1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 6,260
- 7,936
Halafu huko ndiko kwenye upinzani mkubwa wa kimya kimya!!Mwenyekiti wa CCM Taifa anatokea,Mkoa wa Geita Kanda ya ziwa, jirani na mkoa wa Geita ni mkoa wa kagera anatokea katibu mkuu wa chama, Kanda ya ziwa. Katibu mwenezi anatokea mkoa wa Mara ,Kanda ya ziwa.mnategemea ccm iko salama?
Isipokua Chato mjini kwenye familia moja tu.
CCM ikubali tu serikali ya umoja wa kitaifa vinginevyo siku ikitoka madarakani ndio watajikuta wanatumia mapesa yao kuunda vikundi vya kigaidi au watu wao wasiojulikana .