Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Status
Not open for further replies.
Kuna kitu kipya hapa kinakuja-Maaskofu wana baraza lao-polisi wa nini?Halafu eti Askofu amezimia yupo mahututi tena baada ya kuhojiwa polisi mmmh!Bila shaka Pengo alitumwa na serikali aongee vile,Mtu yeyote akipinga ameipinga serikali-Anayepinga serikali ni muhaini-Na muhaini adhabu yake ni kifo

Hujaanza bado kufikiri!
 
Taifa la Tanzania limekuwa na umoja, amani na mshikamano kwa miongo kadhaa. kwasasa serikali imejikwaa na kwabahati mbaya tuna viongozi wapumbavu, wajinga na walevi wa madaraka mfano

1. Waziri mkuu Pita Pinda - mahakama ya kadhi

2. Stevin Wassira - uchinjaji, Ibada na haki yakuchinja

3. Jakaya M. Kikwete - katiba mpya na mauzauza ya kuyumbishwa misingi ya utawara bora, Zanzibar na wimbo wa Taifa lake, katiba yake, bendera yake nk

Unapokuwa na viongozi ambao uwezo wao wakufikiri umegota kwenye msingi mmoja mkuu yaana divide and rule - nidhahili taifa linaenda kuangamia

a) Waislam na Wakristu wanafitinishwa bila sababu zozote za maana

b) Vyama vya siasa vinafitinishwa bila sababu, uteswaji na mauwaji

c) Wakristu kwa wakristu wanafitinishwa

d) Waislam kwa waislam wanafitinishwa

e)Raia kwa raia wanafitinishwa

f) Polisi na raia, polisi na vyama vya siasa wanafitinishwa

Mwisho wahaya yote nimmoja tu Taifa kuingia vitani, ukitafuta sababu ni uchu na urafi wa madaraka kwa ccm na viongozi wake.

Na-Olewenu nyinyi mnaokula nakusaza sasa nakushabikia upuuzi huu, maana siku yaja sote tutatapakaa huku na kule kuomba pakujificha na wala hakuna atakayebaki salama.

Wewe Adolay kwanini unamtukana Rais kwa kumwita mpumbavu, mjinga na mlevi???!!!

Subiri uone matokeo yake.
 
NA kinachomuua Gwajima siyo Pengo wala nini, ni hiyo mahakama ya kadhi na mpango wa Kikwete, Pinda, Membe, Kova, Makamba n.k katika kuisilimisha Tanania. Wtanzania acheni ushabiki usiokuwa na macho.

Pengo aliingizwa mkenge. Sasa anajuta. Na wanaaoshabikia upuuzi huu, watakumbuka na kuanza kujuta wakati wanashuhudia mauaji ya kigaidi huku maiti zikikosa watu wa kuzika!. Nyumba wanazojenga hawatazikalia. Watawindwa kama ngeredere hata kwenye vichaka mashambani kwao. Maiti zitazagaa kila kona. Mtoto na mama hawataonana. Kitakuwa nikilio kikubwa Tanzania hakijawahi kuwepo tangu kuumbwa kwa nchi hii.

Sasa hivi wanashangilia Gwajima anauawa. Bado zamu zao.

Ni wakati wa kuungana na kukataa kwa nguvu zote hii habari za kuingiza serikali yeu kwenye dini ya kiislam kwa sababu uislam na uovu ni kitu kimoja. Kwa nini wanaua watu ili mahakama ya kadhi iingizwe serikalini? Hiyo mahakama ina umuhimu gani serikalini hadi damu za watu zimwagike?

Mungu anaishi!.




Usikumbushe ya Bucha za Nguruwe ....hawa jamaa bado wanayo rohoni na sasa mahakama......acheni hiyo kabisa.
 
Yupo chini ya uangalizi wa waumini wake.

Source: Tanzania Daima, Nipashe...

Gwajima ni shujaa wa ukweli wenye msimamo. Ni kwa nini Pengo aliwasaliti wenzie? Kama alikuwa hataki azmio ni kwa nini asingekataa tangia mwanzo?
 
Sijawahi kuona kiongozi wa dini mwoga kama Gwajima. Nimesikiliza audio wakati anatoa taarifa kwa waumini wake Arusha kuhusu kuitwa Central polisi. Du! Jamaa ameongea kwa nidhamu na kujitetea tetea huwezi amini ndio yule aliyekuwa anaporosha madongo makavu kwa Pengo. My take "Usijaribu sumu kwa kuilamba"

Alilewa sifa kwakushangiliwa na waumini wake akajiona anauwezo wa kutukana kila mtu ngoja apate alicho taka.
 
Sikutegemea kauli kama hii kutoka kwa mtu wa mbeya ambako ni miongoni mwa mikoa yenye watu wanaoelewa harakati so fuki yu bitch!

Mbona povu linakutoka mpaka kumtukana dada wa watu? Au Gwajima ni........................ Wako???
 
Mpumbavu ni mtu afanyae mambo ya kipumbavu kama kikwte. Mtatuua wengi wala si Adolay peke yake. Hawezi kufanya upumbavu halafu aitwe mweledi na hawezi kufanya masuala mema akaitwa mpumbavu.

Mtatuua wote lakini hamna uwezo wa kuua roho zetu ambazo Ziko Mikononi mwa Mungu peke yake wala sikwako wala si kwa kikwete.!.


Wewe Adolay kwanini unamtukana Rais kwa kumwita mpumbavu, mjinga na mlevi???!!!

Subiri uone matokeo yake.
 
KUMBUKUMBU LA TORATI 28:7

Bwana atafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako;
Watakutokea kwa njia moja,lakini watakimbia mbele zako kwa njia saba.

zaburi 35:26

Waaibishwe,Wafedheheshwe pamoja.
Wanaoifurahia hali yangu mbaya.
Wavikwe aibu na fedheha. Wanaojikuza juu yangu.

zaburi 35:4

Waabishwe,
Wafedheheshwe,
Wanaoitafuta nafsi yangu.
Warudishwe nyuma,
Wafadhaishwe, Wanao nizulia mabaya.

Naijulikane Mungu ni wa Pengo au wa gwajima
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom