Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Mi naona ni bora hata huyo mtu wao aliyekamatwa akaachiwa huru tu kwa kuwa inaonesha hawa watu wanaamini wana haki zote.kuliko kubishana nao baadae mtu yoyote kati ya wanaoandamana akaumizwa na kitu cha ncha kali ikawa lawama juu ya lawama na hawatoisha kukaa mlango wa makao makuu ya jeshi letu kila kukicha.Mi nafikiri wana kila haki ya kubembelezwa wasiandamane(Ikiwa tu kama wako juu ya sheria zetu zote za nchi) kila siku ni wao tu daaah
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
nchi haina sheria hii