Kuingia na kutoka vyote vinafanana na ukitembea umeinama yawezekana ukajiona uko sahihi kumbe kituko.
Kuingia na kutoka vyote vinafanana na ukitembea umeinama yawezekana ukajiona uko sahihi kumbe kituko.
Ni baada ya kukunwa na hotuba ya waziri wa nishati wakati anawasilisha hotuba yake kuwa gesi itawanufaisha kwanza wanamtwara na mikoa ya jirani kabla ya maeneo mengine ya nchi..vijana wanasherehekea mitaani na kumpongeza muhongo
baada ya kutoridhishwa na bajeti ya nishati na madini vurugu zimeshaanza mitaa ya Magomeni, Soko kuu na Coco beach Pande za mtwara ....
nimetulia ndani naskizia mabomu yanavurumishwa ...
for more updates stay tuned ....
Huko tunakoelekea wizara ya mambo ndani itakuwa inatenga 90% ya bajeti yake kwa ajili ya kununulia mabomu ya machozi maana wanayatumia kwelikweli
Nimesikia wamekata matangazo ya Radio na TV huko Ntwara ili wasisikilize kinachoendelea Bungeni.
mlioko huko tupeni habari kamili.
Maelezo na photo havina uhusiano kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa