zungupori
Member
- Jul 30, 2012
- 92
- 6
halafu hii serikali ya kimasihara itajikuta pabaya sana, ukizingatia tofauti kubwa kati ya magamba na walalahoi maisha ni magumu sana na kweli ni kama zoezi la kijeshi. Fikiria kwanza nchi za watu wanaweka wanajeshi tayari kwa lolote kwa kuwapa matizi mengi ili kuwakomaza wakati huku kwetu watoto washakomaa umri mdogo kisojasoja kinachohitajika ni mafunzo ya kijeshi tuu yaani namna ya kuvunja na kuunga bunduki na silaha nyingine kadhaa. Unafikiri? serikali inachezea shilingi chooni we sikilizia tu, alafu siku hizi mambo ya mtandao mtu yeyote anaweza kujipa somo jinsi ya kumwaga njugu au kutengeneza bomu ohoo. Ogopa bana haya sio masihara