Hahahaha kwahivyo wanashindwa kutowa waraka?Huyu wa sasa hajaribiwi. Ni kama yupo juu ya kila kitu yeye ndio muamuzi wa mwisho na mwenye akili zaidi ya watu 45 million.
Hahahaha kwahivyo wanashindwa kutowa waraka?Huyu wa sasa hajaribiwi. Ni kama yupo juu ya kila kitu yeye ndio muamuzi wa mwisho na mwenye akili zaidi ya watu 45 million.
Kweli mkuu hizi awamu mbili hatutazisahau maisha mzuri wala Hanna kutishanaWanao endesha nchi ni Vatican inside tiss. Na Vatican ndio watoa matamko sasa wamtolee nani.
Labda watoe ya kupongeza.
Waislam wajanaujuzi mwingi Wa kuweka maisha yakawa ya furaha na pesa ikapatikana bila wananchi kulalamika. Refer raisi mzee ruksa, jk
Kama rais wa nchi hii angekuwa mwislam, kwa hali ngumu ya uchumi kiasi ambayo siyo tu inapunguza sadaka na michango bali inachangia maisha duni ya waumini na raia basi leo na jana kungekuwa na waraka maalum ambao labda ungesomwa makanisani kote.
Lakini sasa ni kimya kwa kuwa huyu tunamjua. Jamani maaskofu kemeeni na pongezeni sawia. Nchi ni yetu sote na yeyote ni wetu sote.
Wee fala, wakemee mema wapiga dili wapete!?kaa pembeni!!! Tupishe tupite, mtaelewa tu siku moja!!!!
Mleta uzi anataka maaskofu waandike waraka, kwa hiyo wakristo kazi yao ni kuleta chuki kwenye jamii? pole sana mkuuHuo ndo uislam. Uislam ni dini ya amani na furaha. Hakuna fitna wala majungu
Uislam sio dini ya kulipiza visasi kama wakristo ukichua mfano Israel kwa palestina
cc : FaizaFoxy
Hao maaskofu ni wana ukawa? Michango mingine ni zero.Hii inaitwa kuanguka kwa wana ukawa..jk aliwaambia mtaitwa wana ukiwa
Hahaha.....!Wanao endesha nchi ni Vatican inside tiss. Na Vatican ndio watoa matamko sasa wamtolee nani.
Labda watoe ya kupongeza.
Waislam wajanaujuzi mwingi Wa kuweka maisha yakawa ya furaha na pesa ikapatikana bila wananchi kulalamika. Refer raisi mzee ruksa, jk
Bado hujawazoea?Mnalalamika sana jamani.
We mtoto wa Bwn Mudy Acha Uongo !Huo ndo uislam. Uislam ni dini ya amani na furaha. Hakuna fitna wala majungu
Uislam sio dini ya kulipiza visasi kama wakristo ukichua mfano Israel kwa palestina
cc : FaizaFoxy
Actions speak louder than words. thats all i can sayMleta uzi anataka maaskofu waandike waraka, kwa hiyo wakristo kazi yao ni kuleta chuki kwenye jamii? pole sana mkuu
Each person must learn the right ways of putting across message(s) without sowing seed of discord in the community.Nyarwadhnyarwath
unamuonea tu,hivi hata wewe moyo wako kweli haukusuti?,
waraka awamu iliyopita ilikuwa karibu kila jumapili,what happened?,
mbona kimya.
Zile kelele za katiba mpya za maskofu ,kumbe ilikuwa kisingizio tu,
fuata trend utaona
NotedActions speak louder than words. thats all i can say
SawaHapana.Mleta mada wala hajalenga huko ndg.Analenga kuwapongezaa maaskofu kwa kutokutoa waraka.