Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,039
- 3,486
IGP S. Siro hana serikali ila ni mtendaji wa chombo cha ulinzi na usalama-polisiNdiyo maana serikali ya Siro haitaki vyama vya siasa kufanya mikutano ya siasa.
IGP S. Siro hana serikali ila ni mtendaji wa chombo cha ulinzi na usalama-polisiNdiyo maana serikali ya Siro haitaki vyama vya siasa kufanya mikutano ya siasa.
Na kupata gunia 20 za mahindi kwa ekari moja sio kazi ndogo aisee. Ni ngumu sanaKama unataka kulima kitaalam, ekari moja inatumia mifuko 3 ya kupandia, 3 kukuzia mara ya kwanza, na mitatu mingine kukuzia mara ya pili. Jumla mifuko 9. Utahitaji mbegu za kisasa nadhani kama kilo 40.
Gharama:
Mbolea sh 9×120,000=1,080,000
Mbegu sh 40×8,000 = 480,000
Kulima ekari 1 sh 80,000
Kupalilia mara 2 sh 100,000
Kuvuna, kupukuchua na kusafirisha sh 200,000
Jumla ya gharama sh 1,940,00
Mapato:
Mavuno magunia 20
Fedha magunia 20×24,000 = 840,000
Jumla ya mapato sh 840,000
Lazima uwe kichaa kulima mahindi.
Don't overdo.Box?watafanya Kama kawaida(wezi)
Nawachukia wana siasa haki ya mungu tenaMkuu
Mbona kuna mdau alishusha uzi humu akisifia kwamba rais ameshusha bei ya pembejeo kwenye korosho kama mbolea na madawa kumbe alikuwa anawaandaa watu kisaikoloji?
Maisha kwa sasa yamekuwa magumu sana kuliko wakato wowote maana unamkuta mtu kamaliza chuo cha UDSM kazi ambayo zamani ilikuwa haiwezekani na ni mtaalamu wa uhandisi mawasiliano, sheria, mazingira, uahasibu nk..
Kupata kiwanja Dsm kwa sasa kwa viwango tofauti ni kuanzia milioni 2 ukubwa wa 15 kwa 10, 15 kwa 18, 20 kwa 20, 20 kwa 25) hadi milioni 100 eka moja hadi tano. Kwanja cha milioni moja, milioni moja na laki tano utapata nje ya Dar hasa wilaya ya Chalinze, Kisarawe, Mkuranga na kwa uchache baadhi ya sehemu za Bagamoyo kule Fukayosi, Makurunge na Mwavi lakini sio Bagamoyo karibu na mji au Kiwangwa au Msata huko ni balaa.
Maisha yataendelea kuwa magumu lakini wanasiasa wataendelea kuwakejeli wananchi mpaka uchaguzi ukikaribia wanajifanya kuja kuwapigia magoti wapiga kura kwa kuwapa zawadi ndogo ndogo kuwasahaulisha mateso waliyowapa kwa kushindwa kuwasikiliza kero zao na kuzitafutia ufumbuzi mara moja.
Tungeanzia hapa tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana, kwa sababu ninayo mengi sana juu ya mada kama hizi zinazohusu kilimo na wakulima wa nchi hii.Kwa hiyo wewe mjuaji unatushauri nini mara baada ya kumaliza kunikandia? 😀
Jibu linapatikana kama hivyo vingine viko constant kwa ubora. Na pia majibu yaweza kuwa zaidi ya moja, lakini jibu lipo hapo.Inategemeana na vitu Kama mvua,mbegu,palizi,Aina ya udongo nk.hakuna jibu sahihi hapo.
Ngoja nikwambie kitu! Suala la mbolea lina siasa sana hapa nchini, si wizara husika wala si Serikali ambayo iko tayari kujikwamua kutoka kwenye matumizi ya haya mambolea ya chumvi chumvi ya viwandani, ambayo kisayansi hayana tija kwa wakulima na ardhi zao zaidi ya kuharibu rutuba ya asili kwenye ardhi na udongo wa nchi yetu. Hivi ni kwa nini wizara husika na hilo shirika la mbolea la Tanzania hawapigii upatu mbole ORGANIC!? Wewe ulishawahi kujiuliza swali hilo?Wakulima watalima vipi kipindi hiki mbolea ambayo tulinunua kwa elfu 60 Sasa imefikia elf 95 laki mpaka laki na ishirini.
Sasa najiuliza itakuwaje kama Sasa hivi gunia la mahindi kwa eneo nililopo ni elf 24 wakati Bei ya mbolea ni laki na ishirini.
Kwamba unatakiwa kuuza gunia 5 Za mahindi ili kununua mbolea mfuko mmoja .
What a failed state!
Wakomae la sivyo serikali itafute pesa kwa ajili ya ruzuku maana hata ikifuta ushuru zote haiwezi kushuka chini ya 90,000Wakulima watalima vipi kipindi hiki mbolea ambayo tulinunua kwa elfu 60 Sasa imefikia elf 95 laki mpaka laki na ishirini.
Sasa najiuliza itakuwaje kama Sasa hivi gunia la mahindi kwa eneo nililopo ni elf 24 wakati Bei ya mbolea ni laki na ishirini.
Kwamba unatakiwa kuuza gunia 5 Za mahindi ili kununua mbolea mfuko mmoja .
What a failed state!
Wakulima wenyewe wamekariri kilimo ni mahindi tuuTatizo la bei ndogo ya mahindi ni tatizo la miss divesification/ crop miss rotation au mono cropping kwa lugha rahisi. Hii inatokea pale wakulima wengi wanapoamua kulima zao la aina moja. Iwapo wakulima wengi wangejikita kwenye kilimo cha fursa, huenda wangelima mazao kama alizeti na ufuta ambayo yana bei nzuri sokoni na kulima mahindi kidogo kwa ajili ya chakula.
Tozo za mafuta zinahusikaje na bei ya mbolea?kila mtu alitegemea hivyo maana ukishagusa tozo kwenye mafuta kuna impact kubwa sana kwa bidhaa nyingine kwani mafuta yanagusa karibu kila sekta ya uzalishaji.
Magufuli hajawahi fanya chochote cha maana kwenye kilimo zaidi ya kuharibu bei za Mazao kwa hiyo futa ujinga wako hapa.Magufuli alishaondoka pesa mlisema zitazagaa mitaani mpaka kwenye mitaro ya maji machafu mtazipata,vyooni mtazipata,kwenye madampo mtaziokota,wakija senene wanakuja na hela,wakija nzige watakuja na hela!Mbolea ishapanda bei mnalia,tozo mmelia,mafuta mmelia!Kiko wapi nyie wagalatia?mji wa asali na maziwa na mahrulain mlioufiria mtafika.
ndio maana unajiita opportunity cost kwa upumbavu uliokithiri.Maisha ni magumu sana kwa vipofu kama wewe!Subiria hela kwenye mitaro!Magufuli hajawahi fanya chochote cha maana kwenye kilimo zaidi ya kuharibu bei za Mazao kwa hiyo futa ujinga wako hapa.
Sababu ya bei kupanda ni supply ndogo Duniani kote na njia pekee ya serikali kuwasaidia wananchi ni ruzuku sasa hiyo kitu ya ruzuku serikali ilijitoa toka 2015,alijaribu Kikwete lakini ilikuwa mzigo kwa wananchi.
aisee hakuna kitu unaweza kuwafanya CCM kwenye box. Hawajawahi kutegemea box kupata ushindiCCM oyeeeeeeee Tukutane 2025 kwenye box
Wewe ni mjingaTatizo la bei ndogo ya mahindi ni tatizo la miss divesification/ crop miss rotation au mono cropping kwa lugha rahisi. Hii inatokea pale wakulima wengi wanapoamua kulima zao la aina moja. Iwapo wakulima wengi wangejikita kwenye kilimo cha fursa, huenda wangelima mazao kama alizeti na ufuta ambayo yana bei nzuri sokoni na kulima mahindi kidogo kwa ajili ya chakula.
Tuma salamu kwa watu watatu ukianza na mume wako mpendwa!Wewe ni mjinga
Tatizo mnakurupuka ku post mambo ya huyo jambazi ukifikir hamna rekodi zake wanawake huwa wasahaulifu sana we mama umesahau kama lile jambazi lilivamia clouds na mitutu bil camera lingeruka bado liliagiza vitu kwa mgongo wa walimu lile ni jizi.Tuma salamu kwa watu watatu ukianza na mume wako mpendwa!
kuna siku hawataamini kuwa box limewasaliti maan hata hao walinzi watakuwa wamechoka kudanganya sasaaisee hakuna kitu unaweza kuwafanya CCM kwenye box. Hawajawahi kutegemea box kupata ushindi