Kubwa la Maadui
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 7,930
- 15,672
Ni hatari kweli kweli, watu wanamfata lecturer niongeze hata alama 1 tu lecturer nae anakuja kama wewe umezikosa mimi nitazitoa wapi?
Maombi yenu yanahitajika sana kwa hawa ndugu zetu.
Maombi yenu yanahitajika sana kwa hawa ndugu zetu.