Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Hata mama Rwakatare naye ni mchungaji kiongozi wa madhehebu ya kilokole. Kwa hiyo kumbe CCM ni chama cha walokole?Kumbe chadema ni chama cha walokole!
Hata mama Rwakatare naye ni mchungaji kiongozi wa madhehebu ya kilokole. Kwa hiyo kumbe CCM ni chama cha walokole?Kumbe chadema ni chama cha walokole!
Lakini hapo cha ajabu ni nini? mbona mnamuandaaaama dada wa watu...hivi hamna vitu vingine vya kufanya.......mimi sioni kama ni logic kumfuatilia Halima mdee katika harakati za maisha yake.......acheni wivuuuuuuu
Napata kumchukia Halima Mdee nilivyosikia alikuwa muislamu halafu akabadilika kuwa Mkiristu (kafiri), Ni bora angekuwa mkiristu toka mwanzo kuliko alivyobadili, lakini akiwa bungeni namind sana.,
Katika hali ya kutokutegemea, Halima Mdee kaamua kujisalimisha kanisani la Ufufuo na uzima lililopo Kawe.....
Anao uhuru kuabudu anachokipenda na kuona bora kwake na yuko comfortable na maisha ya kiroho kumchukia haitaondoa chochote hi ndo freedom of worship popote pale
Najaribu kumchunguza naona kama mchizi anasingiziwa yaan speech zake ni kali kweli jamaa anasema kweli haogopi serikali wala nini jamaa duu.....kama angekuwa amefanya yote hayo wasinge muacha huyu
yaaani wewe ndio hamnazo kabisa kumbe vita yote hii na mchungaji wa watu kumbe unamchukia kwa ajili ya udini.....akhagagfsfsdfc\'\[v[pd]w9q43423...
ni sawa she is free, lakin moto mkali unamgojea
wewe mwenye lolote lipi wivu wa kisenge kuona mtumishi ana maisha mazuri.gwajima hana lolote la uadilifu. kanisa lake kama kakobe ni kampuni ya kujipatia kipato kwa udanganyifu. baada ya kuwazuga wafuasi wao na kupata utajiri mkubwa uroho umewazidia. wanaona kwenye siasa kuna pesa zaidi.
ni sawa she is free, lakin moto mkali unamgojea
Fulo kampaisha Gwajima, sasa hivi atafikia level za Diamond kwa 'usukari wa warembo'
".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."
Vipi Mnyika?!
ndiyo Mbunge Mwanamke wa kwanza Tanzania na Dar es Salaam kutoka Upinzani kushinda Uchaguzi bila kutoa Rushwa.
A cha kuhukumu wewe ni mwanadamu kama sisi
Kwani we ni Mungu unaye judge watu kwenda au kutokwenda motoni
Wenzio waliogopa shule ili wasibailishwe dini,wengine waliogopa kwenda ktk jeshi kuwa wataliwa na makamanda wa Jeshi leo ni Mabrigadier, wengine waliwacheka sana walokole kuwa ni vichaa,sasa wana mifumo inayowapatia hel ahadi mnaita dini ni biashara...wanojifanya wapo concern sana Halima kuliwa walitaka wamle wao?Mbona Kombe anawala wake ,na mimama ya CCM imeliwa,ikajichubua misura imezeeka km turubai na mingine sasa inavaa jinsi ndani na si chupi tena.Haijawa nongwa?Sasa ndipo mtaona alichokiona 2015.Waumini waliopo pale na watakaokuwa influenced na hilo kanisa wanatosha decide ushindi.Ukijazia na wengine Mtajifuta vumbi na moshi wa mafuta ya kuchakachua sana.Gwajima ni wakugopa kama baba J.
Napata kumchukia Halima Mdee nilivyosikia alikuwa muislamu halafu akabadilika kuwa Mkiristu (kafiri), Ni bora angekuwa mkiristu toka mwanzo kuliko alivyobadili, lakini akiwa bungeni namind sana.,