Hali ya hewa Marangu -Rombo haifai siku ya leo Juni 25

Hali ya hewa Marangu -Rombo haifai siku ya leo Juni 25

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
22,912
Reaction score
27,830
Balaa kubwa hili,
1000005534.jpg
 
Nipo huku kwa muda tu,lakini hali ni mbaya sana!..(madirisha ya aluminium yalistahili maeneo ya aina hii,hata hivyo tunamadirisha yetu ya vioo vya kimtindo lakini mbeo inapita 😀😀

Hiyo ndio hali ya hewa ninayoipenda. Unaidhibiti upendavyo kwa mavazi upendayo.
Sio hili joto la Dar linalokulazimisha utembee uchi.
 
Hiyo inaitwa "Imbulimbuli" (au Fog. kwa lugha ya Malkia) Kichaga cha KV.
Wenye magari watajua umuhimu na maana ya zile taa (head lights) za njano. ( Hapa Kiteto Manyara leo 25/06/2026 saa saba kaso dk 12, joto ni 22deg. Celcius na mara kadhaa jioni joto hushuka hadi nyuzi 19 centigrade)
 
Back
Top Bottom