hali ya hewa hapa MMU

hali ya hewa hapa MMU

.. Wapo watu wa haiba tofauti humu. Unalosema mtoa mada ni sahihi, vijembe vya wazi vinakera, au kutoa mada zinazolenga watu au kundi fulani zinakera na wala hazijengi.
.. Ila katika halaiki kama hii, ni vigumu sana ku control watu waseme nini, wakati mwingine katika hizo nasty threads kunakuwa na mambo watu pia wanajifunza, japo kudhalilisha wadada ni kuwadhalilisha mama zetu pia!

nyuzi za kudhalilisha kundi fulan zinaboa sana tuziache
 
makubwa kumbe nimeambiwa mimi gogo lahaula .......wew mgiriki ulishanilala ukajua mimi ni gogo!!!!

Ni ujinga sana mmu imekuwa full majungu...,mipasho.......zahara white kawatoa imani sana.........

Kuna mda unatamani hata uende jukwaa la siasa labda utajua nchini kwako nini kinaendelea........
kumbe ulikuwa hujaona??
 
usimtukane lara,haujui tu anaumuhmu gan hapa,tena mkome kabsa.ukwel unauma,lara endelea kuwaambia ukweli

naomba urudi nyuma ukafute hii quotation manake nimemwmba mod afute original post isiendelee kumdhalilisha mtu
 
Umesema nilichokiandika sasa hivi. It is as if somebody has had an affair with some one on the bed and now he is making a publicity of his experience in bed with that some one1

Which is a bull shit!!!!!!!!!kujitoa ufahamu usio na maana........

If you cant argue WISELY.........Give a space to some other members!!!!!!!
 
asante dada ujumbe umafika though ungajaribu kuweka uwiano kidogo. asante
 
Kumbe na wewe unapenda kuwapa watu airtime wasiyo istahili?

Mzima lakini?

Babu DC!!

Retired General heshima kwako! Mie mzima hofu ni kwako na bibi, hawa watu siwapi airtime maana penye wengi.... Salamu zao majani mapana
 
Wanawatukana wanawake wao,dada zao mama zao shangazi zao,baba zao boyfriend zao,kaka zao mimi huwa hainiumi sababu nshawadharau na hata ukinikuta nimechangia mada hizo jua ninakuwa nimevuta bangi kidogo.
 
Which is a bull shit!!!!!!!!!kujitoa ufahamu usio na maana........

If you cant argue WISELY.........Give a space to some other members!!!!!!!

Mi ni mgeni MMU, kama watu wanafika kuumbuana humu, then it is not wise. Lakini if somebody does not particularize, if it were me, I would never mind!
 
wanawatukana wanawake wao,dada zao mama zao shangazi zao,baba zao boyfriend zao,kaka zao mimi huwa hainiumi sababu nshawadharau na hata ukinikuta nimechangia mada hizo jua ninakuwa nimevuta bangi kidogo.

hahahhahahh!!!!!!!11
 
Poleni wote kaka na dada kwa yote yaliwakwaza humu MMU.. Lakini nawaomba pia mkachangie thread yangu nimeweka muda si mrefu maana wengi wajuzi mmehamia huku..
 
Back
Top Bottom