Hongera kwa nia zenu na mapenzi yenu.
Sasa nasi wana CCM tukitafuta watu million 2, waka sign , kuomba mheshimiwa Raisi abadilishe katiba na aendelee kugombania uraisi zaidi ya mihula miwili, jee mtatuona tunakosea.
Atabadili ya ccm
Hongera kwa nia zenu na mapenzi yenu.
Sasa nasi wana CCM tukitafuta watu million 2, waka sign , kuomba mheshimiwa Raisi abadilishe katiba na aendelee kugombania uraisi zaidi ya mihula miwili, jee mtatuona tunakosea.
Hongera kwa nia zenu na mapenzi yenu.
Sasa nasi wana CCM tukitafuta watu million 2, waka sign , kuomba mheshimiwa Raisi abadilishe katiba na aendelee kugombania uraisi zaidi ya mihula miwili, jee mtatuona tunakosea.
Unavyorukaruka kutetea ugali wako nacheka sanaMbowe ameiangamiza CHADEMA
Chadema ni mpango wa MunguHii ni zaidi ya futuhi!!
Ha Ha HaaZumbukuku hili Sasa hapo wamechanga ili wabadili katiba?
Mbowe Tano TenaKamanda Mbowe ni tosha hasa kipindi hiki cha dhoruba.
Songa mbele makamanda taifa linahitaji ukombozi kwenye makucha ya mabeberu weusi CCM!!
Tatizo vijana wa Lumumba hawapewi semina kabla ya kuja hapaUmeisoma katiba ya Tanzania?
Mjinga wewe unadhania uras wa nchi unaenda kwa katiba ya ccm?
Lakini pia watapoteza karata ya iwapo chama cha mapinduzi 2025 kitaporidhia mh.rais kuendelea kwa kipindi kingine cha miaka kumi hadi 2035 kwa kuungwa mkono na wananchi kupitia kura ya maoni 2024.si muumini wa vyama..ila nadhan kuzidi mshikilia mbowe kama mwenyekiti ni kupoteza karata ya kulaumu Magufuri kuibaka demokrasia..najaribu fikiri tu nje ya box
Baki nje ya box tu,humu ndani hatuwataki wazee wa busara.
CHADEMA itakapobaki na mbunge mmoja mwakani, ndio mtakapoona Mbowe hafai
...mbowe kuendelea kutengeneza maigizo ya kupendwa ili awanie tena uongozi sio demokrasia ndani ya chama baada ya uchaguzi ndani ya chama atatengeneza ufa mkubwa sana matokeo yake chama kitakua kimenunua ajenda ya ulafi wa madaraka kama kilivyonunua ajenda ya ufisadi baada ya ujio wa lowasa....mbowe kafanya mambo mengi sana ya kukumbukwa kama mwanasiasa aliekivusha chama katika vipindi vigumu ilitosha kuilinda history yake nzuri awaachie wengine wakiongoze kifikie hatua yakuongoza nchi...wapo vijana wengi kama mh. Heche lisu lema mnyika wenje nk wenye uwezo wa kuongoza katika nafasi ya mwenyekiti lakini kwanini kila mda tuamonishwe hakuna kiongozi kama mbowe kwaiyo chama kinategemea akili ya mtu mmoja? Kama tunashindwa kuwaandaa vijana kuongoza chama tukipewa nchi tutaweza kuwa na mawaziri kweli? Kama kwenye kuongoza chama mnasema hawawezi je huo ubunge wao wanaumudu vipi?....kwa upuuzi huu tz hakuna upinzani wa kweli wote ni wajasiliama wamejivika mwamvuli wa siasa..kwenye madaraka ndo utajua hakuna cha ccm wala chadema wote ni kapu moja wanawaza matumbo yaoTuna Imani kamanda hatawaangusha Watanzania