mh rais JK-hakuna mahakama ya kukatana mikono, kuchomana visu, kuoana miaka tisa, kudondoshana kwenye magorofaJamaa hana busara hata kidoo polisi tu wanafanya azimie sijui mungu akimuuliza kuhusu wizi wake wa wake za watu atasema nini.
Na mimi najiuliza swali hili.
Jamaa hana busara hata
kidoo polisi tu wanafanya azimie sijui mungu akimuuliza kuhusu wizi
wake wa wake za watu atasema nini.
Muulize Lema anajua nini huwa kinawapata watu wahuni kama gwajima wakienda polisi.
Kuna kitu kipya hapa kinakuja-Maaskofu wana baraza lao-polisi wa nini?Halafu eti Askofu amezimia yupo mahututi tena baada ya kuhojiwa polisi mmmh!Bila shaka Pengo alitumwa na serikali aongee vile,Mtu yeyote akipinga ameipinga serikali-Anayepinga serikali ni muhaini-Na muhaini adhabu yake ni kifo
zaburi 35:26
Waaibishwe,Wafedheheshwe pamoja.
Wanaoifurahia hali yangu mbaya.
Wavikwe aibu na fedheha. Wanaojikuza juu yangu.