Halima Mdee aachiwa huru

Halima Mdee aachiwa huru

Tunaposema chadema iko ICU ama imekufa ni vyema mkaelewa na kukiri ukweli huu ili twende sawa. Kagenge kalichoambatana na halima kwenye maandamano ni kichekesho kitupu. Namsikitikia sana dada angu huyu ambaye ana wakati mgumu sana jimboni kwake kawe.
kakikundi hako kamerushwa live kwenye media wakati wa taarifa za habari. Mbaya zaidi imerushwa na itv ambayo wanazi wa chadema wanaisifu na kuishabikia mno.

source: ITV habari....

Sasa ndo ujue na policcm walivojiaibisha kutumia nguvu kubwa ya askar na vifaa vyao kuzuia maandamano akili ndogo, kwakua ishadhbitka kuwa CHADEMA iko ICU swal la kujiuliza kwanin CCM wanatumia nguvu kubwa kuzuia chama mahututi
Hahahaaaaa.......... poor politics with ignorance of police = unthinking speech
 
Kwa akili zao wanadhani ikulu wangeruhusiwa kufika? Waislam wenyewe na kanzu zao walishindwa kufika.. Pale ikulu yupo wasira yule nyani ataishia tu kuwatukana ...
Linachoendelea hapa ni kujitafutia manundu na maumivu tu ... Kwanza halima si alikuwa na Kikwete juzi tegeta?

Tatizo neno ikulu we linakutetemeeesha. Wakati majunky tunafata G' za kunyeta mule 24/7.
 
Halima Mdee, sisi wapiga kura wako wa Kawe tunataka maji na barabara Msasani hatutaki maandamano.
 
Hiyo hofu labda ulikuwa nayo wewe na familia yako..sisi huku mwanza na tanzania nzima tunakula maisha wala hatujui kuwa kuna mtu anaitwa halima mdee katiwa mbaloni!

Mbaloni ndio wapi wewe kichefuchefu?
 
Polisi wa bongo mshahara unatosha kwa kazi wanazoamrishwa na sirikali? Wadau...
 
Huwezi kuzuia nguvu ya uma, hata uwe nani.
Ova
 
Kukiwa na hofu kubwa nchini kwa takribani masaa matano (5)
1924390_671185256322826_7664490508546385360_n.jpg
1604783_671184859656199_6973916564300874417_n.jpg
10641133_671184926322859_2798054373558139573_n.jpg

Mkuu Molemo henu acha uwehu wako! Hofu nchini inasabababishwa na nini?
 
Last edited by a moderator:
Muda huu ndio Mwenyekiti wa Bawacha anapata dhamana baada ya kukamatwa kwa mara ya pili jioni hii alipokuwa anahutubia mkutano wa mbunge Bunju. Pia na aliokamatwa nao watu 19 wanaondoka baada ya Mbowe na Mbatia kutia ngumu kuondoka kituoni .


Ni aibu sana kwa IGP Mangu ambaye mpaka leo Haijulikani kesi ya kifo cha Barlow ilikoishia hata baada ya yeyey kuwa RPC MWANZA kabla ya kuwa IGP ......

updates .
kama mlivyoomba Halima baada ya kuachiwa kwa dhamana alikuwa na mkutano wa Mbunge leo kule Bunju na ambao ulikuwa na Baraka zote , ila alipoenda kabla hata ya kuhutubia polisi walifika na kutawanya mkutano kwa mabomu na risasi za moto na ku kamati Mdee pamoja na viongozi na wananchi wengine 29 kwenye eneo la mkutano huo na kuwasweka ndani kituo cha polisi Bunju hadi muda huu ambapo amepewa dhamana pamoja na wengine wote .

kuhusu IGP Mangu , nilidhani usomi wake wa sheria ungemfanya huru kuliko kuongozwa na akina Chagonja wa UPE angewaongoza yeye kumbe bado sana .......ni vyema Mangu akajua kuwa tangu akiwa RPC Pwani na kabla ya hapo faili lake liko wazi .....
 
Muda huu ndio Mwenyekiti wa Bawacha anapata dhamana baada ya kukamatwa kwa mara ya pili jioni hii alipokuwa anahutubia mkutano wa mbunge Bunju. Pia na aliokamatwa nao watu 19 wanaondoka baada ya Mbowe na Mbatia kutia ngumu kuondoka kituoni .


Ni aibu sana kwa IGP Mangu ambaye mpaka leo Haijulikani kesi ya kifo cha Barlow ilikoishia hata baada ya yeyey kuwa IGP MWANZA ......

Mpaka Kieleweke tunaomba utueleze Kwa Kirefu, imekuwaje tena alikamatwa mara ya pili hii habari wengi hawakuifahamu, tafadhali
 
Serikali dhalimu inayotumia mabavu kutawala nchi.
 
Gaidi ni Mangu na atalizwa sasa hivi kutakuwa na civil disobedience ya hali ya juu manake yeye anataka kutawala kwa mtutu wananchi hawatakubali kamwe

Kwa tanzania ipi ..civil disobedience? ? Unacheza ww those act are for men.....Yemen. .Egypt. ..iraq lakini si tanzania......sanaa tu nothing more
 
Back
Top Bottom