Hali ni tete Mtwara Leo, Sakata ya Gesi

Jk na serikali yake wanadhani watatumia polisi siku zote..ipo siku itafika..gadafi hakufikiri kama kuna siku ataingizwa mitiji matakoni na kufa kifo cha fedheha kama vile...angalizo Mods sijatukana hapa nimenukuu tu maana nina damu ya kunguni humu jf bani zinaniandama na

hahahaha Yaya Toure me ndo kinara wa ban,nahisi ndo KIRANJA
 
Last edited by a moderator:
Poor Tanzania!!! Watawala wanafanya majaribio ya hatari kwa kiburi tu cha madaraka!
 
Nawaunga mkono wanamtwara. Tatizo la serikali inafikiri kutumia nguvu na watu wakatulia ndio amani. Hiyo siyo amani ni vita kubwa. Watu wanatakiwa waridhike toka moyoni na sio kuogopa virungu na mabomu ya polisi. Lazima serikali inayojidai ni sikivu sasa iwasikilize wananchi kwani ndio walioichagua na sio wananchi kuisikiliza serikali. Mtapiga mabomu mangapi na risasi ngapi na virungu vingapi ili wananchi waridhike? Kama ingekuwa kupiga virungu, mabomu, na risasi za moto ndio kuwaridhisha au kurudisha amani kwa wananchi basi leo kusingekuwa kuwa na vurugu Mtwara na sehemu nyingine. Serikali kwa hili itashindwa baada ya damu ya wananchi wengi kumwagika!
 
Mimi hata sijui niunge mkono kundi lipi....la wananchi utata, la serikali na mawazo ya ufisadi/rushwa n.k utata pia...ngoja nisichangie kabisa.
 
Wakuu,

leo ntwara tangu asubuhi kila huduma imefungwa watu wapo kimakundi makundi wanasikiliza bunge hasa bajeti ya wizara ya nishati na madini,ni magari ya ffu tu ndio yapo barabarani nayo hupata wakati mgumu kupita kwasababu ya mawe na magogo yaliyowekwa na vijana,baadhi ya watu kadhaa wamechukuliwa na askari eti kwakuwa walipita jirani na gari yao,askari wengi waliokuja si wa hapa ntwara wengi wametoka Masasi na Lindi.


Kauli mbiu ya huku kwa sasa - "gesi haitoki hata kwa bomba la peni"

attachment.php


=======

attachment.php


MORE UPDATES
MATAIRI KILA KONA YA MJI YAMECHOMWA BARABARANI POLISI NA ZIMA MOTO NDIO WANAKAZI YA KUZIMA NA KUFUKUZA RAIA

TAYARI NYUMBA KADHAA ZA WATUMISHI WA SERIKARI ZIMETIWA KIBERITI MAENEO YA SHANGANI
View attachment 94735


Ukitema nchale ukimeza nchale, chezea nchinga boy wewe.
 
Serikali Mtwara haipo kwa sababu mkuu wa mkoa angejitokeza na wananchi wakakaa kwenye uwanja wa wazi wasikilize wote hotuba ya waziri wa nishati na madini ,ili kwa pamoja weka usalama wa mtwara sasa serikali mtwara imejificha imeacha jeshi la polisi wameteka mji wanadhani wananchi watakubali hawawezi kukubali

kama huamini serikali haipo we endeleza tu hizo vurugu
 
Nawaunga mkono wanamtwara. Tatizo la serikali inafikiri kutumia nguvu na watu wakatulia ndio amani. Hiyo siyo amani ni vita kubwa. Watu wanatakiwa waridhike toka moyoni na sio kuogopa virungu na mabomu ya polisi. Lazima serikali inayojidai ni sikivu sasa iwasikilize wananchi kwani ndio walioichagua na sio wananchi kuisikiliza serikali. Mtapiga mabomu mangapi na risasi ngapi na virungu vingapi ili wananchi waridhike? Kama ingekuwa kupiga virungu, mabomu, na risasi za moto ndio kuwaridhisha au kurudisha amani kwa wananchi basi leo kusingekuwa kuwa na vurugu Mtwara na sehemu nyingine. Serikali kwa hili itashindwa baada ya damu ya wananchi wengi kumwagika!

hiyo ndo nguvu ya dola kaka
 
Acha unafiki wewe umemwona kiongozi gani ndani ya chama Twawala ana nia njema na taifa hili? Kama wewe ni sehemu yao basi acha sisi tuharibu watakaokuwepo siku za usoni watakuja kurekebisha
kuna mtu alipost humu kwamba watu wa Mtwara wana msemo wao wa jadi kwamba ni bora tukose wote,huenda wameamua hivyo,lakini naona ni sawa maana wakiwachiwa hawa watu wa chama Twawala watakula wao na watoto wao zaidi zaidi na mahawara zao.GESI HAITOKI MTWARA HATA KWA BONBA LA PENI.wamesema wao!
 
kwa hiyo wana mtwara ni wajinga? au walikuwa wajinga?

inazekana before walikuwa wajinga ila baada ya kupewa elimu uraia wameerevuka, masikitiko yangu ni kuwa wakati mpaka wana mtwara wamekuwa concious namna hiyo wewe bado ni mjinga wa kutupwa
 
kwa jinsi wana mtwara walivyodanganyika, hata kama serikali itaamua kumjenge nyumba kila mtu na kumpa mtaji wa biashara, hawatakubali. wamedanganyika kweli. hivi kwa ile speech ya leo ya waziri wa nishati na madini kulikuwa na sababu kweli ya wana mtwara kuleta fujo? au kwa vile ndo hawajaisikia
Muhongo hakujibu chochote kuhusu madai ya wanamtwara.hapo tuacheni kupindisha
ni hivi hakuna sababu ya kujenga bomba la gesi,pili hakuna sababu ya kupoteza fedha za mkopo wa kujenga bandari ya Bagamoyo,fedha hizo zitumike kujenga ama kukarabati bandari ya Mtwara,ili itumike kusafirisha gesi,na kama ni uzalishaji wa umeme uzalishwe Mtwara na uingizwe kwenye gridi ya Taifa na kuusambaza kule wanakohitaji.hii janja ya nyani aliyoileta Muhongo Mtwara hawataki kusikia,hizo takwaimu alizozitoa Muhongo wanamtwara hawtaki kusikia,wao wanachokitaka masikioni mwao ni Gesi haitoki kwa bomba la mchina kuja Dar.
 
Viva mtwara hakuna mtu kutoka mtwara atakayekuja kutetea maslahi yenu isipokuwa nyinyi wenyewe
 
Back
Top Bottom