HALI YA MZEE MALECELA: Ninawashukuru Sana JF

Status
Not open for further replies.
Jamani tuweke siasa pembeni na tumtakie afya na fanaka Mzee huyu ambaye ni icon ya taifa letu. Inawezekana kuna mahali alikosea katika utekelezaji lakini tuzingatie kwamba hakuna binadamu asiyekosea.
Mungu ampe nafuu ya haraka.
 
Natamani ile thread ya mzee malecela irudi lol........unawashukuru JF kwa ajili gani? wakati karibu nusu yao walichangia RIP? bora ungebadilisha head ya thread badala ya kushukuru JF ungekuwa more specific kwa waliokutia moyo na kukufariji

Ni ushauri tu, washukuru manesi na madokta wa kizungu waliomtibia ..pia walipa kodi woooote watanzania waliofanikisha matibabu hayo ilihali wao wamelazwa chini temeke hospitali...na wake zao ******ambao serikali imewapelekea ambulance aina ya bajaji kuwawahisha hospitali ambazo zipo kilometa 90 kutoka vijiji wanakoishi
Binafsi naelekea kupanda daladala kurudi nyumbani nikitegemea kuwasili jioni kwa sababu ya foleni....tatizo ambalo baba yako alilikuta, kaliacha na sasa tukamuuguza kwa kodi zetu tukiendelea kuumia
Apone haraka mzee malecela arudi bongo kusaidia mchakato wa kuvuana magamba
mix with yours

umenigusa sana.Nikweli William ulipaswa kuwashukuru Watanzania ambao kodi zao ndizo zilizotumika kumlipia matibabu kwani bado anapata mafao kama Waziri Mkuu mstaafu.
Naungana na mchangiaji kwamba alifanya nini wakati akiwa kiongozi kuhakikisha matibabu endelevu na ya uhakika yanapatikana hapa Tanzania?
Je angekuwa ni mtu wa kawaida angeweza kuja huko not only that William umesomeshwa kwa kodi zetu mpaka umefika hapo.

Please be fair unapotoa maoni yako.Inauma sana.
 
powa mpe huyo babu yangu pole nampenda kwa sababu alishamzawadia baba yangu bunduki wakati alipokuwa waziri mkuu na alifanya hivyo baada ya baba kupambana na mijambazi iliyokuwa imeshamili tarime enzi hizo,
 
umenigusa sana.Nikweli William ulipaswa kuwashukuru Watanzania ambao kodi zao ndizo zilizotumika kumlipia matibabu kwani bado anapata mafao kama Waziri Mkuu mstaafu.
Naungana na mchangiaji kwamba alifanya nini wakati akiwa kiongozi kuhakikisha matibabu endelevu na ya uhakika yanapatikana hapa Tanzania?
Je angekuwa ni mtu wa kawaida angeweza kuja huko not only that William umesomeshwa kwa kodi zetu mpaka umefika hapo.

Please be fair unapotoa maoni yako.Inauma sana.
@Josephine naomba kutofautiana na wewe kuhusu @ New York, huyu akusomeshwa na kodi zetu kufikia hapo, bali ni pilika pilika zake za kuzamia meli ndio zimemfikisha hapo, swala la kielimu huyu bwana hajaigharimu serikali kabisa maana elimu yake ni ya kuunga unga au unaweza kuita ya ujanjaujanja.
 
Hivi hii thread ina tija gani kama kila member akianzisha thread pindi baba yake akiuugua itakuwaje ni wazo tu.
Baba yake alikuwa ni waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais, ni haki yake kufunguwa thread, kama baba yako anaitwa Nguvumali hata ukimuanzishia thread ni nani anaemjuwa hapa?
 
Baba yake alikuwa ni waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais, ni haki yake kufunguwa thread, kama baba yako anaitwa Nguvumali hata ukimuanzishia thread ni nani anaemjuwa hapa?
Miafrika ndivyo ilivyo hata Dito alipoua kwa kumpiga risasi yule deiwaka watu walienda kumpa pole Dito badala ya wafiwa.
 
Natamani ile thread ya mzee malecela irudi lol........unawashukuru JF kwa ajili gani? wakati karibu nusu yao walichangia RIP? bora ungebadilisha head ya thread badala ya kushukuru JF ungekuwa more specific kwa waliokutia moyo na kukufariji

Ni ushauri tu, washukuru manesi na madokta wa kizungu waliomtibia ..pia walipa kodi woooote watanzania waliofanikisha matibabu hayo ilihali wao wamelazwa chini temeke hospitali...na wake zao ******ambao serikali imewapelekea ambulance aina ya bajaji kuwawahisha hospitali ambazo zipo kilometa 90 kutoka vijiji wanakoishi
Binafsi naelekea kupanda daladala kurudi nyumbani nikitegemea kuwasili jioni kwa sababu ya foleni....tatizo ambalo baba yako alilikuta, kaliacha na sasa tukamuuguza kwa kodi zetu tukiendelea kuumia
Apone haraka mzee malecela arudi bongo kusaidia mchakato wa kuvuana magamba
mix with yours

mie mwenyewe nashangaa, anyway. Let him RIP in USA manake bongo matatizo mengi awezi kupumzika kwa amani kama USA.
 
@Josephine naomba kutofautiana na wewe kuhusu @ New York, huyu akusomeshwa na kodi zetu kufikia hapo, bali ni pilika pilika zake za kuzamia meli ndio zimemfikisha hapo, swala la kielimu huyu bwana hajaigharimu serikali kabisa maana elimu yake ni ya kuunga unga au unaweza kuita ya ujanjaujanja.

Nashukuru kwa kunijuza hilo.Nimenena hayo kutokana na kumbukumbu kadhaa nilizonazo miaka hiyo.Thank You.
 
Miafrika ndivyo ilivyo hata Dito alipoua kwa kumpiga risasi yule deiwaka watu walienda kumpa pole Dito badala ya wafiwa.
Mbona unarudia kilekile nilichokwambia? kwa nini unamtaja Ditto, kwani wewe huwajui watu wengine ambao wamewahi kuuwa, kwa nini usiwataje akina Behobeho?
 
- Wananchi JF, ninaomba kuwashukuru kwa sala na salam zenu za kheri kwa mzee wetu Malecela, hatimaye juzi ametua hapa US, akifuatana na mama, ni mzima wa afya sana na tunamshukuru sana Mungu kwa miujiza yake!

- Ninawashukuru JF wote mliotufariji na hata wale wengine pia, ndio Demokrasia wote nimewasikia sana, lakini ninawashukuru sana kwamba sometimes tunaweza kuweka siasa na tofauti zetu pembeni, tukawa bina-adam na kurudi tena kwenye tofauti zetu za kawaida tukijali Taifa kwanza!

Love you all people! Thaanks JF, ndio maana hatupo kidogo, lakini tutarudi soon 100% tena!


Willie @ NYC, USA



Pole kwa kuuguza Willie,
Mungu amjaalie Mzee Malechela afya njema.
Amen
 
Nakushukuru sana mkuu,ni kweli hakuna jambo jema kama kupingana kwa hoja.Hili ndilo ambalo Mzee Mkapa alikuwa anasisitiza sana kwamba hakuna haja ya kugombana phyically kwa matusi n.k bali kwa hoja( i am not saying he stood with that though)....

Likija suala la ubinadamu kama la kuuguliwa n.k hatuna budi kushikamana na kusaidiana inapowezekana hata angalau kwa hali...

Mkuu tupo pamoja ila nakuomba mfikishie mzee wetu na mama Anna Kilango maoni ya wadau wa JF walio wengi kuhusu posho na rai mbali mbali za humu jamvini yale yenye manufaa kwa taifa
 
Nafikiri gharama ya kumtibu Malecela italeak siku moja!
Jamani tupeni data watu wa wizara ya afya na ubalozi UK.
Hypocricy ya hawa elites wa Magamba.Walalahoi tunatibiwa General hospital hapo Dodoma.

Maana alikuwa anatibiwa private hospital,sio NHS!!!!!!!!!!!(design ya first class Muhimbili)
 
Sifa na utukufu ni kwa Mungu mwenyewe kwa kumponya mzee Malecela. Namuombea afya njema. Arudi tuendeleze gurudumu la twafa letu hili la Tanganyika
 
MPE POLE SANA HUYO MZEE WETU, WENGINE SISI TUMEMMISS SANA. PIA MAZA NAYE TUMEMMISS SANA MUNGU AKIJALIA AWAWEZESHE MUMRUDISHE SALAAMA. CCM HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.................................!!!!!!!!!!!!!!!
 
Comrade willy,

Nice to hear that,Tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu apate nafuu zaidi.God is the supreme healer,tuko pamoja katika hili.On behalf of my family, I wish him a speedy Recovery.
 
Tunashukuru hali ya afya ya mzee imeimarika na kumuombea fully recovery, busara zake bado tunazihitaji sana kuelekea katika kuwashawishi wenzake kuwa hali ya upepo wa sasa wa matakwa ya watanzania haiwezi kuzimwa na kamati kuu bali ni kuridhia matakwa na kuanza upya. Wasichezee mchakato wa kutafuta katiba mpya. Tanzania itakuwepo hata kama CCM haitakuwa madarakani siku moja na ninaamini kabisa mzee atakuwa anaomba siku moja katika uhai wake ashuhudie Tanzania ikikabidhi madaraka toka chama kimoja kwenda kingine kwa amani kabisa.
 
William mwambie maza tunamisi sana ile sauti yake kali mjengoni. Afanye haraka arudi bana, watu wa same wanamuhitaji awe mujengoni bana kuwawakilisha.
Hivi huwa unaliona bunge letu huko uliko? yaani mijadala inaendeleshwa na watu wachache kuliko nilivowahi kuona. Mwambie arudi chap chap basi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom