Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Ndugu Waziri wa maji,
Hali ya upatikanaji maji katika baadhi ya maeneo katika mkoa wa Dar imekuwa ni shida.
Majuzi DAWASA walitoa taarifa kuwa maji yangekatika kwa siku moja kupisha matengenezo, lakini leo tunakwenda siku ya tano hakuna maji, hivi mnataka sisi tuishije?
Wakati mwingine muwe mnaona aibu na muwe considerate katika maamuzi yenu katika hali ya kawaida chukulia mfano wa maeneo ya Sinza survey, hali imekuwa mbaya sana na DAWASA haitoi taarifa yoyote juu ya hali hiyo.
Ndugu waziri tunataka maji acheni longolongo, mbona wakati wa Magufuli haya mambo ya ajabuajabu yalikuwa hakuna, mnakwama wapi?
Hali ya upatikanaji maji katika baadhi ya maeneo katika mkoa wa Dar imekuwa ni shida.
Majuzi DAWASA walitoa taarifa kuwa maji yangekatika kwa siku moja kupisha matengenezo, lakini leo tunakwenda siku ya tano hakuna maji, hivi mnataka sisi tuishije?
Wakati mwingine muwe mnaona aibu na muwe considerate katika maamuzi yenu katika hali ya kawaida chukulia mfano wa maeneo ya Sinza survey, hali imekuwa mbaya sana na DAWASA haitoi taarifa yoyote juu ya hali hiyo.
Ndugu waziri tunataka maji acheni longolongo, mbona wakati wa Magufuli haya mambo ya ajabuajabu yalikuwa hakuna, mnakwama wapi?