Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Hali ya mchungaji Gwajima mahututi ICU

Status
Not open for further replies.
huyu si ndio aliagiza malaika wakampige pengo au nakosea?
 
ccm ni chama cha MAFIA, watu kama Mwakyembe wamebaki humo baada ya kubambikiziwa polonium kwa sababu ya njaa tu na si mapenzi ya dhati ya chama!! Walimkosa mara ya kwanza ,mara ya pili hawamkosi!!
 
Kazi ya police kuuwa bila kutumia virungu inaendelea kuonekana.Siwapendi police wa Tanzania kuliko kitu chochote kwa hapa kwetu

Usitake kusingizia polisi;majini yake yamemgeuka baada PENGO kumshtakia kwa mungu.
 
yani kuhojiwa tu na polisi pressure imempanda, siku akihijiwa na Mungu kwa yale matusi itakuwaje,mbwebwe kibao kumbe ndina tu.

Mkuu Umetisha,Kova tu presha juu.........ha ha ha ha ba
 
zaburi 59:14-15

Wakati wa jioni hurudi, hulia kama mbwa. Na kuzunguka zungunguka mjini.
Watatanga tanga hao wakitafuta chakula; wasiposhiba watakesha usiku kucha.


Mtamaliza vifungu vyote vya biblia. Dawa ni moja tu. Atubu. Lasivyo Atakufa.


zaburi 35:11

Mashahidi wa udhalimu wanasimama, wananiuliza mambo nisiyoyajua
Wananilipa mabaya badaala ya mema. Hata nafsi yangu ikaingia ukiwa.
 
si ana hela yule jamaa kwa nn asitibiwe nje ya nchi...
serikali ina bifu nae na bado anatbiwa hapa hapa
 
Sasa nani anaendesha kanisa au waumini wameambiwa wafunge mpaka atakaporudi mwenyewe?
 
swali la kujiuliza kwa nini alizimia baada ya polis kumwambia kuwa wanataka wakakague nyumba yake. Je nyumbani kwake kuna vitu gani? ambavyo hataki polis wavione
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom