Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."

Vipi Mnyika?!
mbona umesahau neno mwanamke, usipoliweka neno mwanamke haileti maana aliyokusudia yeye.
 
Nguvu ya umma, bila shaka uchaguzi ujao Gwajima atamsaidia chopa Halima Mdee kuruka nayo kwny kufanya kampeni
 
Siasa ni calculation,naona kamanda kishasoma upepo anaanza kukokotoa taratibu,ndugu zangu usingizini wakiibuka ni tshirt
 
kumbe Halima ni Mkristo!!!HIV CDM kuna waislam kweli?

Jesus Christ is FOR ALL NATIONS. Believe me ,all knees shall bow and tounges confess that Christ is the Lord!! wewe tu umebaki ndugu yangu... wahi neema bado ingalipo.
 
Mchungaji Gwajima ameahidi kumnunulia gari mpya mwimbaji John Lissu mbele ya umati wa waumini wake kanisani hapo. Amfananisha na John Lissu na Don Moen mwimbaji wa nyimbo za injili Marekani.
 
Mchungaji Gwajima ameahidi kumnunulia gari mpya mwimbaji John Lissu mbele ya umati wa waumini wake kanisani hapo. Amfananisha na John Lissu na Don Moen mwimbaji wa nyimbo za injili Marekani.


Kuna kitu anafunika apa!
 
Kwa Gwajima full digitali,watu wanasali wengine wako busy na simu na sosho netiweki
 
Mmefungulia bomba sasa mnalowana nyie mlianza kuumbwa midomo gwajima aliyeanza kuumbwa kichwa anasonga mbele wewe wabaki kulalama utabakia hapo hapo na laana iliyokushikiria
 
Hivi mume wa Rose Mhando ameruhusu mke wake aende kwa Gwajima kusali?

Isije ikawa kama ya IMA na Frola.
 
oyaaa wajomba namsikiliza gwajima aisee jamaa anaongelea nyota anawaponda viongozi wachawi wa serikali ambao ni washirikina duu jamaa haogopi huyu nawaza kama angekuwa msanii mbona serikali hamshitaki ipo kimya tuu au jamaa anawaambia ukweli nini ngoja niendelee kunote
 
Maskini weeeee dada halima kafata kachopa kwa gwajima,lazima ataliwa tuu Kama flora mbasha
 
Mbunge Halim Mdee bado yupo Mazabahuni......!!!!!!
duu kwa maneno ya gwajima hata mimi nahisi ningekaa jamaa anaujasili kweki kama injili basi huyu mwana noma angekuwa mwanasiasa huyu si mchezo anawachana wachawi haogopi duu mi siwezi aisee
 
gwajima hana lolote la uadilifu. kanisa lake kama kakobe ni kampuni ya kujipatia kipato kwa udanganyifu. baada ya kuwazuga wafuasi wao na kupata utajiri mkubwa uroho umewazidia. wanaona kwenye siasa kuna pesa zaidi.

Wafuasi wake hoi bini tabaani. Mungu na atusaidie
 
ok gwajima's senior correspondant ...tumekusikia
 
Back
Top Bottom