Halafu hili la kusema anamiaka 17 mimi linanitia wasiwasi , maana kama ana vyeti na vikaonyesha anamiaka 18 itajenga picha mbaya kwenye kesi yake
Kuwa anajua alichofanya hivyo anadanganya umri kujilinda
Namtakia kila la heri aumalize mtihani huu salama
Kwani umri mdogo ndio kibali cha kuua na kutokutwa na hatia? Ok kumbe ukiwa under 18 unaweza ua na kuondoka scott free.
Kwa mdomo wake alisema ana miaka kumi na nane. Sasa wewe kusema 17 unatafuta umaarufu? Kumbuka nguvu ya umma ipo against wewe! Ya ngoswe...............
Hivi kumbe unaweza kuua na kutoa utetezi "umri wangu ni miaka 13 tu" na ukaachiwa huru? Ok, kumbe under 18 wako licensed to kill.
Yeah, hata Hospitali aliyozaliwa kuna taarifa za ukweli fuatilieni.
Watu wangapi wanatakiwa kuwa mapumzikoni lakini leo ni mawaziri wanaoongoza kupiga usingizi bungeni na hakuna anayewahoji,
Huwajui nikutajie??????????
Tyson Je?
NOPE kamanda, I don't mean that.....
Nakupa "home work"....find out why?.....what is the difference mtu anaposhitakiwa akiwa above 18 na under 18
Unadhani yeye mjinga kung'ang'ania ana miaka 17 na wakati birthday ya miaka 18 alisha fanya mwaka jana?
Bush lawyers wameisha mpa darasa
Jaribu kutumia akili zako zoote. Zikiisha ndipo uombe za wenzako. tetesi! si umuulize aliyekupa tetesi, by the way, is it bad or sin? Ni haki na ni maamuzi yake mwenyewe na hajakuomba pesa. Mwache
unatumia nini kusoma jf nikuelekeze sehemu ya kubonyeza upate space. Au ndio kigagagigikoko??
Unatumia nini kusoma JF nikuelekeze sehemu ya kubonyeza upate space. Au ndio KIGAGAGIGIKOKO??