Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Status
Not open for further replies.
swali la kujiuliza kwa nini alizimia baada ya polis kumwambia kuwa wanataka wakakague nyumba yake. Je nyumbani kwake kuna vitu gani? ambavyo hataki polis wavione

Anauza unga wa sembe ya Afghanistan
 
Taifa la Tanzania limekuwa na umoja, amani na mshikamano kwa miongo kadhaa. kwasasa serikali imejikwaa na kwabahati mbaya tuna viongozi wapumbavu, wajinga na walevi wa madaraka mfano

1. Waziri mkuu Pita Pinda - mahakama ya kadhi

2. Stevin Wassira - uchinjaji, Ibada na haki yakuchinja

3. Jakaya M. Kikwete - katiba mpya na mauzauza ya kuyumbishwa misingi ya utawara bora, Zanzibar na wimbo wa Taifa lake, katiba yake, bendera yake nk

Unapokuwa na viongozi ambao uwezo wao wakufikiri umegota kwenye msingi mmoja mkuu yaana divide and rule - nidhahili taifa linaenda kuangamia

a) Waislam na Wakristu wanafitinishwa bila sababu zozote za maana

b) Vyama vya siasa vinafitinishwa bila sababu, uteswaji na mauwaji

c) Wakristu kwa wakristu wanafitinishwa

d) Waislam kwa waislam wanafitinishwa

e)Raia kwa raia wanafitinishwa

f) Polisi na raia, polisi na vyama vya siasa wanafitinishwa

Mwisho wahaya yote nimmoja tu Taifa kuingia vitani, ukitafuta sababu ni uchu na urafi wa madaraka kwa ccm na viongozi wake.

Na-Olewenu nyinyi mnaokula nakusaza sasa nakushabikia upuuzi huu, maana siku yaja sote tutatapakaa huku na kule kuomba pakujificha na wala hakuna atakayebaki salama.
 
Taifa la Tanzania limekuwa na umoja, amani na mshikamano kwa miongo kadhaa. kwasasa serikali imejikwaa na kwabahati mbaya tuna viongozi wapumbavu, wajinga na walevi wa madaraka mfano

1. Waziri mkuu Pita Pinda - mahakama ya kadhi

2. Stevin Wassira - uchinjaji, Ibada na haki yakuchinja

3. Jakaya M. Kikwete - katiba mpya na mauzauza ya kuyumbishwa misingi ya utawara bora, Zanzibar na wimbo wa Taifa lake, katiba yake, bendera yake nk

Unapokuwa na viongozi ambao uwezo wao wakufikiri umegota kwenye msingi mmoja mkuu yaana divide and rule - nidhahili taifa linaenda kuangamia

a) Waislam na Wakristu wanafitinishwa bila sababu zozote za maana

b) Vyama vya siasa vinafitinishwa bila sababu, uteswaji na mauwaji

c) Wakristu kwa wakristu wanafitinishwa

d) Waislam kwa waislam wanafitinishwa

e)Raia kwa raia wanafitinishwa

f) Polisi na raia, polisi na vyama vya siasa wanafitinishwa

Mwisho wahaya yote nimmoja tu Taifa kuingia vitani, ukitafuta sababu ni uchu na urafi wa madaraka kwa ccm na viongozi wake.

Na-Olewenu nyinyi mnaokula nakusaza sasa nakushabikia upuuzi huu, maana siku yaja sote tutatapakaa huku na kule kuomba pakujificha na wala hakuna atakayebaki salama.

Hivi ni ulafi au urafi?nauliza tu kutaka kujua!
 
swali la kujiuliza kwa nini alizimia baada ya polis kumwambia kuwa wanataka wakakague nyumba yake. Je nyumbani kwake kuna vitu gani? ambavyo hataki polis wavione

Kwa hiyo baada ya kuzimia police wakaacha kwenda kukagua au wakaenda ebu tujuze mkuu?
 
Tatizo lako unaandika usiyoyaamin wala kuyajuwa

mimi naomba unipe ufafanu/majibu ya yafiatayo

Umejiuliza haya:-
1. Vipi polisi wamwite kama sio tishio

2.Vipi harakaharaka Kikwete ametoa hotuba
kujibu ya maaskofu na mashekhe baada ya
mnyukano tunao ushuhudia.

3. Vipi serikali umeuficha muswaada wake
wakishenzi ilikuwagawa watanzania

Msipende kutowa majibu mepesi kwa mambo
mazito ambayo yanawachanganya viongozi
nakuliweka Taifa njiapanda.

Mimi si mwamini wake sasa wataka niishi kwa imani ama uhalisia?
Suala hapa ni Kwanini aogope. Kupekuliwa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom