Kama maaskofu wanafanya hivyo Rais akiwa muislamu, kwanini mashelk nao wasiandae waraka?
MMMMMMMMHHHHHH.....HAWANA UBAVU HUO, WAMEZOEA KUSEMA NYEUSI NI NYEUPE, WASASA NI KATOLIKI NGOJA TUSOME NAMBA KWA KIRUMIKwa hiyo maaskofu wao hawawezi kukamatwa?
Mashekh hawanaga kinyongoKama maaskofu wanafanya hivyo Rais akiwa muislamu, kwanini mashelk nao wasiandae waraka?
we unaona nchi inakwenda vizuri???Nchi Kama inakwenda vizuri matamko yatatoka wapi?
Huo ndo uislam. Uislam ni dini ya amani na furaha. Hakuna fitna wala majunguKama maaskofu wanafanya hivyo Rais akiwa muislamu, kwanini mashelk nao wasiandae waraka?