Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

Watu wa kagera mkome kuifananisha kagera na kilimanjaro. Kilimanjaro sio hadhi yenu, nyie mjilinganishe na geita, katavi na rukwa huko.
 
Watu wa kagera mkome kuifananisha kagera na kilimanjaro. Kilimanjaro sio hadhi yenu, nyie mjilinganishe na geita, katavi na rukwa huko.
Vijiji vyote vya Kilimanjaro ni Sawa na wilaya ya misenyi Tu .
Na bado mkoa unawazidi Kwa idadi ya watu na pia population density.

Bado elimu wanawapiga mbali?
Hata kwenye IQ pia wamewazidi mbali.

Kilimanjaro bado Sana Kwa Bukoba
 
Vijiji vyote vya Kilimanjaro ni Sawa na wilaya ya misenyi Tu .
Na bado mkoa unawazidi Kwa idadi ya watu na pia population density.

Bado elimu wanawapiga mbali?
Hata kwenye IQ pia wamewazidi mbali.

Kilimanjaro bado Sana Kwa Bukoba
Usiniletee ngonjera hapa nyie level zenu ni rukwa, katavi, simiyu kilimanjaro sio hadhi yenu. Nenda kapambane na umaskini wa mkoa wenu
 
Usiniletee ngonjera hapa nyie level zenu ni rukwa, katavi, simiyu kilimanjaro sio hadhi yenu. Nenda kapambane na umaskini wa mkoa wenu
Fuatilia uzi wa Bukoba Vs moshi.

Mlivyogalagazwa.



Zunguka moshi nzima nitafutie kijiji kama hiki huko Bukoba
50170708_102473717479762_8096965731290526322_n.jpeg
 
Hizo namba ziko katika unit (kipimo) gani, na zina maana gani.
 
Vijiji vyote vya Kilimanjaro ni Sawa na wilaya ya misenyi Tu .
Na bado mkoa unawazidi Kwa idadi ya watu na pia population density.

Bado elimu wanawapiga mbali?
Hata kwenye IQ pia wamewazidi mbali.

Kilimanjaro bado Sana Kwa Bukoba

Sasa kama vijiji vya Kilimanjaro vinazidiwa na vya Kagera Inakuwaje tena Kagera ni miongoni mwa mikoa maskini zaidi hii nchi ?




Nyie watu sijui mnafikiria kwa kutumia magoti, yaani tambo zenu zinawatoa kabisa ufahamu , unaposema vijiji vya kagera ni vizuri kushinda vya kilimanjaro Ina maana unajitoa ufahamu kujua moja kati ya vipimo vilivyoifanya Kilimanjaro kuwa mkoa wa pili kwa utajiri TANZANIA ni pamoja na kuwa na makazi mazuri .... hilo tuu dogo linakushinda kufahamu mkuu ?
 
Fuatilia uzi wa Bukoba Vs moshi.

Mlivyogalagazwa.



Zunguka moshi nzima nitafutie kijiji kama hiki huko BukobaView attachment 1143101

Basi Hakuna kijiji kama hiki...


Je Kilimanjaro na Kagera upi mkoa maskini ? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Yaani hapo ulipo kaa ulikuwa Kilimanjaro inapambana na Dar es Salam yenye wakazi wengi zaidi, iliyofanyiwa uwekezaji wa matrilioni tangia na tumepata uhuru ikiwa na fursa kibao ...


Lakini Bado Kilimanjaro na Dsm hazijapishana hata kwa 5% kwa mujibu wa hizi takwimu....


Usifananishe Kilimanjaro na huo mkoa wenu wa kimaskini bwana .

Kilimanjaro ni next level , nyie shindaneni na level zenu simiyu, Rukwa n.k
 
Wap wameandika wahaya wanaongoza Kwa umaskini?

Hebu rudia post ya kwanza
Mhhh we bwenga kwani hizo takwimu huzioni?wanachouliza watu humu wahaya wana majivuno sana lakini mbona kwenye data mnaonekana mkoa hauko vizuri kiuchumi????mkiwa mjini mnajishebedua kama vile ninyi mko class 1 kumbe kiuhalisia kalaghabaho tu.
 
Hehehe yaani watu wanaoitetea Kagera wanabisha bila takwimu .


Takwimu zinaonyesha Kabisa Kagera ni mkoa maskini... haupo hata kati ya mikoa 10 yenye ukwasi zaidi ila bado watu wanatunisha meno humu

Wahaya ni wapumbavu na ni kati ya wa majalalani.
 
Fuatilia uzi wa Bukoba Vs moshi.

Mlivyogalagazwa.



Zunguka moshi nzima nitafutie kijiji kama hiki huko BukobaView attachment 1143101

Huwezi linganisha kagera na kilimanjaro kwa makazi bora hata kama ni mlemavu wa akili, hako kapicha ulikoweka kama kweli ni bukoba ni kasehemu kamoja kadogo kukalinganisha na kilimanjaro.
Acheni ubwenga mpige jaramba muwakute wa moshi.

Hata hivyo unachoshindana humu hizi data hawajazileta watu wa kilimanjaro bali NBS. Zina ukweli mtupu
 
Syo anataka iwe bali ndo uhalisia hutaki ishitaki NBS.
Hako kakichaka utakalinganisha na kilimanjaro resort? Dumn shit. Hako panaitwaje bwenga
Huwezi linganisha kagera na kilimanjaro kwa makazi bora hata kama ni mlemavu wa akili, hako kapicha ulikoweka kama kweli ni bukoba ni kasehemu kamoja kadogo kukalinganisha na kilimanjaro.
Acheni ubwenga mpige jaramba muwakute wa moshi.

Hata hivyo unachoshindana humu hizi data hawajazileta watu wa kilimanjaro bali NBS. Zina ukweli mtupu
Nimekwambia hatupo kwenye saloon ya kike tunashona mawigi
 
Back
Top Bottom