Halima Mdee aachiwa huru

Halima Mdee aachiwa huru

Ritiz ifike mahali usiache utu na akili nyumbani hupaswi kufurahia picha hiyo police wamemshika mama sehemu ya maziwa alafu wewe unasema wapigwe tu!!.acha ugamba tetea haki pumbavu ccm wote mnaowatuma police wawapige mama hawa.
 
Police kwa tukio hili la kuwadhalilisha mama hawa ambao wanapigania haki zenu,kweli ipo siku haina jina mtaanza kudondoka kama kuku!.juzi hapa mlikua mnapewa resho ya laki na ishirini kina mama hawa wa cdm wamewasemea wamepiga kelele angalau mnapewa laki na nusu,leo mnawashika maziwa mnawapiga.laana ya wamama hawa ijuu yenu washenzi nyie.
 
Nyie pro-Chadema JF viumbe wa ajabu sana kuna siku niliwaambia shilingi ina pande mbili.

Waislam walivyokuwa wanapigwa na polisi kwenye maandamano yao pamoja na Sheikh Ponda kupigwa risasi wote humu mlikuwa mnawasifia polisi na kuwatukana Waislam leo mmeguswa kiduchu tu mnalalamika na bado mtapigwa sana kwa unafiki wenu.

Hakuna kitu kibaya kama unafiki siwapendi polisi lakini kwa kauli zenu poa tu mpigwe.

Mkuu unatushaurije katika hali hii ambayo Police wananyanyasa waisilamu na CDM, tuunganishe nguvu dhidi ya Police kuwapinga?
 
chagga dev manfesto aka chadema hawawezi kuuweza al shababu hata siku moja kwani wanachokitaka tofauti na al shababu au al kaida kususa msuse wenyewe leo mlete vurugu ujinga mtupu
 
Ritiz ifike mahali usiache utu na akili nyumbani hupaswi kufurahia picha hiyo police wamemshika mama sehemu ya maziwa alafu wewe unasema wapigwe tu!!.acha ugamba tetea haki pumbavu ccm wote mnaowatuma police wawapige mama hawa.
Acheni unafiki nyie Waislam walivyokuwa wanapigwa kwenye maandamano yao huo utu wenu ulikuwa wapi si mlikuwa mnawapa pongezi polisi, Ponda kapigwa risasi huo utu wenu ulikuwa wapi zaidi ya matusi au binadamu wenye kustahiki haki ni Chadema.
 
mkuu hawa jamaa ni wanafiki kweli kweli kama ulivyosema. hata mimi naona acha kwanza yawapate ili angalau wajifunze kitu.
hawa hawa ndo waliokuwa wakiwasifu polisi kwa kila jambo. walipouawa waislam mwembechai wengi walipongezana na kuwapongeza polisi kwa kazi nzuri. walipouliwa waislam zaidi ya 70 kule pemba Januari 27 2001 walipongezana kweli kweli. hawakujua kuwa nao siku yao yaja. na Pinda kashasema wapigwa tu. acha kwanza wakione cha moto ndo wajue utengano ni udhaifu na umoja ni nguvu. na mimi nasema hivi WAPIGWE TU KWA SASA ili japo uifunze kitu.

Nyie pro-Chadema JF viumbe wa ajabu sana kuna siku niliwaambia shilingi ina pande mbili.

Waislam walivyokuwa wanapigwa na polisi kwenye maandamano yao pamoja na Sheikh Ponda kupigwa risasi wote humu mlikuwa mnawasifia polisi na kuwatukana Waislam leo mmeguswa kiduchu tu mnalalamika na bado mtapigwa sana kwa unafiki wenu.

Hakuna kitu kibaya kama unafiki siwapendi polisi lakini kwa kauli zenu poa tu mpigwe.
 
Hata mimi sijafurahia kabisa kitendo cha polisi kumharass Mheshimiwa.....pale Halima aliposema amealikwa ikulu na raisi ilipaswa atafutwe mtaalamu wa afya ya akili badala ya kusubiri asombe wenzake waingie barabarani......walisema wahenga PREVENTION IS BETTER THAN CURE.
 
kukiwa na hofu kubwa nchini kwa takribani masaa matano (5) sasa baada ya mwenyekiti wa taifa wa wanawake wa chama cha chadema halima mdee kukamatwa na polisi baada ya kudhalilishwa kwa kupigwa kikatili na askari polisi wanaume hatimaye nguvu ya umma imeshinda na ameachiwa huru.

Mara baada ya kukamatwa na kupigwa kisha kuwekwa rumande katika kituo cha polisi osterbay nguvu ya umma ilitikisa nje ya kituo hicho kwa akina mama maimia kwa mamia kukizunguka kituo hicho huku wakiimba nyimbo za ukombozi na kutaka mwanamama shujaa halima mdee aachiwe mara moja.

Akina mama hao hawakujali wingi wa polisi wala magari yaliyosheheni silaha hatimaye mdee akaachiwa huru.

Halima mdee alikuwa anaongoza maandamano ya akina mama wa chadema kuelekea ikulu kupinga rasimu haramu ya ccm iliyopitishwa na wabunge wa ccm na vibaraka wao wiki hii.

1924390_671185256322826_7664490508546385360_n.jpg
1604783_671184859656199_6973916564300874417_n.jpg
10641133_671184926322859_2798054373558139573_n.jpg

chadema ipo kwa mipango ya mungu
 
acheni unafiki nyie waislam walivyokuwa wanapigwa kwenye maandamano yao huo utu wenu ulikuwa wapi si mlikuwa mnawapa pongezi polisi, ponda kapigwa risasi huo utu wenu ulikuwa wapi zaidi ya matusi au binadamu wenye kustahiki haki ni chadema.

chama cha cdm kinawabagua waislam.
 
Pole sana kamanda Halima,Mungu yupo nawe siku zote..pia sisi tupo nyuma yako!siku moja udhalimu utashindwa!
 
unajua unachokiandika au unaandika tuu uonekane na ww ulicoment hapa ccm ni janga la taifa

Unaposema chadema Ni mpango wa mungu unamaanisha mungu yupi huoni kuwa unatutukana watanzania
 
Hata mimi sijafurahia kabisa kitendo cha polisi kumharass Mheshimiwa.....pale Halima aliposema amealikwa ikulu na raisi ilipaswa atafutwe mtaalamu wa afya ya akili badala ya kusubiri asombe wenzake waingie barabarani......walisema wahenga PREVENTION IS BETTER THAN CURE.

Ivi halima mdee alitakiwa kukamatwa na polis wa kike? Mbona nasikia ana mke..
 
Haki itashinda tu, na si siku nyingi zijazo. Ni kawaida ukiona mzigo umeanza kuwa mzito zaidi ujue unakaribia kufika mwisho.
Napend kukutia moyo Halima Mdee na akina mama wote mliofanyiwa unyama ule na polisi kuwa historia itawakumbuka kama wanawake majasiri mliopambana na polisi wakatili kuliko wa makaburu enzi zile kudai haki ya msingi kabisa ya binadamu ya kuelezea kwa vitendo mawazo yake.
Mungu awabariki sana.
 
Hii ni mwanzo tu,BAWACHA wameanza wsnahaki ya kupinga rasimu ya sitta iliyowaweka rehani mabinti wa kitanzania wenye miaka 18 kuhalalishwa kuolewa, wakati watoto wa kike huanza drs la 1 wakiwa na miaka 61/2 hivyo drs la vii wanakuwa wanamiaka 13,

Kidato cha 1-iv watakuwa na miaka 17, kidato cha sita miaka 19, ccm imetaka mila na desturi mbaya ziendelezwe za ndoa za utotoni,na lengo ni kuzalisha mradi wa watoto waishio ktk mazingira magumu.

Binti wa japan anaolewa akiwa na miaka 26 ,uingereza 25, na korea 26 leo ccm inapitisha mawazo mabovu kiasi hiki?, kwa nini wanawake wanaojitambua wasiwahamasishe wenzao waandamane ili kufuta kipengele hicho!
Kwa nini tuendelee kuwa familia dhaifu kiasi hicho ambacho, watoto hawa watakuwa hawana ajira na bado wadogo?
Kwa nini wanawake wasiandamane kudai maji,umeme,matibabu bora ya watoto wao,kwa nini wasidai sheria ya maadili ya mtu kutoweka fedha nje ya nchi na wabunge watakaoenda bungeni kuunga sheria zinazowakandamiza mfano kuhamishwa kwenye maeneo yao kwa malipo kiduchu?
Kwa nini wasifanye hivyo kudai,sheria inayowazuia viongozi kupewa zawadi ns kama wakipewa wazikabidhi serikalini,kwa nini wasiandamane?

Anayefikiria watoto wake,anayefikiria wajukuu zake,anayefikiria jamaaa zake namajirani zake juu ya maisha yao,juu ya kutotembeza bakuri ulaya kuomba misaada,hatapuuza maandamano,hatadharau au kupoteza muda akiunga mkono sera mbovu za ccm!

Vinginevyo hajui hili we should talk differently,act differently and perform differently ,we should stand out!
Otherwise you are dull

Binti aolewe akiwa na miaka 26! Hivi we unaakili timamu wewe! Halafu anazaa watoto wangapi sasa! Maana baada ya miaka 4 atakuwa na 30 halafu anakaribia uzeeni atazaaje tena! Usishabikie mambo kwa jazba, je nyie maliberali mnaotetea ushoga tuwaiteje?
 
Back
Top Bottom