Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,495
- 8,539
Wewe unaamini shazi la mikutano ya Jiwe??? Watu wanapiga pesa jombaa si unajua mzunguko wa hela ulivyo mbovu mikoani na nchini kwa ujumla???
Alafu kama mtu kumuona Ali Kiba kwenye fiesta hadi alipie 10,000 Kwa nini asiende kumuona bure kwenye mkutano wa Ccm??
Yaani mtu unalipwa kwenda kuwaona wasanii wa sanaa na wasanii wa siasa... kwanini usiende?? Na ikibidi unazomea kabisa...!!