Mchungaji Ajambiana Kanisani Kuponya

Mchungaji Ajambiana Kanisani Kuponya

bless on

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2026
Posts
901
Reaction score
2,180
Limpopo, Afrika Kusini — Mchungaji Christ Penelope, mwanzilishi wa Seven Fold Holy Spirit Ministries, amekuwa gumzo baada ya kuhusishwa na njia isiyo ya kawaida ya kuwaombea waumini wanaotafuta uponyaji.

Inadaiwa kuwa wakati wa ibada hiyo, mchungaji hukaa juu ya uso wa muumini na kumjambia, akidai kuwa kitendo hicho ni sehemu ya kuonyesha “nguvu za Mungu” na kwamba baadhi ya waumini huponywa baada ya kupata huduma hiyo.

Ripoti zinaeleza kuwa baadhi ya wafuasi wake husubiri kwa miezi kadhaa ili kupata nafasi ya huduma hiyo.

Kwa upande mwingine, jambo hilo limezua mjadala mkubwa mitandaoni, huku baadhi ya watu wakijiuliza kama kweli kujambiana kanisani kumefikia hatua ya kuwa huduma ya uponyaji.
 

Attachments

  • FB_IMG_1788950734367.jpg
    FB_IMG_1788950734367.jpg
    141.7 KB · Views: 10
Limpopo, Afrika Kusini — Mchungaji Christ Penelope, mwanzilishi wa Seven Fold Holy Spirit Ministries, amekuwa gumzo baada ya kuhusishwa na njia isiyo ya kawaida ya kuwaombea waumini wanaotafuta uponyaji.

Inadaiwa kuwa wakati wa ibada hiyo, mchungaji hukaa juu ya uso wa muumini na kumjambia, akidai kuwa kitendo hicho ni sehemu ya kuonyesha “nguvu za Mungu” na kwamba baadhi ya waumini huponywa baada ya kupata huduma hiyo.

Ripoti zinaeleza kuwa baadhi ya wafuasi wake husubiri kwa miezi kadhaa ili kupata nafasi ya huduma hiyo.

Kwa upande mwingine, jambo hilo limezua mjadala mkubwa mitandaoni, huku baadhi ya watu wakijiuliza kama kweli kujambiana kanisani kumefikia hatua ya kuwa huduma ya uponyaji.
Makebo o hydroxo Ertugrul Bey
 
Limpopo, Afrika Kusini — Mchungaji Christ Penelope, mwanzilishi wa Seven Fold Holy Spirit Ministries, amekuwa gumzo baada ya kuhusishwa na njia isiyo ya kawaida ya kuwaombea waumini wanaotafuta uponyaji.

Inadaiwa kuwa wakati wa ibada hiyo, mchungaji hukaa juu ya uso wa muumini na kumjambia, akidai kuwa kitendo hicho ni sehemu ya kuonyesha “nguvu za Mungu” na kwamba baadhi ya waumini huponywa baada ya kupata huduma hiyo.

Ripoti zinaeleza kuwa baadhi ya wafuasi wake husubiri kwa miezi kadhaa ili kupata nafasi ya huduma hiyo.

Kwa upande mwingine, jambo hilo limezua mjadala mkubwa mitandaoni, huku baadhi ya watu wakijiuliza kama kweli kujambiana kanisani kumefikia hatua ya kuwa huduma ya uponyaji.
Ndio maana wagalatia tunabezwa, kudharauliwa na kuchekwa japo dini yetu ndio ya kweli. Cha kuhuzunisha wafuasi wa dini ya kusadikika na mungu wa kusadikika wana nidhamu na heshima ya hali ya juu kwenye ibada zao japo hizo sala zao zinaishia hewani.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wagalatia kuna muda tunazingua!!!!
Sasa hivi ukisoma bible yesu au mtume yeyote aliwahi kuuza maji ya upako?
Au kujambia watu ili waokoke?
Na mengine mengi wanafanya hawa mitume ni useless kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Haya sasa Kula shuzi Hilo ukapate mke😂😂😂😂😂😂😂
 
Kitu kimoja ambacho tumefanikiwa ni kuleta dalili ya kile ambacho unakileta kwetu

Sisi hatuangalii Sheikh fulani kasema nini,tunaangalia je sunna za Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake zilisemaje kuhusu ibada fulani

Je,qur'an inasemaje hapo ndipo Uislamu ulipofanikiwa
 
Limpopo, Afrika Kusini — Mchungaji Christ Penelope, mwanzilishi wa Seven Fold Holy Spirit Ministries, amekuwa gumzo baada ya kuhusishwa na njia isiyo ya kawaida ya kuwaombea waumini wanaotafuta uponyaji.

Inadaiwa kuwa wakati wa ibada hiyo, mchungaji hukaa juu ya uso wa muumini na kumjambia, akidai kuwa kitendo hicho ni sehemu ya kuonyesha “nguvu za Mungu” na kwamba baadhi ya waumini huponywa baada ya kupata huduma hiyo.

Ripoti zinaeleza kuwa baadhi ya wafuasi wake husubiri kwa miezi kadhaa ili kupata nafasi ya huduma hiyo.

Kwa upande mwingine, jambo hilo limezua mjadala mkubwa mitandaoni, huku baadhi ya watu wakijiuliza kama kweli kujambiana kanisani kumefikia hatua ya kuwa huduma ya uponyaji.
Ujinga huu ukifanywa na wakristo nashangaa sana, inakuwaje wasomi wanakuwa wajinga hivi?
 
Back
Top Bottom