adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,477
- 4,270
Nko maeneo ya central police hali ni tete sana.. Kuna tension kubwa askari wametanda. Sijui kinachoendelea kwa kuwa nko ktk gari. Barabara imefungwa kuanzia hapa long room hadi water front. Nikipata details zaidi ntawajuza wadau.
East Africa Television (EATV) BREAKING NEWS: Waumini wa dini ya Kiislamu wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa Sheikh Issa Ponda wapo makao makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam wakitaka aachiwe baaada ya kukamatwa, Huko Zanzibar pia, wafuasi wa kikundi cha uamsho wafanya vurugu kwa madai ya kutekwa kwa kiongozi wao.