Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Naam, leo hii kila Mtanzania ana maisha bora na fursa nyingi sana kuliko ilivyokuwa miaka 9 nyuma. Labda awe mgonjwa wa akili, mzee sana ambae wanawe, ndugu, jamaa na marafiki wamemtupa au ni mvivu wa kutupwa.

Unaongelea fursa gani hapa maana fursa ninazo ziona niza kuimba bongo flava, kubeba unga na kutolewa kucha na meno bila ganzi.
 
Bali utafuteni kwanza ufalme wa gwajima na mali zake.....na hayo mengine yooote mtazidishiwa
 
Halima ni kama ameongea pumba za umiliki wa helkopta
 
Hata wangewapeleka nyikani bado sauti zao zitafika mijini.

Wanadhani wanadhoofisha upinzani kumbe wanawasaidia kufahamika zaidi.

ccm haipo tena. Kimebaki kikundi cha umoja wa majambazi.


Nasikia serikali ya MaCCM wanataka kumtoa Gwajima pale viwanja vya Kawe kutokana na msimamo wake wa kuunga mkono harakati nyingi za upinzani na hasa uswahiba wake na Dr Slaa ......MaCCM acheni visasi nyakati hizi zilizojaa uwazi bana ......
 
".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."

Vipi Mnyika?!

Soma between lines, usikurupuke ka unaoga nje....au ww ndo unaijua sana jinsia ya Mnyika?

Kasema "..mbunge mwanamke....."
 
wazipige kisa nini?mbona unamuaibisha Mdee?,unaonekana mjinga kwa kupost ujinga humu sasa kamanda mdee hapo anahusikaje?au mnataka kumpakazia kama mlivo fanya kwa hao wengine? mdee anaulinzi kijana kuwa makini.....leta hoja za msingi kama umekosa kazi soma magazeti ya udaku ucheke.....

Dogo sio lazima uniquote na uhuru wa kuandika nitakacho,hayo magazet ya udaku kasome we na bwanako niteme kama vipiiii una kiherehere kama baba mwenye nyumba anadai pesa ya pango mfyuuuuuu
 
Halima Mdee ni mbunge wa jimbo langu ameshindwa kuwasaidia wakazi wa Kawe.

Mdee alitoa ahadi kuwa utajenga soko la samaki Kawe na utajenga shule Kunduchi mtongani.

Mandazi road mashimo matupu hakuna mitaro kukimbilia Kanisani siyo dawa.
 
Quran takatifu ''Na asiyetaka dini isiyokuwa ya uislamu malipo yake ni moto''

Hivi unafikiri wote wanatumia na kuamini qurani yenu na uislamu wengine hata hawajui Mungu tu ndo anayeweza kuhukumu basi hizo nyingine bwebwe kwa sababu we all humans being ku nyoosheana vidole sijui ninachoabudu ni perfect utakuwa ujui kuwa hamna dini bora kuliko nyingine hapa duniani
 
Wewe ni mpelelezi ulie ingia kanisani kupepeleza Uhuru wa Kiristo kwanini useme sio hali ya kutarajiwa Halima kuingia kanisani alie kwambia kanisani ni kwa Fulani nani,wewe unajipendeka kwa wanadamu na umejjtengenezea mtego utakao kunasa mwenyewe.
 
Ajenge soko na barabara kwani ni yeye anayekusanya kodi yako? alitoa ahadi hiyo iwapo chadema wangechukua nchi tafakari kwa kutumia bongo bhana!
 
Ajenge soko na barabara kwani ni yeye anayekusanya kodi yako? alitoa ahadi hiyo iwapo chadema wangechukua nchi tafakari kwa kutumia bongo bhana!

Hakusanyi kodi ila anasimamia kodi inayokusanywa utumike ipasavyo! Kama unakumbuka jimbo lake lilikuwa linakusanya kodi ya mill 9 kwa mwaka jimbo lilivyokuwa chini ya CCM. Unajua saivi wanakusanya kiasi gani??
 
Back
Top Bottom