Kwa iyo Leo hajaingiza siku
siku ya leo wenzake wamepiga day worker
Kwa iyo Leo hajaingiza siku
KUMBUKUMBU LA TORATI 28:7
Bwana atafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako;
Watakutokea kwa njia moja,lakini watakimbia mbele zako kwa njia saba.
Jaman kova!! Acha Mambo yako .?mbona tanga ulishindwa!? muache gwajima afanye kaz ya mungu!!
Ndio huyo huyo
Haswaa, naona wamemgeuka.
Isije kuwa Mbasha kalipa kisasi kinamna,mke anauma mno...
Jaman kova!! Acha Mambo yako .?mbona tanga ulishindwa!? muache gwajima afanye kaz ya mungu!!
Yupo chini ya uangalizi wa waumini wake.
Source: Tanzania Daima, Nipashe...
mitume walichinjwaa ijekuwa kutukanwa pengo.aache upadri aendee kwenye siasaUenda kapigwa pigo na malaika wa Mungu kumtukana Pengo maana kama ilikuwa njama za binadamu basi angeletewa ufunuo lakini pigo la Mungu kambania kumpa Ufunuo
Tumuombee askofu wetu apone
Kumbukeni pengo ni kichwa kutoka sumbawanga
Mungu ampe afya apone atoe ushuhuda wa kweli kuhusu maandiko matakatifu
How????
Mungu ampe afya apone atoe ushuhuda wa kweli kuhusu maandiko matakatifu
Yaani mtu anichapie harafu nimwache?,haiwezekani..