Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Status
Not open for further replies.
NA kinachomuua Gwajima siyo Pengo wala nini, ni hiyo mahakama ya kadhi na mpango wa Kikwete, Pinda, Membe, Kova, Makamba n.k katika kuisilimisha Tanania. Wtanzania acheni ushabiki usiokuwa na macho.

Pengo aliingizwa mkenge. Sasa anajuta. Na wanaaoshabikia upuuzi huu, watakumbuka na kuanza kujuta wakati wanashuhudia mauaji ya kigaidi huku maiti zikikosa watu wa kuzika!. Nyumba wanazojenga hawatazikalia. Watawindwa kama ngeredere hata kwenye vichaka mashambani kwao. Maiti zitazagaa kila kona. Mtoto na mama hawataonana. Kitakuwa nikilio kikubwa Tanzania hakijawahi kuwepo tangu kuumbwa kwa nchi hii.

Sasa hivi wanashangilia Gwajima anauawa. Bado zamu zao.

Ni wakati wa kuungana na kukataa kwa nguvu zote hii habari za kuingiza serikali yeu kwenye dini ya kiislam kwa sababu uislam na uovu ni kitu kimoja. Kwa nini wanaua watu ili mahakama ya kadhi iingizwe serikalini? Hiyo mahakama ina umuhimu gani serikalini hadi damu za watu zimwagike?

Mungu anaishi!.

mambo mengine Mungu mnamuingiza na hayamuhusu!!! huyo gwajima atakufa kwa ahadi! siku saa dakika sekunde yake ikifika atakwenda tuu!
Mpumbavu ni yeye analeta kigodoro kukesha hawezi...
 
Kosa linalomfanya Jakaya Kikwete, Sulemani Kova, Membe, Salum Pinda, na hao wengine kumuua Gwajima, ni lipi? Ni kumkemea Pengo? Pengo leo amekuwa mzuri sana hadi serikali iamue kuua mtu eti kamkemea?

Naomba utumie akili zako vizuri usije kujuta kwa kutokufaham. Pengo yeye ameshajua kosa alilolifanya. Kajua aliingizwa mkenge na Pinda na sasa anajuta. Wewe je, unafurahia kifo cha Gwajima kwa ajili gani?


mambo mengine Mungu mnamuingiza na hayamuhusu!!! huyo gwajima atakufa kwa ahadi! siku saa dakika sekunde yake ikifika atakwenda tuu!
Mpumbavu ni yeye analeta kigodoro kukesha hawezi...
 
Kosa linalomfanya Jakaya Kikwete, Sulemani Kova, Membe, Salum Pinda, na hao wengine kumuua Gwajima, ni lipi? Ni kumkemea Pengo? Pengo leo amekuwa mzuri sana hadi serikali iamue kuua mtu eti kamkemea?

Naomba utumie akili zako vizuri usije kujuta kwa kutokufaham. Pengo yeye ameshajua kosa alilolifanya. Kajua aliingizwa mkenge na Pinda na sasa anajuta. Wewe je, unafurahia kifo cha Gwajima kwa ajili gani?

Ushahidi wa kikwete na pengo wanataka kumuua gwajima uko wapii???? Dhambi kuhisi na kuzushia watu mambo usiyoyajua moyoni mwao
Gwajima ni nani asihojiwe akikosea mbona mashehe wanahojiwa na wakikutwa na hatia wanapelekwa mahakamani????
Mungu ahusiki mengine tumpumzishe
simchukii na sitaki afe, atakufa kama siku yake imefika
 
Kumbe walokole mihemko hawana lolote kuhojiwa tu polisi mavi tele debe presha juu
Jee wangepata yale walopata masheikh kuteswa na kufanyiwa uchafu ingekuaje ?
Kumbe hawana lolote kujifanya wanatoa majini
Kazi yao ku huku wake za watu tu tu
 
yani kuhojiwa tu na polisi pressure imempanda, siku akihijiwa na Mungu kwa yale matusi itakuwaje,mbwebwe kibao kumbe ndina tu.

Kama alitumia microphone mh!
kwa sababu nasikia zinazomilikiwa na sirikali zinaua taratibu
 
Kama alitumia microphone mh!
kwa sababu nasikia zinazomilikiwa na sirikali zinaua taratibu

watanzania tunaishi kwa hereby say.let say afe huko ICU, ripoti ya madaktari itatupa ukweli, na hata ikipikwa wagala hawezi kukubali kumzika kibudu.

huyu gwajima ni muhuni tu, hana sifa za kuongoza wanakondoo
 
Kamchokoza mmbulu kisha kamtukana mfipa.aombe msamaha bure tu watakubali wapi.?
 
Kosa linalomfanya Jakaya Kikwete, Sulemani Kova, Membe, Salum Pinda, na hao wengine kumuua Gwajima, ni lipi? Ni kumkemea Pengo? Pengo leo amekuwa mzuri sana hadi serikali iamue kuua mtu eti kamkemea?

Naomba utumie akili zako vizuri usije kujuta kwa kutokufaham. Pengo yeye ameshajua kosa alilolifanya. Kajua aliingizwa mkenge na Pinda na sasa anajuta. Wewe je, unafurahia kifo cha Gwajima kwa ajili gani?

Salum pinda ndio nani mkuu.?!
 
Salum Pinda ni waziri mkuu wa sasa wa Tanzania aliyekuwa akijulikana kwa jina la Peter Kayanza Pinda. Aliitwa salum baada ya kusilimishwa kule uarabuni kama sharti ya kupewa fedha nyingi, kuliko za Lowasa ili zimsaidie kwenye kampeni. Kama atashindwa basi zitamsaidia maishani mwake. Lakini shart kuu ni kusilimu na kuhakikisha anasimamia maslahi ya dini ya kiislam Tanzania.

Huyo ndiye pinda mizengo salumu aliyekuwa akijiita Peter zamani.



Salum pinda ndio nani mkuu.?!
 
Salum Pinda ni waziri mkuu wa sasa wa Tanzania aliyekuwa akijulikana kwa jina la Peter Kayanza Pinda. Aliitwa salum baada ya kusilimishwa kule uarabuni kama sharti ya kupewa fedha nyingi, kuliko za Lowasa ili zimsaidie kwenye kampeni. Kama atashindwa basi zitamsaidia maishani mwake. Lakini shart kuu ni kusilimu na kuhakikisha anasimamia maslahi ya dini ya kiislam Tanzania.

Huyo ndiye pinda mizengo salumu aliyekuwa akijiita Peter zamani.

nasikia hata dr kishapewa sasa anaitwa Othman bin abdulmalik slaa.
 
Salum Pinda ni waziri mkuu wa sasa wa Tanzania aliyekuwa akijulikana kwa jina la Peter Kayanza Pinda. Aliitwa salum baada ya kusilimishwa kule uarabuni kama sharti ya kupewa fedha nyingi, kuliko za Lowasa ili zimsaidie kwenye kampeni. Kama atashindwa basi zitamsaidia maishani mwake. Lakini shart kuu ni kusilimu na kuhakikisha anasimamia maslahi ya dini ya kiislam Tanzania.

Huyo ndiye pinda mizengo salumu aliyekuwa akijiita Peter zamani.

Acha uzushi wewe,ni aibu kuwa mtu wa majungu
 
Masikini, alipokuja mujini akanunua na helicopter akajua yuko above the law! wacha aonyeshwe kwamba muji una wenyewe!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom