Hivi kitu gani kinatufanya tuendelee kutumia mbolea ya chumvichumvi,wakati kwa muda mrefu mikoa ilotumia mbolea hizo ardhi imeharibika i.e Iringa.Wakati wenzetu wanatumia mboji organic. Wataalamu mnieleweshe hapa.Nilichojifunza chumvichumvi inazuia ardhi kujitengenezea mbolea kwa njia ya asili.Yaani bacteria wanatoweka.Hii imekaaje wataalamu.