Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Nimecheka sana,
Mdogo wangu yupo Chuo Kikuu Dodoma kaniambia muda huu vijana wa CCM vyuoni wameelekezwa kuingia kwenye pages za Samia, Ikulu Mawasiliano na CCM kutuma jumbe nyingi kuonesha Samia na CCM inaungwa mkono. Jumbe hizo ni pamoja na za kumsifia na kuonesha kuwa anapendwa na atapigiwa kura na Watanzania.
Vijana hao wengine wanapewa bundles za Internet kuanzia kiasi cha 5000 hadi 1000. Wengine wanaambiwa nyie ni wanachama kazi yenu ni kumtetea Mwenyekiti na Chama.😃😃
Maamuzi haya inasemwa yanaratibiwa na UVCCM pamoja na Idara ya Uenezi chini ya Bw. Amos Makalla. Aidha imeelezwa kutoka kwa maamuzi haya kumetokana na mashambulio makubwa wanayoyaelekeza Watanzania kwenye pages za Mitandao ya Kijamii za Samia, CCM na Serikali yake kutokana na Watanzania kuchukizwa sana ugumu wa maisha, vitendo vya rushwa pamoja na matukio ya utekaji, upotezaji, ubakaji na kulawiti wanaokosoa Serikali.
Kweli CCM wanapenda sana kuishi kwa propaganda na Uongo. Mwaka huu lazima miti yote iteleze. Watanzania kwa sauti moja wameshasema hapana. Mwendo ni No Reforms No Election
Poleni sana CCM. Hamuwezi kupambana na nyakati.
Mdogo wangu yupo Chuo Kikuu Dodoma kaniambia muda huu vijana wa CCM vyuoni wameelekezwa kuingia kwenye pages za Samia, Ikulu Mawasiliano na CCM kutuma jumbe nyingi kuonesha Samia na CCM inaungwa mkono. Jumbe hizo ni pamoja na za kumsifia na kuonesha kuwa anapendwa na atapigiwa kura na Watanzania.
Vijana hao wengine wanapewa bundles za Internet kuanzia kiasi cha 5000 hadi 1000. Wengine wanaambiwa nyie ni wanachama kazi yenu ni kumtetea Mwenyekiti na Chama.😃😃
Maamuzi haya inasemwa yanaratibiwa na UVCCM pamoja na Idara ya Uenezi chini ya Bw. Amos Makalla. Aidha imeelezwa kutoka kwa maamuzi haya kumetokana na mashambulio makubwa wanayoyaelekeza Watanzania kwenye pages za Mitandao ya Kijamii za Samia, CCM na Serikali yake kutokana na Watanzania kuchukizwa sana ugumu wa maisha, vitendo vya rushwa pamoja na matukio ya utekaji, upotezaji, ubakaji na kulawiti wanaokosoa Serikali.
Kweli CCM wanapenda sana kuishi kwa propaganda na Uongo. Mwaka huu lazima miti yote iteleze. Watanzania kwa sauti moja wameshasema hapana. Mwendo ni No Reforms No Election
Poleni sana CCM. Hamuwezi kupambana na nyakati.