Wajinga ndio waliwao.
Kikwete alishaamuru shule zote, Tanzania nzima, ziwe na umeme haijapita hata miezi mitatu, Gwajima ana kopi.
uko wapi? huo umeme wewe mburulara!!!!!!
Wajinga ndio waliwao.
Kikwete alishaamuru shule zote, Tanzania nzima, ziwe na umeme haijapita hata miezi mitatu, Gwajima ana kopi.
mbona umesahau neno mwanamke, usipoliweka neno mwanamke haileti maana aliyokusudia yeye.
Jesus Christ is FOR ALL NATIONS. Believe me ,all knees shall bow and tounges confess that Christ is the Lord!! wewe tu umebaki ndugu yangu... wahi neema bado ingalipo.
halikuwepo wakati na kopi hiyo sentesi
Shusho huwa namtamani sana.
Hivi mume wa Rose Mhando ameruhusu mke wake aende kwa Gwajima kusali?
Isije ikawa kama ya IMA na Frola.
Wafuasi wake hoi bini tabaani. Mungu na atusaidie
mkuu kwahiyo unataka kuliwa wewe.
anaona donge anataka anashindwa sema
huu upuzi peleka kule kwa shigongo lete fact ya hayo uliyo andika !!!!
".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."
Vipi Mnyika?!
".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."
Vipi Mnyika?!
Wajinga ndio waliwao.
Kikwete alishaamuru shule zote, Tanzania nzima, ziwe na umeme haijapita hata miezi mitatu, Gwajima ana kopi.
".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."
Vipi Mnyika?!