hali ya hewa hapa MMU

hali ya hewa hapa MMU

Ph-25
you have stretched beyond limit.. try to show some respect ! Pls..

mkuu nimekuelewa bna,ngoja ninyamaze coz ukimya ni jibu tosha kwa mjinga...nimeepusha shari mkuu...asante kwa kuniepushia ban
 
Last edited by a moderator:
Mmu mmeanza kuparurana sio? Safi kabisa mkimaliza kung'oana kucha na meno njooni chitchat mpumzike.
Good evening wakaka na wadada wa mmu.

Kaka mkubwa twende zetu chit chat mwaye.....tukale mvinyo kule upepo mwanana unakovuma.
 
Makubwa kumbe nimeambiwa mimi GOGO lahaula .......wew mgiriki ulishanilala ukajua mimi ni GOGO!!!!

ni ujinga sana MMU imekuwa full Majungu...,Mipasho.......Zahara white kawatoa Imani sana.........

Kuna mda unatamani hata uende Jukwaa la SIASA labda utajua nchini kwako nini kinaendelea........
...karibu siasani mamii,huku ishakuwa soo....bora nirudi nyumbani huku nitakuwa nachangia vya muhimu tu,vingine napotezea
 
mkuu nakuunga mkono wanawake wengi japo sio wote hajitambui kabisa wewe kama mke unaejielewa na unajiheshm utaanzaje kuanika siri za mwanaume hadharan? Et vibamia sasa kwann mnawafuata? Chongen mipin basi mjizamishe kwenye nyuchi zenu? Mkitajwa nyie mnaanza kulalamika et mnadharauriwa nan atakuheshmun wakat hamjiheshm?............. Tena mliokuwa mnajifanya mnanisema vbaya baadh yenu mnajulikana kabisa tupo mtaa mmoja sk atakuja kuumbuliwa mtu hapa had pcha za uchafu wake ztakuwa hadharan........ Nakuvutia pumzi ipo sk nikijakuamka na akili za usk atakuja kuumbuka mtu jifanyen wajuaji....,
...haaa! mbombo jilipo jamani!!! kwahiyo ndo mmefikia huku!?..haya hongera zenu, sie tunawaangalia tu
 
Bora umesema ukweli.wanaume wanapenda kwel ku2dhalilisha.MADA YA LARA NI NZUR SANA NA INAmAFUNDISHO SEMA WANAUME HAWAPEND KUAMBIWA UKWELI.

mnaona mlivyo wa binafsi yani mada inayo mdhalilisha mwanaume ni ya ku elimisha ila mada ya kumu elimisha mwanamke hiyo ni ya kudhalilisha acha kuona kama mnaonewa wakati huu ugomvi manautaka wenyewe kamfano lara 1 baada ya hii thread kaanzisha thread nyingine tena ya kuwadhalilisha wanaume kwamba oo wanakaa madongo kuinama sijui magomeni ,tandale mpaka wanaume tunashindwa kuwapeleka wasichana wetu maeneo tunayokaa je ni sawa
 
...haaa! mbombo jilipo jamani!!! kwahiyo ndo mmefikia huku!?..haya hongera zenu, sie tunawaangalia tu

mamaaaa! Shemeji yetu amevurugwa mbona anawaka hvyo? Vp Christine hebu mtulize shem wetu asijezamisha meli
 
Hii ngoma wacha waicheze wenyewe wana MMU. Ila kuna watu wanamatusi mh, nilikuwa naliheshimu ili jukwaa na kujifunza mengi humu ndani dah!
 
wapendwa wangu, kwanza labda mniwie radhi manake nia ya huu uzi haukuwa kufika hapo ambapo baadhi ya wenzetu wamefika.

Binafsi nliuleta huu uzi kwa nia njema sana ya kuelimisha na kukumbushana nidham tu hasa tuwapo hapa jamvini lakin sikuleta ili watu waanze kukumbuka ya nyuma ambayo yanaleta uchungu kisha waanze kutusiana hadharani. Hili limenikwaza sana lkn sina jinsi manake ""wasipochafuka watajifunzae??""

nawaombeni sana
Passion Lady na Ph-25 msijibizane so far hamuwez kujua may be nyie ni mtu na kaka/ dada ila tu ni kwakua hamjajua hilo kwasababu ya matumizi ya majina ya kighalatia haya.
Zahra White, na lara 1 nao pia sio watuumiwa kwenye huu uzi jamani manake umeandikwa ili kukumbushana na si kumhukumu mtu yyte hapa ndani. Hakuna mtu aliyesafi kabisa na vivyo hivyo hakuna aliye mchafu kabisa why pointing our fingers??

nihitimish kwa kusema tuish kwa amani na upendo na tuheshimiane katika kujadili mada zetu hapa jamvini.

wasalaam
gfsonwin
 
kweli tupu inayoongelewa wapi kwenye makwapa ya wanwake ni meusi?? ama sijui wanwake waongeaji ni magogo kitandani?? godforbid.
kutetea wadada ni lazima manake adhalilishwapo mdada na mie pia nadhalilika na ndio mana hujawah nikuta namdhalilisha mkaka manake najua namdhalilisha kuanzia baba yangu mzazi hadi wanangu wakuwazaa

Mimi sijali anayedhalilishwa ni mdada au mkaka, sipendi kuona mtu anamdhalilisha mwenzake!
 
wala sio kwamba tuko concerned ila ina kera pale mwanamke anapojadiliwa tena kwa mabaya tuuu.
Kuna memba mmoja yy alinijibu wazi kwamba wanawake ni chombo cha starehe so kutujadili ni lazima ,manake ndio starehe yenu

Na pambo la nyumba pia.
 
mamaaaa! Shemeji yetu amevurugwa mbona anawaka hvyo? Vp Christine hebu mtulize shem wetu asijezamisha meli
....akuuu ht cmtaki mambo yenyewe ndo haya!!!!?...ataniharibia wanangu bure!.......MENTOR com back to mi pls!
 
Back
Top Bottom