Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Unaongelea fursa gani hapa maana fursa ninazo ziona niza kuimba bongo flava, kubeba unga na kutolewa kucha na meno bila ganzi.

Wachina, Wahindi, Wakenya, wanaziona, wewe una macho lakini hayaoni una masikio lakini hayasikii.

Na utabaki hivyo hivyo kulalama, kubwabwaja na kuhororoja kama walivyo wote wasioona. Wacha tunaoona na tunaosikia tuendelee kudeza na mifursa isiyo na mfano.
 
Wachina, Wahindi, Wakenya, wanaziona, wewe una macho lakini hayaoni una masikio lakini hayasikii.

Na utabaki hivyo hivyo kulalama, kubwabwaja na kuhororoja kama walivyo wote wasioona. Wacha tunaoona na tunaosikia tuendelee kudeza na mifursa isiyo na mfano.

Wahindi na wakenya wanaziona fursa kwasababu wanaelimu nzuri kuliko hii tunayoipata katika shule za kata. Wachina wanakuja na mitaji kutoka kwao na wanapewa mikopo ya rate nzuri ktutoka kwao china. Alafu mafisadi hupendelea kunya nao kazi kwasababu ya kuwatunzia siri zao za ufisadi na hawana uchumgu na hii nchi kama sisi wazalendo
 
na hii nini????????............. Hahahahahaha nyerere alijitahidi kwa nafasi yake lakini hali bado tete katika lugha yetu

Hahahaaa! Uko makini sana aiseee,atakua aliingia mjini kwa gari za ng'ombe huyo akaazamia.
 
Wachina, Wahindi,
Wakenya, wanaziona, wewe una macho lakini hayaoni una masikio lakini
hayasikii.

Na utabaki hivyo hivyo kulalama, kubwabwaja na kuhororoja kama walivyo
wote wasioona. Wacha tunaoona na tunaosikia tuendelee kudeza na mifursa
isiyo na mfano.

Ni kweli unachangamkia "mifursa" maana walivyokuchosha!?
 
Hakuna ubaya kwani kura husakwa sehemu nyingi sana ...CCM hukimbilia Sumbawanga na Mlingotini Bagamoyo....
 
Halima Mdee ni mbunge wa jimbo langu ameshindwa kuwasaidia wakazi wa Kawe.

Mdee alitoa ahadi kuwa utajenga soko la samaki Kawe na utajenga shule Kunduchi mtongani.

Mandazi road mashimo matupu hakuna mitaro kukimbilia Kanisani siyo dawa.

halima mdee, mbunge wa kawe kwa kifupi nina mashaka na mambo yake ki ufupi haeleweki vizuri kama walivyo wengi katika chama chao, wengi wao maisha ya ndoa zao na familia zao hayaeleweki eleweki, na mashaka kama tukiwapa nchi hawato tusaliti na kufanya ufisadi zaidi ya ccm.
 
halima mdee, mbunge wa kawe kwa kifupi nina mashaka na mambo yake ki ufupi haeleweki vizuri kama walivyo wengi katika chama chao, wengi wao maisha ya ndoa zao na familia zao hayaeleweki eleweki, na mashaka kama tukiwapa nchi hawato tusaliti na kufanya ufisadi zaidi ya ccm.

Viongozi wengi wazuri duniani wana migogoro katika ndoa zao !Kumbuka hatuchagui malaika kutuongoza bali wanadamu .Bila shaka ndoa nyingi za wana ccm zina migogoro mikubwa kuliko hata za UKAWA! Nani jasiri wa CCM mwenye ndoa salama ya mme mmoja na mke mmoja hata sasa;tena asiyechepuka nje ya ndoa yake ?! Watz tunafahamiana kwa kuwa na tatizo la kutotuza siri za ndoa nk !
 
Back
Top Bottom