoja ya Mdee iko hapo.
Hayo yote ni majina ya vijiji.
Malehem iko Misri na Taalifa iko Irak.
Mdee anatafuta umaharufu kupitia LULU, kama ccm ulivyojitafutia umaharufu kupitia mazishi ya kanumba
If someone told you he/she had one hundred million shillings in his/her bank account but his/her bank statement showed he/she had only ten thousand shillings , which one is more authentic; what you were told or what you read from the bank statement?
Amekana umri na kusema ana 17, hiyo 18 amesema mnajua nyie
mdee anachemka....
mtoto wa babu seya alikaa segerea akiwa na miaka 17 tu... umri isiwe kigezo cha haki kutotendeka plus kuna ushahidi wa interview mbalimbali anaukana udogo hadharani na kusema she is 18 .. tuacheni mahakama iamue..
Amekana umri na kusema ana 17, hiyo 18 amesema mnajua nyie
Quote 'Kwa mdomo wake alisema ana miaka kumi na nane'
Je maandishi kwenye cheti chake cha kuzaliwa yakisomeka kumi na saba. Note: Kisheria maandishi yana nguvu zaidi.