Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

MaCCM mnategemea mrembo Rita Mlaki afurukute 2015? acheni jazba bana Mtumishi wa Mungu anapoamua kusema ukweli ......
 
Na hii helikoputa lazima wenye wake wajiandae kisaikolojia.

na hii nini????????............. Hahahahahaha nyerere alijitahidi kwa nafasi yake lakini hali bado tete katika lugha yetu
 
Nimegundua sasa,Gwajima alikuwa akipakaziwa tuu.
Songa mbele gwajima,kalishe kondoo neno la Mungu wamjue Yesu
 
Wajinga ndio waliwao.

Kikwete alishaamuru shule zote, Tanzania nzima, ziwe na umeme haijapita hata miezi mitatu, Gwajima ana kopi.
 
gwajima hana lolote la uadilifu. kanisa lake kama kakobe ni kampuni ya kujipatia kipato kwa udanganyifu. baada ya kuwazuga wafuasi wao na kupata utajiri mkubwa uroho umewazidia. wanaona kwenye siasa kuna pesa zaidi.

Kwa nini ahusishwe na Kakobe? Ni watu tofauti mno mno sana. Utajiri wa Kakobe uko wapi?
 
Wajinga ndio waliwao.

Kikwete alishaamuru shule zote, Tanzania nzima, ziwe na umeme haijapita hata miezi mitatu, Gwajima ana kopi.

Utekelezaji umefikia wapi au unasua sua kama mahakama ya kadhi?
 
hongera sana Gwajima na mkakati wako. watanzania tuko pamoja nawe kuelekeza kuboresha maisha yetu
 
Maelfu ya watu wahudhuria leo kanisani kwa mchungaji Gwajima. Ibada hiyo iliyohudhuriwa na waimbaji nguli wa nyimbo za Injili Munishi

Waumini hao walilipuka kwa shangwe viwanjani hapo baada ya Rose Mhando kumuomba mchungaji Gwajima amruhusu kuhamia kanisani kwake.

Sasa Mbunge Halima Mdee amekaribishwa kuongea, nitaendelea kuwapa updates.
 
Nimegundua sasa,Gwajima alikuwa akipakaziwa tuu.
Songa mbele gwajima,kalishe kondoo neno la Mungu wamjue Yesu

MaCCM ndio zao ......si unajua walivyomfanyizia Kakobe pia? MaCCM break yao Kanisa Katoliki maana hata kwenye makanisa mengine makubwa wanaingilia hadi chaguzi za maaskofu lakini R.C wanakosa pakuwazima zaidi ya kutaka kuchonganisha udini kwa kivuli cha MaCCM .....
 
kazi ipo! wajingaaaaaa hawato isha labda bahari ikaukeeeeeee
 
Mheshimiwa Mdee, acha wakuandike sana mchungaji, lakini hapa mahali Mungu Yehova ana hubiriwa, amwaga hongera kwa mchungaji huyo kwa kumiliki helcopter
 

Attachments

  • 1407059101358.jpg
    1407059101358.jpg
    63 KB · Views: 644
Maelfu ya watu wahudhuria leo kanisani kwa mchungaji Gwajima. Ibada hiyo iliyohudhuriwa na waimbaji nguli wa nyimbo za Injili Munishi

Waumini hao walilipuka kwa shangwe viwanjani hapo baada ya Rose Mhando kumuomba mchungaji Gwajima amruhusu kuhamia kanisani kwake.

Sasa Mbunge Halima Mdee amekaribishwa kuongea, nitaendelea kuwapa updates.

ebanae kama vipi tupatie ripoti
 
Rose Mhando na umati uliojitokeza kanisani hapo.
 

Attachments

  • 1407059319912.jpg
    1407059319912.jpg
    39.2 KB · Views: 587
  • 1407059362348.jpg
    1407059362348.jpg
    96 KB · Views: 581
...

Gwajima kasema Zanzibar ipo lakini ipo na Serikali nyingine ambayo ni tata...

Ukweli mtupu;

Ukiangalia hili kwa makini utagundua Tanganyika imejivisha Na kujificha kwenye koti la muungano Na hivyo kuitawala zanzibar kiujanja ujanja
 
Back
Top Bottom