kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
hebu tuambiane huyo ponda ni mungu wao mbona watu wanashikiwa akili hivyo et sheih kama ni sheih xo wat!!hafanyi makosa au? sasa wakiandamana ndo wanatutishia aman au? selikari itende haki asiogopwe mtu this iz too much jamani
tatizo la ndugu zetu hawa elimu ndogo sana/kiduchu,ata uyo sheikh ponda mwenyewe,sheikh mkuu wa Tanzania keshawatahadharisha watu kuwa darasa lake lina walakini kidogo,pia kinachoonekana sasa hivi kinadhihirisha jinsi vijana wengi wa kitanzania wasivyokuwa na kazi,kwasababu kwa mtu anayebangaiza kama mimi hawezi kuwa na mda wa kuandamana kwasababu mda huo atakua anatafuta kula yake,tatizo moja linazaa tatizo jingine.