Mkuu wewe ni mtuhumiwa kwenye hii sredi
Mmu mmeanza kuparurana sio? Safi kabisa mkimaliza kung'oana kucha na meno njooni chitchat mpumzike.
Good evening wakaka na wadada wa mmu.
...karibu siasani mamii,huku ishakuwa soo....bora nirudi nyumbani huku nitakuwa nachangia vya muhimu tu,vingine napotezeaMakubwa kumbe nimeambiwa mimi GOGO lahaula .......wew mgiriki ulishanilala ukajua mimi ni GOGO!!!!
ni ujinga sana MMU imekuwa full Majungu...,Mipasho.......Zahara white kawatoa Imani sana.........
Kuna mda unatamani hata uende Jukwaa la SIASA labda utajua nchini kwako nini kinaendelea........
kwani ww imekuwaje uanze kuwatuhumu kwa kuwa mention watu usiowafahamu?...im still wondering here!!!!!!nikwel mkuu kesho napelekwa mahakaman
...haaa! mbombo jilipo jamani!!! kwahiyo ndo mmefikia huku!?..haya hongera zenu, sie tunawaangalia tumkuu nakuunga mkono wanawake wengi japo sio wote hajitambui kabisa wewe kama mke unaejielewa na unajiheshm utaanzaje kuanika siri za mwanaume hadharan? Et vibamia sasa kwann mnawafuata? Chongen mipin basi mjizamishe kwenye nyuchi zenu? Mkitajwa nyie mnaanza kulalamika et mnadharauriwa nan atakuheshmun wakat hamjiheshm?............. Tena mliokuwa mnajifanya mnanisema vbaya baadh yenu mnajulikana kabisa tupo mtaa mmoja sk atakuja kuumbuliwa mtu hapa had pcha za uchafu wake ztakuwa hadharan........ Nakuvutia pumzi ipo sk nikijakuamka na akili za usk atakuja kuumbuka mtu jifanyen wajuaji....,
Bora umesema ukweli.wanaume wanapenda kwel ku2dhalilisha.MADA YA LARA NI NZUR SANA NA INAmAFUNDISHO SEMA WANAUME HAWAPEND KUAMBIWA UKWELI.
...haaa! mbombo jilipo jamani!!! kwahiyo ndo mmefikia huku!?..haya hongera zenu, sie tunawaangalia tu
kwani ww imekuwaje uanze kuwatuhumu kwa kuwa mention watu usiowafahamu?...im still wondering here!!!!!!
Dah! MMU imefika mbali :nono:
kweli tupu inayoongelewa wapi kwenye makwapa ya wanwake ni meusi?? ama sijui wanwake waongeaji ni magogo kitandani?? godforbid.
kutetea wadada ni lazima manake adhalilishwapo mdada na mie pia nadhalilika na ndio mana hujawah nikuta namdhalilisha mkaka manake najua namdhalilisha kuanzia baba yangu mzazi hadi wanangu wakuwazaa
Ndo hapo.
Labda alikuwa anawashwa rinda la mkuundu.
Watu wengine ka wasengerema.
wala sio kwamba tuko concerned ila ina kera pale mwanamke anapojadiliwa tena kwa mabaya tuuu.
Kuna memba mmoja yy alinijibu wazi kwamba wanawake ni chombo cha starehe so kutujadili ni lazima ,manake ndio starehe yenu
....akuuu ht cmtaki mambo yenyewe ndo haya!!!!?...ataniharibia wanangu bure!.......MENTOR com back to mi pls!mamaaaa! Shemeji yetu amevurugwa mbona anawaka hvyo? Vp Christine hebu mtulize shem wetu asijezamisha meli
Hahahah....nasubiri kaka mkubwa...