Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

1. Vita ya Kagera
2. Mv Bukoba
3. Virusi vya ukimwi
4. Kuanguka kwa Bei ya kahawa
5. Wakimbizi
6. Uhalifu uliokithiri haswa pori la biharamulo
7. Mnyauko wa migomba ambacho ni chakula kikuu
8. Tetemeko la ardhi
9. Vikwazo vya kielimu na kimiundombinu

And the list is endless

Nitajie mkoa hata mmoja Tanzania ambao umepitia yote haya na bado wakazi wake wakaendelea na maisha yao pasipo utegemezi kwa serikali. Kagera is a home of survivals
Kingine watu wa kagera matajiri hawajengi vijijini kwao Kama watu wa Kilimanjaro .Kilimanjaro nyumba nyingi nzuri vijijini Ni za wachaga waliosambaa kila Kona ndani na nje ya nchi.Mhaya anapopata riziki ndio kwake hawajengi kwao vijijini
 
Kingine watu wa kagera matajiri hawajengi vijijini kwao Kama watu wa Kilimanjaro .Kilimanjaro nyumba nyingi nzuri vijijini Ni za wachaga waliosambaa kila Kona ndani na nje ya nchi.Mhaya anapopata riziki ndio kwake hawajengi kwao vijijini

Unataka useme Hii ni takwimu ya ubora wa Nyumba / makazi na sio umaskini kwa ujumla?
 
Unataka useme Hii ni takwimu ya ubora wa Nyumba / makazi na sio umaskini kwa ujumla?
Kigezo kimojawapo Cha kupima umaskini was eneo Ni nyumba na makazi.Nyumba zinaongea kila kitu.Ukiona Kijiji kizima nyumba za tembe tupu unajua hapo kiwango Cha umaskini Kiko juu
 
Kwa mujibu wa hizi takwimu Kilimanjaro inaifuatia Dsm licha ya kutokuwa Jiji ni mkoa wa pili kwa ukwasi.

Halafu unakuta nyuzi humu ndani wenyeji wa Kagera ambao ni miongoni mwa mikoa mitano maskini zaidi wakijipambanisha na Kilimanjaro ili hali hata Dodoma
Hizi ni aibu hizi...
Kilimanjaro tupo vizuri sana.
 
1. Vita ya Kagera
2. Mv Bukoba
3. Virusi vya ukimwi
4. Kuanguka kwa Bei ya kahawa
5. Wakimbizi
6. Uhalifu uliokithiri haswa pori la biharamulo
7. Mnyauko wa migomba ambacho ni chakula kikuu
8. Tetemeko la ardhi
9. Vikwazo vya kielimu na kimiundombinu

And the list is endless

Nitajie mkoa hata mmoja Tanzania ambao umepitia yote haya na bado wakazi wake wakaendelea na maisha yao pasipo utegemezi kwa serikali. Kagera is a home of survivals
Umesahau ule mto, jina nimelisahau.
 
Kwa takwimu hizi, nilitarajia na ili nchi isonge mbele, Mawaziri wengi watoke Mkoa wa Kilimanjaro na Njombe!
 
Tuweke zones,kila zone ijitegegemee kimapato na matumizi,itawastimulate watu wa sehemu husika ku explore resources na opportunities zilizopo kwenye zone husika
Hii mode sijui kwani i inagoma tunapata kz kubwa ya kubeba watu
 
Tuweke zones,kila zone ijitegegemee kimapato na matumizi,itawastimulate watu wa sehemu husika ku explore resources na opportunities zilizopo kwenye zone husika
Zone ya Kaskazini itawaumiza wengine, maana wana vivutio vya utalii,
Wana bandari,
Wana ardhi kwa ajili ya kilimo.
Mkoa wa Tanga asilimia kubwa umejaa madini, pia Tanzanite n.k
 
Kingine watu wa kagera matajiri hawajengi vijijini kwao Kama watu wa Kilimanjaro .Kilimanjaro nyumba nyingi nzuri vijijini Ni za wachaga waliosambaa kila Kona ndani na nje ya nchi.Mhaya anapopata riziki ndio kwake hawajengi kwao vijijini
Kujenga kijijini kwa wachagga ni kipaumbele kwa walio na viamba. Lkn kujenga mjini pia wanajenga kama wahaya na makabila mengine tz.
 
Rukwa ni wachawi na wazee wa radi
Rukwa, Katavi, kote huko kumejaa rasilimali, madini (dhahabu n.k), na kwenye kilimo ndio wale BIG 5, sasa umaskini unakuja wapi?. Naanza kuamini kuwa madini ya Dhahabu ni kama laana ktk maeneo mengi Africa, maana maendeleo ya sehemu husika hayafanani na thamani ya dhahabu.
 
1.Ajidhanie amesimama angalia asianguke
2. Aliye juu mgoje chini pamoja na marekebisho yake ....aliyeko juu mfuate hukohuko.
Tungoje takwimu za mwakani.
 
Kwahyo unataka useme nchi kama nchi kwa ujumla haikuathirika kutokana na vita vya kagera?


Kichwa chako kimefuta kumbukumbu ya misaada mingapi ya hali na Mali ilietwa na serikali katika huo mkoa kutoka mikoa mingine...

Kuanzia chakula mpaka mifugo mlipewa na watu kama michango kutokaw mikoa kingine ila bado maskini tuu ... miaka zaidi ya 40 sasa...


Hebu Njoo na kisingizio kingine ...
Kwamba athari za vita ya Kagera athari zake zinafanana Kwa mikoa yote.

Wakati vita vilipigiwa Kagera.

Wilaya ya misenyi karibia yote iliaribiwa vibaya na sehemu za Bukoba halafu unakuja kutuambia utumbo hapa.

We wakati wa vita ulikuwepo Kagera ?

Unajua kuwa raia zaidi ya 1000 waliuawa na wengine kuaribiwa Mali zao na nyumba zao kuchomwa?






MV Bukoba nguvu kazi kubwa ilipotea baada ya raia zaidi ya 1000 kuangamia.
 
Back
Top Bottom