Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,023
- 43,168
Ujumbe wangu muruwa umefika.Wewe viroba vinakusumbua sana au ndio ile kauli yenu je nawananchi wakitoa kaulizao? Tatizo akili ndogo ikatawaliwa na viroba
Ujumbe wangu muruwa umefika.Wewe viroba vinakusumbua sana au ndio ile kauli yenu je nawananchi wakitoa kaulizao? Tatizo akili ndogo ikatawaliwa na viroba
Nyie pro-Chadema JF viumbe wa ajabu sana kuna siku niliwaambia shilingi ina pande mbili.
Waislam walivyokuwa wanapigwa na polisi kwenye maandamano yao pamoja na Sheikh Ponda kupigwa risasi wote humu mlikuwa mnawasifia polisi na kuwatukana Waislam leo mmeguswa kiduchu tu mnalalamika na bado mtapigwa sana kwa unafiki wenu.
Hakuna kitu kibaya kama unafiki siwapendi polisi lakini kwa kauli zenu poa tu mpigwe.
Acheni unafiki nyie Waislam walivyokuwa wanapigwa kwenye maandamano yao huo utu wenu ulikuwa wapi si mlikuwa mnawapa pongezi polisi, Ponda kapigwa risasi huo utu wenu ulikuwa wapi zaidi ya matusi au binadamu wenye kustahiki haki ni Chadema.Ritiz ifike mahali usiache utu na akili nyumbani hupaswi kufurahia picha hiyo police wamemshika mama sehemu ya maziwa alafu wewe unasema wapigwe tu!!.acha ugamba tetea haki pumbavu ccm wote mnaowatuma police wawapige mama hawa.
Nyie pro-Chadema JF viumbe wa ajabu sana kuna siku niliwaambia shilingi ina pande mbili.
Waislam walivyokuwa wanapigwa na polisi kwenye maandamano yao pamoja na Sheikh Ponda kupigwa risasi wote humu mlikuwa mnawasifia polisi na kuwatukana Waislam leo mmeguswa kiduchu tu mnalalamika na bado mtapigwa sana kwa unafiki wenu.
Hakuna kitu kibaya kama unafiki siwapendi polisi lakini kwa kauli zenu poa tu mpigwe.
kukiwa na hofu kubwa nchini kwa takribani masaa matano (5) sasa baada ya mwenyekiti wa taifa wa wanawake wa chama cha chadema halima mdee kukamatwa na polisi baada ya kudhalilishwa kwa kupigwa kikatili na askari polisi wanaume hatimaye nguvu ya umma imeshinda na ameachiwa huru.
Mara baada ya kukamatwa na kupigwa kisha kuwekwa rumande katika kituo cha polisi osterbay nguvu ya umma ilitikisa nje ya kituo hicho kwa akina mama maimia kwa mamia kukizunguka kituo hicho huku wakiimba nyimbo za ukombozi na kutaka mwanamama shujaa halima mdee aachiwe mara moja.
Akina mama hao hawakujali wingi wa polisi wala magari yaliyosheheni silaha hatimaye mdee akaachiwa huru.
Halima mdee alikuwa anaongoza maandamano ya akina mama wa chadema kuelekea ikulu kupinga rasimu haramu ya ccm iliyopitishwa na wabunge wa ccm na vibaraka wao wiki hii.
![]()
![]()
![]()
acheni unafiki nyie waislam walivyokuwa wanapigwa kwenye maandamano yao huo utu wenu ulikuwa wapi si mlikuwa mnawapa pongezi polisi, ponda kapigwa risasi huo utu wenu ulikuwa wapi zaidi ya matusi au binadamu wenye kustahiki haki ni chadema.
chama cha cdm kinawabagua waislam.
unajua unachokiandika au unaandika tuu uonekane na ww ulicoment hapa ccm ni janga la taifa
Polisi wanalipwa laki mbili tu bado hawajitambui hivi wakiongezewa mshahara je....
Hata mimi sijafurahia kabisa kitendo cha polisi kumharass Mheshimiwa.....pale Halima aliposema amealikwa ikulu na raisi ilipaswa atafutwe mtaalamu wa afya ya akili badala ya kusubiri asombe wenzake waingie barabarani......walisema wahenga PREVENTION IS BETTER THAN CURE.
Hii ni mwanzo tu,BAWACHA wameanza wsnahaki ya kupinga rasimu ya sitta iliyowaweka rehani mabinti wa kitanzania wenye miaka 18 kuhalalishwa kuolewa, wakati watoto wa kike huanza drs la 1 wakiwa na miaka 61/2 hivyo drs la vii wanakuwa wanamiaka 13,
Kidato cha 1-iv watakuwa na miaka 17, kidato cha sita miaka 19, ccm imetaka mila na desturi mbaya ziendelezwe za ndoa za utotoni,na lengo ni kuzalisha mradi wa watoto waishio ktk mazingira magumu.
Binti wa japan anaolewa akiwa na miaka 26 ,uingereza 25, na korea 26 leo ccm inapitisha mawazo mabovu kiasi hiki?, kwa nini wanawake wanaojitambua wasiwahamasishe wenzao waandamane ili kufuta kipengele hicho!
Kwa nini tuendelee kuwa familia dhaifu kiasi hicho ambacho, watoto hawa watakuwa hawana ajira na bado wadogo?
Kwa nini wanawake wasiandamane kudai maji,umeme,matibabu bora ya watoto wao,kwa nini wasidai sheria ya maadili ya mtu kutoweka fedha nje ya nchi na wabunge watakaoenda bungeni kuunga sheria zinazowakandamiza mfano kuhamishwa kwenye maeneo yao kwa malipo kiduchu?
Kwa nini wasifanye hivyo kudai,sheria inayowazuia viongozi kupewa zawadi ns kama wakipewa wazikabidhi serikalini,kwa nini wasiandamane?
Anayefikiria watoto wake,anayefikiria wajukuu zake,anayefikiria jamaaa zake namajirani zake juu ya maisha yao,juu ya kutotembeza bakuri ulaya kuomba misaada,hatapuuza maandamano,hatadharau au kupoteza muda akiunga mkono sera mbovu za ccm!
Vinginevyo hajui hili we should talk differently,act differently and perform differently ,we should stand out!
Otherwise you are dull
Chadema ipo kwa mipango ya mungu