Mugishagwe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2006
- 299
- 58
Ndugu wana bodi naona joto linapanda lakini somo liko .Naombeni msaada wa kujua huyu Mtanzania mwenzetu aliye heshimika sana baada ya kufa hapo Tanzania alizikwa wapi ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Mkira said:Ndugu Mugwishage,
Unajua wahindi wa tanzania bado wanaona kuwa ni bora walete watu toka Pakistani kuja kufanya kazi za ulinzi kwenye godowns zao kuliko kuajiri mtanzania mweusi.
Wahindi hawa hawa wanaajiri graduate watanzania kwa shilling 60000/= kwa mwezi halafu anamuajri mhindi form six anamlipa laki tatu! !
Fikiraduni nadhani watu wa majuu husema.." nipe tano basi" ...sineni wala siongezi neno hapa...Ahsantefikiraduni said:Mzee Es,
....au nywele zake!.....Kwangu mimi hata awe mzungu ili mradi ana nia safi na mchapaka kazi nampa uongozi.........Samahani kwa kutofautiana na nyinyi. FD