Sasa mnafanya nini huko Marekani? Rudini nyumbani tuonje wote ugumu wa maisha.
Ole wenu nisikie Someone Malecela anagombea uongozi huko tuendako wakati mnaishi Marekani.
Mtulie huko huko, mtuachie liinchi letu.
Hizo kazi unazowaambia wazifanye kwa bidii zikwapi?.
hii ni morogoro tanzania? Ooh God!Hapa umeongea mweeh wao wakiumwa wanaenda USA sie tunaambiwa kazi ya mungu haina makosa lolz
- Wananchi JF, ninaomba kuwashukuru kwa sala na salam zenu za kheri kwa mzee wetu Malecela, hatimaye juzi ametua hapa US, akifuatana na mama, ni mzima wa afya sana na tunamshukuru sana Mungu kwa miujiza yake!
- Ninawashukuru JF wote mliotufariji na hata wale wengine pia, ndio Demokrasia wote nimewasikia sana, lakini ninawashukuru sana kwamba sometimes tunaweza kuweka siasa na tofauti zetu pembeni, tukawa bina-adam na kurudi tena kwenye tofauti zetu za kawaida tukijali Taifa kwanza!
Love you all people! Thaanks JF, ndio maana hatupo kidogo, lakini tutarudi soon 100% tena!
Willie @ NYC, USA
- Wananchi JF, ninaomba kuwashukuru kwa sala na salam zenu za kheri kwa mzee wetu Malecela, hatimaye juzi ametua hapa US, akifuatana na mama, ni mzima wa afya sana na tunamshukuru sana Mungu kwa miujiza yake!
- Ninawashukuru JF wote mliotufariji na hata wale wengine pia, ndio Demokrasia wote nimewasikia sana, lakini ninawashukuru sana kwamba sometimes tunaweza kuweka siasa na tofauti zetu pembeni, tukawa bina-adam na kurudi tena kwenye tofauti zetu za kawaida tukijali Taifa kwanza!
Love you all people! Thaanks JF, ndio maana hatupo kidogo, lakini tutarudi soon 100% tena!
Willie @ NYC, USA
Lakini kama wengine walivyouliza, unajisikiaje mzee Malecela kuokolewa maisha yake ktk nchi nyingine wakati alikuwa na uwezo wa kuweka mazingira ya aina hiyo hiyo hapo Dodoma?
Twamshukuru Mungu Mkuu, ila nifikishie ujumbe kwa mzee kwamba yeye aweze kuthubutu kukemea maovu ndani ya ccm, yeye sasa ni mzee mwenye busara na hekima, ajaribu kutuhurumia watanzania kwa kuwaambia ukweli ccm.
Huyo sio kamanda, ni kada wa chama magamba! Kada willie tupo pamoja, endelee kumuuguza mzee apate afya njema zaidi.. Mpe pole zetu then twamtakia afya njema!.....Tupo Pamoja Sana Kamanda wetu ..huyu Mungu mwacheni aitwe Mungu!!!......Mbarikiwe sana!!
- Wananchi JF, ninaomba kuwashukuru kwa sala na salam zenu za kheri kwa mzee wetu Malecela, hatimaye juzi ametua hapa US, akifuatana na mama, ni mzima wa afya sana na tunamshukuru sana Mungu kwa miujiza yake!
- Ninawashukuru JF wote mliotufariji na hata wale wengine pia, ndio Demokrasia wote nimewasikia sana, lakini ninawashukuru sana kwamba sometimes tunaweza kuweka siasa na tofauti zetu pembeni, tukawa bina-adam na kurudi tena kwenye tofauti zetu za kawaida tukijali Taifa kwanza!
Love you all people! Thaanks JF, ndio maana hatupo kidogo, lakini tutarudi soon 100% tena!
Willie @ NYC, USA