Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Status
Not open for further replies.
Kabla ya kujisalimisha Polisi aliongea mengi sana kumbe ilikua hofu vijitu vya 1inchi bhana bure kabisa, tambo zote zile hamna kitu.
 
Atakuwa Pengo manake maandiko ya dini yanatufundisha kusamehe hata Yesu walimdhihaki na kumtemea mate lakini aliwasamehe kwa vile hawakujua walitendalo, kumbuka kuna mtu alimpiga risasi pop john 11 lakini alimsamehe sasa ndio tunaona watu wenye roho ya mbwa mwitu wanapovaa ngozi ya kondoo tutawajua kwa matendo yao.

Kwani Pengo kamfanya nini?
 
kwa nn watu mnakimbilia kusema kuwa polisi walitaka kumuua,wakamuwekea sumu?

auliwe kwani yeye ana hatari gani kwa tanzania?

mbona sio tishio hata kidogo,kuna watu ambao ukisema serikali au polisi inataka kuwaua unaweza kujenga hoja lakini sio gwajima.

na pia kama wangetaka kumuua wasinge tumia mbinu mbovu ya sumu kwenye mic.

kagame amekua anawaua watu wote ambao kwanjia moja au nyingine wametishia kuuporomosha utawala wake,sasa gwajima auliwe na polisi ana hatari gani kwa taifa?

waumini wake na wafuasi wake ni sehem gani ya taifa?ni wachache sana,ni kama tone tu.

kwa nn serikali imuue,yy anajulikana kua anaongea vitu kwa pupa, aliongea kuhusu dengue,kitu ambacho ni cha kitaalam yy akakiongelea kwa kijinga.

hii kusema kuwa kawekewa sumu ni kutafuta pa kutokea tu

labda yy kapata mshtuko tu,hakutegemea kua alivyokua anaongea vile kwa kujisifu na kutaka umaarufu na kushanguliwa vinge mgeuka.

mishtuko kama hii inawakuta wengi,sio yeye wa kwanza.na yy ni binadamu tu kama wengine,na pia inasemekana kua hakula chakula kwa mda mrefu.vyote vinawwzekana.

lakini kutaka kuuliwa NO

Umeeandika mengi lakini hujajiuliza

1. Vipi polisi wamwite kama sio tishio

2.Vipi harakaharaka Kikwete ametoa hotuba kujibu ya maaskofu na mashekhe baada ya mnyukano tunao ushuhudia.

3. Vipi serikali umeuficha muswaada wake wakishenzi ilikuwagawa watanzania


Msipende kutowa majibu mepesi kwa mambo mazito ambayo yanawachanganya viongozi nakuliseka Taifa njiapanda.
 
kesi yake ni kuhusu pengo, sasa nyumba yake inahusiana na nini?
Na hakuna kitu kama hicho, eti wakakague kwake kisha mtu azimie.

Kama ni kweli yuu msafi hakuna jinsi angezimia,
Otherwise ni mchafu kupitiliza, ngozi ya kondoo hiyo
 
Gwajima hutakufa Bali utaishi.zabur ya ishirini na tano nakuunganisha nayo.ulinZi wa mungu kwa mtumishi wake ni mkubwa zaidi ya raisi wa nchi

Hakuna mahala popote palipoandikwa yu na haki mtu kumtukana, kumkebehi mpakwa mafuta wa Mungu.
 
Kama ni kweli yuu msafi hakuna jinsi angezimia,
Otherwise ni mchafu kupitiliza, ngozi ya kondoo hiyo

Tatizo lako unaandika usiyoyaamin wala kuyajuwa

mimi naomba unipe ufafanu/majibu ya yafiatayo

Umejiuliza haya:-
1. Vipi polisi wamwite kama sio tishio

2.Vipi harakaharaka Kikwete ametoa hotuba
kujibu ya maaskofu na mashekhe baada ya
mnyukano tunao ushuhudia.

3. Vipi serikali umeuficha muswaada wake
wakishenzi ilikuwagawa watanzania

Msipende kutowa majibu mepesi kwa mambo
mazito ambayo yanawachanganya viongozi
nakuliweka Taifa njiapanda.
 
Mimi nami najiuliza Sana, wamemfanyia nini mtu ambae haogopi hata police

Haogopi Polisi? ???
Zilikuwa mbwembwe tu kilichompanickisha aende Polisi ijumaa badala ya J3 aliyoisema mwenyewe ni nini?
 
Haogopi Polisi? ???
Zilikuwa mbwembwe tu kilichompanickisha aende Polisi ijumaa badala ya J3 aliyoisema mwenyewe ni nini?

Wala hukuelewa kaongea nini

mwisho wa maelezo yake ameitaja ijumaa na jumamosi endapo angerejea mapema.
 
Kazi ya Salum hiyo. Anasema mahakama ya kadhi inaanzishwa bosi wake anasema hamna. Shida sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom