Hali ya upatikanaji Maji Dar es Salaam ni shida. DAWASA iwajibike

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,502
51,098
Ndugu Waziri wa maji,

Hali ya upatikanaji maji katika baadhi ya maeneo katika mkoa wa Dar imekuwa ni shida.

Majuzi DAWASA walitoa taarifa kuwa maji yangekatika kwa siku moja kupisha matengenezo, lakini leo tunakwenda siku ya tano hakuna maji, hivi mnataka sisi tuishije?

Wakati mwingine muwe mnaona aibu na muwe considerate katika maamuzi yenu katika hali ya kawaida chukulia mfano wa maeneo ya Sinza survey, hali imekuwa mbaya sana na DAWASA haitoi taarifa yoyote juu ya hali hiyo.

Ndugu waziri tunataka maji acheni longolongo, mbona wakati wa Magufuli haya mambo ya ajabuajabu yalikuwa hakuna, mnakwama wapi?
 
Kuna wakati Dar ilikua ukijenga nyumba unaanza kuchimba kisima kabisa cha maji. Unapata maji yenye chumvi lakini una uhakika nayo.
 
Kenya wana katiba mpya na bora kuliko lakini wanashida ya maji hatari..... afadhali hata ya Tanzania.
usikriri mambo na kufuata upepo, wala usidanganywe na wanasiasa eti katiba mpya ndio itachimba visima na kutandza mabomba.
Katiba mpya sio mwarobaini.
Lakini wana amani na raha.

Hii kukosa maji ni ujinga wenu.

Chimbeni visima
 
Ndugu Waziri wa maji
Hali ya upatikanaji maji katika baadhi ya maeneo katika mkoa wa Dar imekuwa ni shida.
Majuzi DAWASA walitoa taarifa kuwa maji yangekatika kwa siku moja kupisha matengenezo, lakini leo tunakwenda siku ya tano hakuna maji, hivi mnataka sisi tuishije?

Wakati mwingine muwe mnaona aibu na muwe considerate katika maamuzi yenu. Katika hali ya kawaida

Chukulia mfano wa maeneo ya Sinza survey, hali imekuwa mbaya sana na DAWASA haitoi taarifa yoyote juu ya hali hiyo.

Ndugu waziri tunataka maji acheni longolongo, mbona wakati wa Magufuli haya mambo ya ajabuajabu yalikuwa hakuna, mnakwama wapi?
Kivuli cha Jpm kitaendelea kutesa !!
 
Mnataka maji ya Uhakika halafu wakija kwenye Kampeni Waseme wataleta nini mkiwa chagua shida ya Tanzania na Afrika nzima kwa ujumla ni Je baada miaka 50 Uhuru kweli tulikuwa tayari kujitawala au Kuna Wajanja wachache tu Nia yao ilikuwa ni tusaidiane kumtoa Mkoloni weupe ili waje wao wakoloni weusi ambao kwangu binafsi ni wabaya zaidi ya Mkoloni mweupe...
IMG_20210822_215259.jpg
 
Kenya wana katiba mpya na bora kuliko..........lakini wanashida ya maji hatari..... afadhali hata ya TZ.
usikriri mambo na kufuata upepo, wala usidanganywe na wanasiasa eti katiba mpya ndio itachimba visima na kutandza mabomba.
Katiba mpya sio mwarobaini.
 
Hatuna maji wala umeme ila maelfu ya viongozi kuanzia wilayani mpaka wizarani wanaendesha Toyota za milion 400 kila mtu, waafrica kichwani hakuna kitu mdomo tuu kutukana beberu ambaye analipa mishahara yao na kula rushwa ndio tunachojua
 
Back
Top Bottom