Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,628
- 9,564
Shida wanadharau kazi ngoja jua liwapige ndio watatia akiliTatizo lenu mnadharau biashara.
Kuna wadau hapo juu wanawashangaa graduates mmoja anauza kande, mwingine vitumbua.
Cha ajabu hapo ni kipi hasa?? Ndivyo biashara inavyoanza kiugumu, siku mtaji ukikua akafanya makubwa mnaanza kusema anadanga. Akili mgando kabisa hizi
Naona wengi wamekimbilia kwenye upinde tumekwisha.,,, Boda yenyewe ya mkopo..... Nyieeeeeeeee,,, hali siyo shwari.
Ahahahaha ndugu nisamehe.....Haka kajina ka Majobless usipende kukatumia Kuna watu washachafukwa humu ohoooo.
Nyumba Hadi za ghorofa tunajenga na mafundi darasa la Saba ..
Halafu wenye vyeti civil engineering... Wana hangaika kutafuta kazi
Hawataki pesa ya kibarua wanataka pesa millions kadhaaNyumba Hadi za ghorofa tunajenga na mafundi darasa la Saba ..
Halafu wenye vyeti civil engineering... Wana hangaika kutafuta kazi
Usitucheke bhana......riziki popote mradi ni halali tuwengine sie hata ajira ziwe wazi wazi, kuna vigezo vinatutoa nje ya mfumo.
Na tusharidhikaaa, polee zao wenye matarajio ya ajira, wanabaki kufurahishwaa km sio kushangazwaa,
Jamaa wa Petroleum anaendesha bajaji, GPA 3.8
Namuangalia nasemaa hiiii,
Kuna dada mmoja alikuwa pini sana chuoni..kamaliza mwaka jana..nilimfukuzia sana lkn wapi alikuwa anaweka ngumu sana( nadhani alikuwa na mshkaji wake) sasa mwaka huu nipo kwenye mishemishe zangu si nikakutana nae sehemu anauza vitumbua...ameisha...ule uzur wake umepungua haswaaaaa...yani alishtuka kuniona akawa anavunga tu...nikamuungisha nikasepa zangu
Sikutaka kufanya lolote kwan nilijua tu huyu safar hii hachomoi..na zigo lote litaniangukia mm(gharama za kumtunza)
yani hii nchi ni ngumu sana, kama huna mareferee ni bora tu ujitulize ufanye mambo yako maana unaweza ukawa unalia maisha yako yoteWengi Sana mkuu,,, Kama ajira wanatangaza watu 400 Lakini wanaotuma maombi ni watu 2600
Wanatafuta kazi za kuzunguka kwenye viti labda.
Mimi mwenyewe nimeshangaa. Sijui walitaka hao gradutes wawe wadangaji🤔Tatizo lenu mnadharau biashara.
Kuna wadau hapo juu wanawashangaa graduates mmoja anauza kande, mwingine vitumbua.
Cha ajabu hapo ni kipi hasa?? Ndivyo biashara inavyoanza kiugumu, siku mtaji ukikua akafanya makubwa mnaanza kusema anadanga. Akili mgando kabisa hizi
Hawataki pesa ya kibarua wanataka pesa millions kadhaa
na alikua halali, anakesha kusoma 🤣🤣imagn mtukasoma masomo ya sayansi nabado maisha kwake nimagumu sana dah
Upo sahihi bossyani hii nchi ni ngumu sana, kama huna mareferee ni bora tu ujitulize ufanye mambo yako maana unaweza ukawa unalia maisha yako yote
Kiukwel kuna wengine hata kama ajira zipo lakin hawez kupatawengine sie hata ajira ziwe wazi wazi, kuna vigezo vinatutoa nje ya mfumo.
Na tusharidhikaaa, polee zao wenye matarajio ya ajira, wanabaki kufurahishwaa km sio kushangazwaa,
Jamaa wa Petroleum anaendesha bajaji, GPA 3.8
Namuangalia nasemaa hiiii,