hali ya hewa hapa MMU

hali ya hewa hapa MMU


asante dada mkubwa
kwa kuliongelea hili maana
sio siri wengi tulikwazika
lkn hatukuweza kusema kuogopa vijembe
vya wakaka

ata kama ulikwazika so ndo ukaamua kumtukania yule arch bishop mama yake kwenye uzi wangu.? Nitabia mbaya sana iyo ulinikera mpaka nika kuripoti...mambo ya mmu unawahusirha mpaka wazazi alafu huku unajifanya mtukufu weweeee chunga ndimi yako iyo.
 
Last edited by a moderator:
nakubali wachfuke lkn wasichafue wengine babuuu.............
Wee kila siku utaona mara nipen sifa za wanawake wa kiamchame, mara ooh mabinti wa kichaga hawajui mapenzi, mara ooh makwapa ya wanawake ni meusi, mara ooh wanawake ni magogo kitandani utafikiri yy ni mti basi useme upepo ukija utapeperusha matawi.

Hii tabia ni mbaya na haivumiliki iachwe mara moja

aiiseeee hiii kitu ya kueleza hayo mambo yasiyo na maana sijui imetoka wapi coz naudhika mpaka nahisi kutetemeka
HEBU TUJARIBUNI KUBADILIKA HATA KIDOGO TUWE WATU TUNAOFIKIRI ZAIDI YA UPEO ILI KUEPUSHA MALUMBANO YASIYO NA TIJA
 
hilo hata mi nimeliona, ile siku zahra white alipoanzisha mada ya kudate mwanaume wa age 35+ akionyesha kuwa disapointed na walio na age chini ya hiyo, kuna kaka akaanzisha mada akipondea ladies 18-twenty somethn kwamba ni goigoi. ukisoma ile thread, (between the lines) utaona kama alikuwa anamjibu zahra white
 
Mwanamke mwenye akili timatu kamwe hawezi kuanza kumtusi mwanaume mwenye maumbile madogo ya kiume.tatizo ndo liko hapo,mnawazarau sana wanaume wenye vibamia eti kwakua ulitembea na wanaume wa3 wenye mabusha.? Huo niujinga mkubwa mno,naamini mkianza kujirekebisha nyie na kauri zenu,hakutakua na marumbano daima humu ndani.

"some times you have to take ur gun up...so as to put some one's gun down"
 
hilo hata mi nimeliona, ile siku zahra white alipoanzisha mada ya kudate mwanaume wa age 35+ akionyesha kuwa disapointed na walio na age chini ya hiyo, kuna kaka akaanzisha mada akipondea ladies 18-twenty somethn kwamba ni goigoi. ukisoma ile thread, (between the lines) utaona kama alikuwa anamjibu zahra white

sasa kwanini ali wa ponda wale wanaume ihali hakutembea nao wote,na wala hajui uwezo wa wanaume wote wawapo kitandani,kama hakupanga kuanzisha ugomvi ni nini.? Mambo mengne mnayaanza mkishikwa pabaya uma lalamika.? Unapo mchokoza mtu unatakiwa ujipange na wewe coz hujui atareact vipi.? Kwa lugha,vitendo n.k ndo mana leo tuna peana adabu humu.
 
Vibamia oyeeeee navipendaje? Waacheni wenye vibamia wapumue jamani kumbukeni watawaambia mna mabeseni ha ha ha mie simo lakini
 
Acheni kuwataja baba na mama zenu kwenye upumbavu wenu wa matusi na ubishani wa kijinga, hao ni watu wa kuwaheshimu, Sio mtu akikusema au kukutania basi unakimbilia kusema "UKIMDHARILISHA MAMA BASI UMEMDHARISHA HATA MAMA YAKO, au UKIMDHARILISHA BABA BASI UMEMDHARISHA HATA BABA YAKO" Hiyo ni mifano ya mtu anaefikiria kwa kutumia ileeee aliyosema Mzee Ma------, Nakuuliza Swali Na Tafakari Je Ukioa Mwanamke unakuwa kama Umemuoa nani? Au Ukiolewa unakuwa Umeolewa na nani?
Stop Ujinga Tufikiri na kujadili Mambo ya maana hata kukaa kimya ni Maana Zaidi kuliko Kumtaja taja Mzazi wako hapa ambaye labda hata kushika Mouse hawezi USHAURI WA BURE Achana na kuhamisha Matusi au Hisia kwa wazazi wako ni hatari, Uweza Shindwa kuishi Kidijitali . Kumbuka matusi ni Moja ya Ujinga wa binaadamu kwa maana hayana Impact yoyote ile . Sana sana inamdharisha Mtukanaji. Kama Huamini endeleeni Kutukana Muone kama mtapata sifa Positive . HESHIMU WATU ,USIMSHIRIKISHE YEYOTE KATIKA KUTUKANWA KWAKO, USITUMIE NENO SISI, TUMIA NENO MIMI
Nakaribisha Matusi kama utatajirika nayo Ubarikiwe sana
 
Mmu mmeanza kuparurana sio? Safi kabisa mkimaliza kung'oana kucha na meno njooni chitchat mpumzike.
Good evening wakaka na wadada wa mmu.
 
ata kama ulikwazika so ndo ukaamua kumtukania yule arch bishop mama yake kwenye uzi wangu.? Nitabia mbaya sana iyo ulinikera mpaka nika kuripoti...mambo ya mmu unawahusirha mpaka wazazi alafu huku unajifanya mtukufu weweeee chunga ndimi yako iyo.

hayakuhusu kaa kimya
ye aliyoyatoa ulikua unasapoti
ndio wale wale tu,mazooooooooo!!
na sikumbuki kutukana wazazi wa binadamu huku poleeee!!
 
kenge kweli wewe mlianza kurumbana nyie wawili,ulipoona maji shingoni ndo ukamtukania mama yake.?we -------- kweli ugomvi wenu wakijinga unamuhusisha mzazi.? Alafu nikae kimya nisikukanye.? Kama umeolewa mumeo ana hasara sana,anaishije na mwanamke mjinga kama wewe mwenye akili matege.? Umelaanika kuliko wanawake woteeee kenge we.
Ph-25
you have stretched beyond limit.. try to show some respect ! Pls..
 
Last edited by a moderator:
kenge kweli wewe mlianza kurumbana nyie wawili,ulipoona maji shingoni ndo ukamtukania mama yake.?we -------- kweli ugomvi wenu wakijinga unamuhusisha mzazi.? Alafu nikae kimya nisikukanye.? Kama umeolewa mumeo ana hasara sana,anaishije na mwanamke mjinga kama wewe mwenye akili matege.? Umelaanika kuliko wanawake woteeee kenge we.

Hahaha mkuu ulinyimwa kei nini maana vidume MMU
 
Mwanamke mwenye akili timatu kamwe hawezi kuanza kumtusi mwanaume mwenye maumbile madogo ya kiume.tatizo ndo liko hapo,mnawazarau sana wanaume wenye vibamia eti kwakua ulitembea na wanaume wa3 wenye mabusha.? Huo niujinga mkubwa mno,naamini mkianza kujirekebisha nyie na kauri zenu,hakutakua na marumbano daima humu ndani.

"some times you have to take ur gun up...so as to put some one's gun down"

mkuu nakuunga mkono wanawake wengi japo sio wote hajitambui kabisa wewe kama mke unaejielewa na unajiheshm utaanzaje kuanika siri za mwanaume hadharan? Et vibamia sasa kwann mnawafuata? Chongen mipin basi mjizamishe kwenye nyuchi zenu? Mkitajwa nyie mnaanza kulalamika et mnadharauriwa nan atakuheshmun wakat hamjiheshm?............. Tena mliokuwa mnajifanya mnanisema vbaya baadh yenu mnajulikana kabisa tupo mtaa mmoja sk atakuja kuumbuliwa mtu hapa had pcha za uchafu wake ztakuwa hadharan........ Nakuvutia pumzi ipo sk nikijakuamka na akili za usk atakuja kuumbuka mtu jifanyen wajuaji....,
 
mkuu nakuunga mkono wanawake wengi japo sio wote hajitambui kabisa wewe kama mke unaejielewa na unajiheshm utaanzaje kuanika siri za mwanaume hadharan? Et vibamia sasa kwann mnawafuata? Chongen mipin basi mjizamishe kwenye nyuchi zenu? Mkitajwa nyie mnaanza kulalamika et mnadharauriwa nan atakuheshmun wakat hamjiheshm?............. Tena mliokuwa mnajifanya mnanisema vbaya baadh yenu mnajulikana kabisa tupo mtaa mmoja sk atakuja kuumbuliwa mtu hapa had pcha za uchafu wake ztakuwa hadharan........ Nakuvutia pumzi ipo sk nikijakuamka na akili za usk atakuja kuumbuka mtu jifanyen wajuaji....,

Mkuu wewe ni mtuhumiwa kwenye hii sredi
 
kenge kweli wewe mlianza kurumbana nyie wawili,ulipoona maji shingoni ndo ukamtukania mama yake.?we -------- kweli ugomvi wenu wakijinga unamuhusisha mzazi.? Alafu nikae kimya nisikukanye.? Kama umeolewa mumeo ana hasara sana,anaishije na mwanamke mjinga kama wewe mwenye akili matege.? Umelaanika kuliko wanawake woteeee kenge we.
:bange::disapointed::heh:
 
Back
Top Bottom