Hali ni tete Mtwara Leo, Sakata ya Gesi

Hakuna haja ya kunusuliana,mambo mdundo kama syria,acha tuharibu vizazi vijavyo watarekebisha.

mkuu elungata, najua wewe haupo huko mtwara ndo unaamua kuchochea hayo. me siungi mkono kabisa vurugu za mtwara
 
The big show kuna watu hawana access na mitandao lakini wamesikia hali sio nzuri huku Mtwara,wamenitumia sms nimeshindwa kujibu kwa hiyo nimeona niulize humu JF,hasa The Big Show,nijibu nijue hali ikoje kisha watanzania niwajibu
 
kwa jinsi wana mtwara walivyodanganyika, hata kama serikali itaamua kumjenge nyumba kila mtu na kumpa mtaji wa biashara, hawatakubali. wamedanganyika kweli. hivi kwa ile speech ya leo ya waziri wa nishati na madini kulikuwa na sababu kweli ya wana mtwara kuleta fujo? au kwa vile ndo hawajaisikia

Speech ilikuwa safi? kWANINI SASA TBC wamezima matangazo NA KUWANYIMA Wanamtwara FURSA YA KUSIKIA HAYO MAZURI. uONGOZI WA tbc NI WA KULAUMU.
 
A country now torn in parts really!
Good grief for my Tanzania of old!
 
Huo ni uwezo wako wa kufikiri na huna nia njema na taifa hili.

Mwenye nia njema ni yupi? Anayeuza rasilimali zetu na kuficha fedha Uswisi huku zahanati zikiwa hazina dawa, nenda mwananyamala hospital kaone wakina mama 3 wanalalia kitanda kimoja.
Acheni unafiki
 
Tanzania nzima TBC 1 haionekani mpaka kwa satelite usije sema ni mtwara kwa 7bu ya badget unakosea ila kama umefanikiwa kuwa na king'amuzi umeona badgeti iko poa na wala sina tatizo nayo kama itafanikishwa kwa yaliyosemwa na waziri. Ila TBC kukatisha matangazo ni nchi nzima sio kusini pekee jarb kuwa mtafitiii

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
........unataka kusema nn hapo kwenye nyeusi.........:heh:! unataka kutuambia Mtwara hakuna satelite:embarassed2:
 
kwa jinsi wana mtwara walivyodanganyika, hata kama serikali itaamua kumjenge nyumba kila mtu na kumpa mtaji wa biashara, hawatakubali. wamedanganyika kweli. hivi kwa ile speech ya leo ya waziri wa nishati na madini kulikuwa na sababu kweli ya wana mtwara kuleta fujo? au kwa vile ndo hawajaisikia
wamedanganyik na nini???????????????mjinga akierevuka mjanja yupo mashakani!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Niko maeneo fulani hapa, hali si shwari hata kidogo ni mwendo wa milio ya risasi na mabomu, yaani hata sijui leo itakuwaje.
 
Huo ni uwezo wako wa kufikiri na huna nia njema na taifa hili.

Acha unafiki wewe umemwona kiongozi gani ndani ya chama Twawala ana nia njema na taifa hili? Kama wewe ni sehemu yao basi acha sisi tuharibu watakaokuwepo siku za usoni watakuja kurekebisha
 
The big show kuna watu hawana access na mitandao lakini wamesikia hali sio nzuri huku Mtwara,wamenitumia sms nimeshindwa kujibu kwa hiyo nimeona niulize humu JF,hasa The Big Show,nijibu nijue hali ikoje kisha watanzania niwajibu
kimenuka na mpaka tunaingia mitamboni ofisi za majangili pale wilayani zinaendelea kuteketea kwa moto
 
Kuna taarifa nimepata kutoka Mtwara isiyo rasmi kuwa gest house 4 ambazo baadhi ya askari waliopelekwa mtwara walifikia zimechomwa moto na watu wenye hasira kwa kupokea na kuhifadhi wakandamizaji hao.
 
Tanzania nzima TBC 1
haionekani mpaka kwa satelite usije sema ni mtwara kwa 7bu ya badget
unakosea ila kama umefanikiwa kuwa na king'amuzi umeona badgeti iko poa
na wala sina tatizo nayo kama itafanikishwa kwa yaliyosemwa na waziri.
Ila TBC kukatisha matangazo ni nchi nzima sio kusini pekee jarb kuwa
mtafitiii

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

koma we ----- kuna uzuri gn wkt wa2 hawajatekelezewa mahtaji yao! mambo hayo kayasemee chooni kwako cyo kewnye jamii ya waelewa!
 
Back
Top Bottom