Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,328
- 5,270
THE BIG SHOW upo salama,mbona husikiki!!
Last edited by a moderator:
Jk na serikali yake wanadhani watatumia polisi siku zote..ipo siku itafika..gadafi hakufikiri kama kuna siku ataingizwa mitiji matakoni na kufa kifo cha fedheha kama vile...angalizo Mods sijatukana hapa nimenukuu tu maana nina damu ya kunguni humu jf bani zinaniandama na
wamedanganyik na nini???????????????mjinga akierevuka mjanja yupo mashakani!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nimepewa taarifa kuwa kuna polisi amepigwa mshale kauwawa>
Poor Tanzania!!! Watawala wanafanya majaribio ya hatari kwa kiburi tu cha madaraka!
La sindano je?"'Gesi Haitoki hata kwa Bomba la Pen""
Tuko pamoja wana mtwara na wanakusini kwa ujumla, na hiyo kauli mbiu idumu.
Wakuu,
leo ntwara tangu asubuhi kila huduma imefungwa watu wapo kimakundi makundi wanasikiliza bunge hasa bajeti ya wizara ya nishati na madini,ni magari ya ffu tu ndio yapo barabarani nayo hupata wakati mgumu kupita kwasababu ya mawe na magogo yaliyowekwa na vijana,baadhi ya watu kadhaa wamechukuliwa na askari eti kwakuwa walipita jirani na gari yao,askari wengi waliokuja si wa hapa ntwara wengi wametoka Masasi na Lindi.
Kauli mbiu ya huku kwa sasa - "gesi haitoki hata kwa bomba la peni"
=======
MORE UPDATES
MATAIRI KILA KONA YA MJI YAMECHOMWA BARABARANI POLISI NA ZIMA MOTO NDIO WANAKAZI YA KUZIMA NA KUFUKUZA RAIA
TAYARI NYUMBA KADHAA ZA WATUMISHI WA SERIKARI ZIMETIWA KIBERITI MAENEO YA SHANGANIView attachment 94735
Serikali Mtwara haipo kwa sababu mkuu wa mkoa angejitokeza na wananchi wakakaa kwenye uwanja wa wazi wasikilize wote hotuba ya waziri wa nishati na madini ,ili kwa pamoja weka usalama wa mtwara sasa serikali mtwara imejificha imeacha jeshi la polisi wameteka mji wanadhani wananchi watakubali hawawezi kukubali
Nawaunga mkono wanamtwara. Tatizo la serikali inafikiri kutumia nguvu na watu wakatulia ndio amani. Hiyo siyo amani ni vita kubwa. Watu wanatakiwa waridhike toka moyoni na sio kuogopa virungu na mabomu ya polisi. Lazima serikali inayojidai ni sikivu sasa iwasikilize wananchi kwani ndio walioichagua na sio wananchi kuisikiliza serikali. Mtapiga mabomu mangapi na risasi ngapi na virungu vingapi ili wananchi waridhike? Kama ingekuwa kupiga virungu, mabomu, na risasi za moto ndio kuwaridhisha au kurudisha amani kwa wananchi basi leo kusingekuwa kuwa na vurugu Mtwara na sehemu nyingine. Serikali kwa hili itashindwa baada ya damu ya wananchi wengi kumwagika!
kuna mtu alipost humu kwamba watu wa Mtwara wana msemo wao wa jadi kwamba ni bora tukose wote,huenda wameamua hivyo,lakini naona ni sawa maana wakiwachiwa hawa watu wa chama Twawala watakula wao na watoto wao zaidi zaidi na mahawara zao.GESI HAITOKI MTWARA HATA KWA BONBA LA PENI.wamesema wao!Acha unafiki wewe umemwona kiongozi gani ndani ya chama Twawala ana nia njema na taifa hili? Kama wewe ni sehemu yao basi acha sisi tuharibu watakaokuwepo siku za usoni watakuja kurekebisha
kwa hiyo wana mtwara ni wajinga? au walikuwa wajinga?
Muhongo hakujibu chochote kuhusu madai ya wanamtwara.hapo tuacheni kupindishakwa jinsi wana mtwara walivyodanganyika, hata kama serikali itaamua kumjenge nyumba kila mtu na kumpa mtaji wa biashara, hawatakubali. wamedanganyika kweli. hivi kwa ile speech ya leo ya waziri wa nishati na madini kulikuwa na sababu kweli ya wana mtwara kuleta fujo? au kwa vile ndo hawajaisikia
THE BIG SHOW atakuwa chini ya uvunguTHE BIG SHOW upo salama,mbona husikiki!!