Halima Mdee aachiwa huru

Halima Mdee aachiwa huru

kadili ya sheria za kijeshi amri ya mwisho ndo inatekelezwa hivyo watanzania wenzangu tujitaidi kuwa waelewa tunapo tangaziwa kitu,askari polisi anapo ambiwa maandamano yasifanyike ni kwa njia yoyote ile inabidi yasifanyike hivyo ni vyema kutii amri inayo tolewa kabla hata virungu havija tembea,

wapo wanao amini kauli ya dk.slaa kwamba polisi 35 elfu hawawezi kuzuia raia milioni 20 hii inaweza kuwa propaganda kama ya mkwawa kuwaambia wafuasi wake waseme maji wanapo pigwa risasi wakiamini itageuka kuwa maji,kumbukeni kazi ya jeshi ni kulinda Amani hivyo hao mnao waona wachache wakishindwa tupo wengine huku msituni hata hatuna kazi na huwa hatuna msalia mtume.ombi langu kwenu ni kuwa tufuate sheria daima kibuli kingine hakifai,wapo watu mnao amini bora itokee vita lakini ukweli ni kwamba vurugu mnazo ziona zinatokea na watu wawili au watatu wanauwawa haifikii hata asilimia 2 ya vita.waulizeni watu wa mtwara kwa sababu wa waliona athari na maisha walio ishi ndani ya masaa yasiyo zidi 90.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRICA

Ntaanza na wewe ulioko porini
 
kadili ya sheria za kijeshi amri ya mwisho ndo inatekelezwa hivyo watanzania wenzangu tujitaidi kuwa waelewa tunapo tangaziwa kitu,askari polisi anapo ambiwa maandamano yasifanyike ni kwa njia yoyote ile inabidi yasifanyike hivyo ni vyema kutii amri inayo tolewa kabla hata virungu havija tembea,

wapo wanao amini kauli ya dk.slaa kwamba polisi 35 elfu hawawezi kuzuia raia milioni 20 hii inaweza kuwa propaganda kama ya mkwawa kuwaambia wafuasi wake waseme maji wanapo pigwa risasi wakiamini itageuka kuwa maji,kumbukeni kazi ya jeshi ni kulinda Amani hivyo hao mnao waona wachache wakishindwa tupo wengine huku msituni hata hatuna kazi na huwa hatuna msalia mtume.ombi langu kwenu ni kuwa tufuate sheria daima kibuli kingine hakifai,wapo watu mnao amini bora itokee vita lakini ukweli ni kwamba vurugu mnazo ziona zinatokea na watu wawili au watatu wanauwawa haifikii hata asilimia 2 ya vita.waulizeni watu wa mtwara kwa sababu wa waliona athari na maisha walio ishi ndani ya masaa yasiyo zidi 90.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRICA

Hkuna jeshi la Polisi wala la ulinzi wala vifaru vilivyoweza pambana na wananchi wakiamua polisi wa nchi hii watulie waache kuchokoza wananchi, wanahaki yakuoyesha hisia zao wachwe waandamane hawavunji sharia ya nchi ,hii sio nchi ya kijeshi hivi wananchi na wao wkishika bunduki kuwageuzia polisi nadhani unajua majibu yake
 
Ndugu yangu una elimu gani? Maana huenda siyo tatizo lako. Inaonekana hata Historia hujui. Mkwawa hakuwahi kupigana vita vya majimaji. Pili hujui hata mamlaka na madarka ya Polisi. Polisi haina uwezo wala mamlaka kuruhusu au kuzuia maandamano, kinachofanyika sasa ni matumizi mabaya ya serikali kutumia Polisi. Ndiyo maana Tanzania ina rank chini kwenye haki za binadamu. Inaonekana Tanzania ina utawala wa kidekteta.

kadili ya sheria za kijeshi amri ya mwisho ndo inatekelezwa hivyo watanzania wenzangu tujitaidi kuwa waelewa tunapo tangaziwa kitu,askari polisi anapo ambiwa maandamano yasifanyike ni kwa njia yoyote ile inabidi yasifanyike hivyo ni vyema kutii amri inayo tolewa kabla hata virungu havija tembea,

wapo wanao amini kauli ya dk.slaa kwamba polisi 35 elfu hawawezi kuzuia raia milioni 20 hii inaweza kuwa propaganda kama ya mkwawa kuwaambia wafuasi wake waseme maji wanapo pigwa risasi wakiamini itageuka kuwa maji,kumbukeni kazi ya jeshi ni kulinda Amani hivyo hao mnao waona wachache wakishindwa tupo wengine huku msituni hata hatuna kazi na huwa hatuna msalia mtume.ombi langu kwenu ni kuwa tufuate sheria daima kibuli kingine hakifai,wapo watu mnao amini bora itokee vita lakini ukweli ni kwamba vurugu mnazo ziona zinatokea na watu wawili au watatu wanauwawa haifikii hata asilimia 2 ya vita.waulizeni watu wa mtwara kwa sababu wa waliona athari na maisha walio ishi ndani ya masaa yasiyo zidi 90.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRICA

ii
 
kadili ya sheria za kijeshi amri ya mwisho ndo inatekelezwa hivyo watanzania wenzangu tujitaidi kuwa waelewa tunapo tangaziwa kitu,askari polisi anapo ambiwa maandamano yasifanyike ni kwa njia yoyote ile inabidi yasifanyike hivyo ni vyema kutii amri inayo tolewa kabla hata virungu havija tembea,

wapo wanao amini kauli ya dk.slaa kwamba polisi 35 elfu hawawezi kuzuia raia milioni 20 hii inaweza kuwa propaganda kama ya mkwawa kuwaambia wafuasi wake waseme maji wanapo pigwa risasi wakiamini itageuka kuwa maji,kumbukeni kazi ya jeshi ni kulinda Amani hivyo hao mnao waona wachache wakishindwa tupo wengine huku msituni hata hatuna kazi na huwa hatuna msalia mtume.ombi langu kwenu ni kuwa tufuate sheria daima kibuli kingine hakifai,wapo watu mnao amini bora itokee vita lakini ukweli ni kwamba vurugu mnazo ziona zinatokea na watu wawili au watatu wanauwawa haifikii hata asilimia 2 ya vita.waulizeni watu wa mtwara kwa sababu wa waliona athari na maisha walio ishi ndani ya masaa yasiyo zidi 90.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRICA

mkwawa ndo alipigana vita vya majimaji? Au humjui Mkwawa? Mkwawa ni Chief pekee aliyepigana na wajerumani akashinda. Wajerumani walipokukusanya nguvu waliporevenge ndipo alipozidiwa nguvu.

Pia usiwatishe watu kuwa waendelee kutishwa na kuogopa polisi.
 
Polisi wanataka kupandishwa vyeo tu ndo maana wako busy na cdm, hakukuwa na logic ya kwenda kuwakamata wanawake eti wanaandamana.
 
umechanganya mambo MKWAWA hakuwai kuwambia wafuas wake waseme maji ni KINJEKETILE NGWALE utatupotoshea watoto weti wakose kwenye masomo yao usiwe unakurupukaa...
kadili ya sheria za kijeshi amri ya mwisho ndo inatekelezwa hivyo watanzania wenzangu tujitaidi kuwa waelewa tunapo tangaziwa kitu,askari polisi anapo ambiwa maandamano yasifanyike ni kwa njia yoyote ile inabidi yasifanyike hivyo ni vyema kutii amri inayo tolewa kabla hata virungu havija tembea,

wapo wanao amini kauli ya dk.slaa kwamba polisi 35 elfu hawawezi kuzuia raia milioni 20 hii inaweza kuwa propaganda kama ya mkwawa kuwaambia wafuasi wake waseme maji wanapo pigwa risasi wakiamini itageuka kuwa maji,kumbukeni kazi ya jeshi ni kulinda Amani hivyo hao mnao waona wachache wakishindwa tupo wengine huku msituni hata hatuna kazi na huwa hatuna msalia mtume.ombi langu kwenu ni kuwa tufuate sheria daima kibuli kingine hakifai,wapo watu mnao amini bora itokee vita lakini ukweli ni kwamba vurugu mnazo ziona zinatokea na watu wawili au watatu wanauwawa haifikii hata asilimia 2 ya vita.waulizeni watu wa mtwara kwa sababu wa waliona athari na maisha walio ishi ndani ya masaa yasiyo zidi 90.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRICA
 
Rais mpya hajui historia. Ukiona hivyo jua mwana cccccxm ambao ilimrad tu ujue kusoma utapata cheo km ubunge...in sawa na alokuwa naib was elimu...
 
Kweli mnajua kutafuta umaarufu.
Hiyo hofu kubwa ilianzia mkoa gani na kuishia mkoa gani?Mbona watu wengi hawajui kama huyo Halima alikamatwa au lah?
Acha kukuza mambo!

Mheshimiwa una maanisha hata taarifa ya habari husikilizi kabisa?
 
kadili ya sheria za kijeshi amri ya mwisho ndo inatekelezwa hivyo watanzania wenzangu tujitaidi kuwa waelewa tunapo tangaziwa kitu,askari polisi anapo ambiwa maandamano yasifanyike ni kwa njia yoyote ile inabidi yasifanyike hivyo ni vyema kutii amri inayo tolewa kabla hata virungu havija tembea,

wapo wanao amini kauli ya dk.slaa kwamba polisi 35 elfu hawawezi kuzuia raia milioni 20 hii inaweza kuwa propaganda kama ya mkwawa kuwaambia wafuasi wake waseme maji wanapo pigwa risasi wakiamini itageuka kuwa maji,kumbukeni kazi ya jeshi ni kulinda Amani hivyo hao mnao waona wachache wakishindwa tupo wengine huku msituni hata hatuna kazi na huwa hatuna msalia mtume.ombi langu kwenu ni kuwa tufuate sheria daima kibuli kingine hakifai,wapo watu mnao amini bora itokee vita lakini ukweli ni kwamba vurugu mnazo ziona zinatokea na watu wawili au watatu wanauwawa haifikii hata asilimia 2 ya vita.waulizeni watu wa mtwara kwa sababu wa waliona athari na maisha walio ishi ndani ya masaa yasiyo zidi 90.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRICA

Mkwawa alipigana vita ya Majimaji?!

Kweli elimu yetu ni janga la kitaifa.

Yaleyale ya Mulugo Tanzania ni Muungano wa nchi ya Tanganyika na Zimbabwe!

I'm speechless and mouth open
 
Kukiwa na hofu kubwa nchini kwa takribani masaa matano (5) sasa baada ya Mwenyekiti wa Taifa wa wanawake wa chama cha CHADEMA Halima Mdee kukamatwa na polisi baada ya kudhalilishwa kwa kupigwa kikatili na askari polisi wanaume hatimaye nguvu ya umma imeshinda na ameachiwa huru.

Mara baada ya kukamatwa na kupigwa kisha kuwekwa rumande katika kituo cha polisi osterbay nguvu ya umma ilitikisa nje ya kituo hicho kwa akina mama maimia kwa mamia kukizunguka kituo hicho huku wakiimba nyimbo za ukombozi na kutaka mwanamama shujaa Halima Mdee aachiwe mara moja.

Akina mama hao hawakujali wingi wa polisi wala magari yaliyosheheni silaha hatimaye Mdee akaachiwa huru.

Halima Mdee alikuwa anaongoza maandamano ya akina mama wa CHADEMA kuelekea IKULU kupinga rasimu haramu ya CCM iliyopitishwa na wabunge wa CCM na vibaraka wao wiki hii.

1924390_671185256322826_7664490508546385360_n.jpg
1604783_671184859656199_6973916564300874417_n.jpg
10641133_671184926322859_2798054373558139573_n.jpg
[/QUO
Acha kudanganya watu ameachiwa kwa dhamana sio huru. Ila amepata dushelele ya nguvu, na lengo halikutimia kwani ikulu hawakufika na rais hawajamuona. So tunaweza sema mpango wao Ni FAILED

Hahahahaha
 
Napenda wanawake wenye msimamo na ujasiri kama wa Halima. Ni wanawake wa namna hii nitakaowaunga mkono daima, siyo wale wa kusema ndiyooooooo na kukata viuno bungeni na kwenye mikutano ya mafisadi baada ya kuhongwa sahani ya pilau na kanga. Endelea na moyo huo huo HALIMA MDEE, kaa ukijua kuna kundi kubwa la wapenda mabadiliko wa Tanzania wako nyuma yako.
 
Kukiwa na hofu kubwa nchini kwa takribani masaa matano (5) sasa baada ya Mwenyekiti wa Taifa wa wanawake wa chama cha CHADEMA Halima Mdee kukamatwa na polisi baada ya kudhalilishwa kwa kupigwa kikatili na askari polisi wanaume hatimaye nguvu ya umma imeshinda na ameachiwa huru.

Mara baada ya kukamatwa na kupigwa kisha kuwekwa rumande katika kituo cha polisi osterbay nguvu ya umma ilitikisa nje ya kituo hicho kwa akina mama maimia kwa mamia kukizunguka kituo hicho huku wakiimba nyimbo za ukombozi na kutaka mwanamama shujaa Halima Mdee aachiwe mara moja.

Akina mama hao hawakujali wingi wa polisi wala magari yaliyosheheni silaha hatimaye Mdee akaachiwa huru.

Halima Mdee alikuwa anaongoza maandamano ya akina mama wa CHADEMA kuelekea IKULU kupinga rasimu haramu ya CCM iliyopitishwa na wabunge wa CCM na vibaraka wao wiki hii.

1924390_671185256322826_7664490508546385360_n.jpg
1604783_671184859656199_6973916564300874417_n.jpg
10641133_671184926322859_2798054373558139573_n.jpg
[/QUO
Acha kudanganya watu ameachiwa kwa dhamana sio huru. Ila amepata dushelele ya nguvu, na lengo halikutimia kwani ikulu hawakufika na rais hawajamuona. So tunaweza sema mpango wao Ni FAILED

Is this hate or ?
 
Back
Top Bottom