- Thread starter
- #61
Mipango yenu imevurugwa lazima mtapetapeMi siwashwi na chochote ila nasikitishwa kuona kwamba vijana wa Tanzania wana uwezo mdogo sana wa kupambanua mambo bila kujali viwango vyao vya elimu. Yaani hakuna tofauti ya msomi na asiesoma kama mimi