Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

Kwahiyo kwako unaona ni haki kwa mkoa kama kagera kuwa miongoni mwa mikoa maskini zaidi licha ya kuwa na kila kitu kuanzia mvua za kutosha, kushare mipaka na nchi mbali mbali kama Uganda na Rwanda, mto mkubwa , ziwa victoria n.k...


Mnapitwa na singida yenye mabwawa tuu isiyopata mvua za kutosha wala upendeleo wowote wa asili ?!
Kwanza Kagera haipitwi na singida.


Pili sababu za mkoa wa Kagera kurudi nyuma umeshatajiwa . utaonekana mbumbumbu ukija kipinga sababu zilizotolewa maana watz wote wanajua.

Eti Kagera haikuathirika na vita ya Kagera .hiv unajua watu wangap walikufa?
Maeneo mangap yalilipuliwa?


Unaongea kama mwenye akili za kitoto
 
Mimi siamini kama Mkoa wa Geita ndiyo unaongoza kwa umaskini hapa nchini na utajiri wote ule wa dhahabu, pamba, mahindi, misitu, samaki nk. Naomba wanieleweshe wametumia vigezo gani kwa sababu mimi nimeishi Geita na ninafahamu utajiri uliopo pale.
 
Kingine watu wa kagera matajiri hawajengi vijijini kwao Kama watu wa Kilimanjaro .Kilimanjaro nyumba nyingi nzuri vijijini Ni za wachaga waliosambaa kila Kona ndani na nje ya nchi.Mhaya anapopata riziki ndio kwake hawajengi kwao vijijini
Sidhani kama kuna mkoa unaoweza kuupita Kagera Kwa makazi Bora vijijini.

Muuliza hata mkuu wa mkoa wa Kagera anajua hilo
 
Kigezo kimojawapo Cha kupima umaskini was eneo Ni nyumba na makazi.Nyumba zinaongea kila kitu.Ukiona Kijiji kizima nyumba za tembe tupu unajua hapo kiwango Cha umaskini Kiko juu
Hiv kijiji gani cha Kagera kina tembe?
Nitajie hata kimoja
 
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Imetoa taarifa kama inavyoonekana

View attachment 1142323

Na chini ni TAKWIMU RASMI ZA HALI YA UCHUMI TANZANIA BARA 2012-2018
View attachment 1142638

KWA UJUMLA:

Kwa mujibu wa takwimu mpya za mwaka wa kizio wa 2015, Pato halisi la Taifa lilikua kwa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 6.8 mwaka 2017.

Ukuaji huu ulichochewa zaidi na kuongezeka kwa uwekezaji hususan katika miundombinu kama vile ujenzi wa barabara, reli, na viwanja vya ndege; kutengemaa kwa upatikanaji wa nishati ya umeme; kuimarika kwa huduma za usafirishaji; na hali nzuri ya hewa kwa ajili ya kilimo.

Sekta zilizokuwa na viwango vikubwa vya ukuaji ni pamoja na:
Sanaa na Burudani iliyokua kwa asilimia 13.7;
Ujenzi (asilimia 12.9);
Uchukuzi na Uhifadhi mizigo (asilimia 11.8); na
Habari na Mawasiliano (asilimia 9.1).
Kilimanjaro imepitwa na Dar es salaam peke yake!
 
Hiz takwimu husiziamini Sana


Hiv kwa nini mkoa anapotoka kiongozi mkubwa lazima mkoa wake huwe maskini Kwanza

Angalia

Lindi.mp
Geita. President
Rukwa.waziri wa mipango
na mikoa yote ya wasukuma.


Mkoa wa pwani ulikuwa maskini Sana wakati wa kikwete alipotoka Tu ukawa wa tano Kwa utajiri si pumba hiz.
Kwa hiyo ulitaka zipandishwe kwa kuwa viongozi wakuu wanatokea huko?Duh
 
Wasukuma wanaongoza kwa umasikini. Walichokijua ni kuzaana badala ya kuzalisha. Wabadilike. Mwanza, Simiyu, Geita ni maeneo yanayotia huzuni.
Ila pongezi nyingi ziende kwa Magufuli. Inaonekana kiwango cha umasikini (Adject poverty) kimepungua sana hasa kwa mikoa kama ya Kigoma ambayo kwa takwimu zilizopita umasikini ulikuwa kwenye 45%. Mikoa mingi yenye 35% kwenye riport iliyopita ilikuwa kwenye 40 something. Riport hii inatia matumaini kama ni ya kweli.
cc tumbiri Nyani Ngabu😎💪🏾
 
Hizo ni TAKWIMU za kumfurahisha Mzee KIPARA tu, ki uhalisia hali za wananchi wengi ni mbaya mno kuliko hivyo "VICHEKESHO" vyenu hapo.
Dogo acha utani,mwaka mzima rasilimali watu,fedha,na muda zilitumika kukusanya hizo taarifa halafu unaleta mzaha na kazi
 
Kilimanjaro ilitakiwa iwe CITY.. Mji mdogo ambao haujawahi pata misukosuko ya aina yoyote , una rasilimali kibao na fursa za utalii zilizopo nje nje. Rasilimali watu iliyopo exposed ya kutosha and yet unaishi katika shadow ya Arusha.

Mji ambao una population density ya kutosha, Hali ya hewa nzuri na ardhi yenye rutba na bado Ni beautiful residential town ambayo inacheza na league za Moro. What a shame
Well said!👊🏾👏🏽
 
Mimi siamini kama Mkoa wa Geita ndiyo unaongoza kwa umaskini hapa nchini na utajiri wote ule wa dhahabu, pamba, mahindi, misitu, samaki nk. Naomba wanieleweshe wametumia vigezo gani kwa sababu mimi nimeishi Geita na ninafahamu utajiri uliopo pale.
Taarifa zaidi zinaonyesha pia kwamba ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya kijinga jinga , Geita unaweza kuuliwa kwa kumiliki mke mweupe tu , na polisi wala hawahangaiki !
 
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Imetoa taarifa kama inavyoonekana

View attachment 1142323

Na chini ni TAKWIMU RASMI ZA HALI YA UCHUMI TANZANIA BARA 2012-2018
View attachment 1142638

KWA UJUMLA:

Kwa mujibu wa takwimu mpya za mwaka wa kizio wa 2015, Pato halisi la Taifa lilikua kwa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 6.8 mwaka 2017.

Ukuaji huu ulichochewa zaidi na kuongezeka kwa uwekezaji hususan katika miundombinu kama vile ujenzi wa barabara, reli, na viwanja vya ndege; kutengemaa kwa upatikanaji wa nishati ya umeme; kuimarika kwa huduma za usafirishaji; na hali nzuri ya hewa kwa ajili ya kilimo.

Sekta zilizokuwa na viwango vikubwa vya ukuaji ni pamoja na:
Sanaa na Burudani iliyokua kwa asilimia 13.7;
Ujenzi (asilimia 12.9);
Uchukuzi na Uhifadhi mizigo (asilimia 11.8); na
Habari na Mawasiliano (asilimia 9.1).
Mkuu Unaweza kua na data za kura za Urais 2015 kimkoa? Kuna comparison nataka nifanye.
 
Umasikini Tanzania bado utaendelea kuwa janga.
Angalia sekta zilizoongoza kwa ukuaji ni watanzania wangapi wanajishugulisha na sekta hizo??
 
Tuweke zones,kila zone ijitegegemee kimapato na matumizi,itawastimulate watu wa sehemu husika ku explore resources na opportunities zilizopo kwenye zone husika
wewe unataka kaskazini pawe toronto ndani ya 5yrs
 
Mimi siamini kama Mkoa wa Geita ndiyo unaongoza kwa umaskini hapa nchini na utajiri wote ule wa dhahabu, pamba, mahindi, misitu, samaki nk. Naomba wanieleweshe wametumia vigezo gani kwa sababu mimi nimeishi Geita na ninafahamu utajiri uliopo pale.
kuna watu wangapi wanajishughulisha na hiyo sekta ya dhahabu?? wengi ni wachimabji wadogo wadogo hohe hae tu! makampuni makubwa na serikali ndio wanafaidi na kinachopatikana kwenye migodi hivyo hivyo kwenye Misitu na samaki.
Angalia mfano Kilimanjaro watu wengi wamesoma hivyo purhasing power yao ipo Juu,lakini ukirudi kwa mkoa kama njombe wanaongoza kwa uzalishaji wa viazi na mbao Tanzania nzima mapoto yanenda moja kwa moja kwa wahusika
 
1.Dar Es Salam, 2. Kilimanjaro, 3. Njombe, 4. Morogoro, 5. Songwe. Mikoa yenye unafuu wa Umasikini, ingawa Mikoa yote tuna umasikini wa hatari. Morogoro na Njombe Ni Mikoa inayoenda vizuri kwa sasa. Maana Njombe na Kilimanjaro zinafaidika na udogo wa ardhi ilizonazo na idadi ndogo ya idadi ya Watu. Morogoro ni kubwa sana, lakini Kilimo kwa sasa vijijini kimeboreka sana na Wageni wanaleta hela sana Morogoro.
 
Back
Top Bottom