Hali kama hii, muda kama huu maaskofu na wachungaji pasingetosha!

kimya pia kina maana yake kwa mwenye kutafakari, aliyekosolewa kwa nyaraka leo hii anakumbukwa japo kwa yale mema yake, nao (viongozi wa dini) hawakuishia tu kumkosoa, walishikamana nae, walikula nae, walimtembelea, aliwatembelea, walikuwa pamoja kwa umoja bila kujali tofauti zao za kidini, msidhani kutokumsema mtu wala kumkosoa ni kumpenda, la hasha....!!! hata kumsusia pia ni kumkosoa.
 
Nchi Kama inakwenda vizuri matamko yatatoka wapi?
Wanao endesha nchi ni Vatican inside tiss. Na Vatican ndio watoa matamko sasa wamtolee nani.
Labda watoe ya kupongeza.

Waislam wajanaujuzi mwingi Wa kuweka maisha yakawa ya furaha na pesa ikapatikana bila wananchi kulalamika. Refer raisi mzee ruksa, jk
 
Uzalendo wa Maaskof kwa Nchi umepungua sana hata ukisikiliza Mahubiri Yao Siku hizi hakuna Makemeo wala Mafokeo kwa Rais
 
Kama rais wa nchi hii angekuwa mwislam,kwa hali ngumu ya uchumi kiasi ambayo siyo tu inapunguza sadaka na michango bali inachangia maisha duni ya waumini na raia basi leo na jana kungekuwa na waraka maalum ambao labda ungesomwa makanisani kote.
Lakini sasa ni kimya kwa kuwa huyu tunamjua.
Jamani maaskofu kemeeni na pongezeni sawia.Nchi ni yetu sote na yeyote ni wetu sote.
Mkuu unataka watumbuliwe?
Ona waliotembelewa kama Mzee wa Upako, wameishia kuweka ulabu hadi kubishana mitaani wakiwa njwii!
 
Kama rais wa nchi hii angekuwa mwislam, kwa hali ngumu ya uchumi kiasi ambayo siyo tu inapunguza sadaka na michango bali inachangia maisha duni ya waumini na raia basi leo na jana kungekuwa na waraka maalum ambao labda ungesomwa makanisani kote.

Lakini sasa ni kimya kwa kuwa huyu tunamjua. Jamani maaskofu kemeeni na pongezeni sawia. Nchi ni yetu sote na yeyote ni wetu sote.
Hakuna viongozi wa dini wanafiki kama maaskofu na mashehe wa Tanzania. Kiongozi wa dini ninaye kubali ni sheikh ponda.
 
Maaskofu wa DR Congo,wamepata credit kubwa.
Mashekh wa BAKWATA? Bora maaskofu mara 100000
 
Kama rais wa nchi hii angekuwa mwislam, kwa hali ngumu ya uchumi kiasi ambayo siyo tu inapunguza sadaka na michango bali inachangia maisha duni ya waumini na raia basi leo na jana kungekuwa na waraka maalum ambao labda ungesomwa makanisani kote.

Lakini sasa ni kimya kwa kuwa huyu tunamjua. Jamani maaskofu kemeeni na pongezeni sawia. Nchi ni yetu sote na yeyote ni wetu sote.
1. Hali ngumu ya maisha ipo ila si kwa kila mtu na si ya kutisha kama ambavyo imekuwa ikisemwa
2. Thread yako ni mwendelezo wa hoja zile zile za kidini za baadhi ya Waislamu kwamba Jakaya Kikwete alikuwa akikosolewa kisa tu ni muislamu
3. Mwisho, pamoja na kuleta thread ya udini bado nakutakia heri ya Sikukuu ya Krismasi.
 
Kwasasa nchi hii imeshalaaniwa,maaskofu,wachungaji,mashekhe wote wamejaa unafiki nakujipendekeza,hali ngumu ya maisha,ukandamizwaji wa democrasia,uonevu kwa watumishi wa umma nak. Wao wapo kimya tu. HII DHAMBI HAWATASAMEHEWA,,
 
Kama rais wa nchi hii angekuwa mwislam, kwa hali ngumu ya uchumi kiasi ambayo siyo tu inapunguza sadaka na michango bali inachangia maisha duni ya waumini na raia basi leo na jana kungekuwa na waraka maalum ambao labda ungesomwa makanisani kote.

Lakini sasa ni kimya kwa kuwa huyu tunamjua. Jamani maaskofu kemeeni na pongezeni sawia. Nchi ni yetu sote na yeyote ni wetu sote.
Mdini at work....
 
Back
Top Bottom