Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

Imekuwaje kilimanjaro wamewazidi njombe??? Bado siamini macho yangu?? Kwa kweli nimetembea mikoa mingi Tanzania ila Mkoa wa Njombe unatakiwa uzidiwe na dar es salaam tu
Njombe bado sana, nimeishi huko, watu Wa Njombe bado wapo nyuma sana kifikra, elimu, kimtazamo na pia hawana maji ya kutosha, vijijini nyumba nyingi Njombe zina funza bado, wanalisi wanawake, na kufuata mila na desturi za ajabu. Faida ya Njombe Ni Mkoa unafikika kwa urahisi kila pande kwa kuwa ni mdogo, hari ya hewa inawarahisishia kulima mazao ya biashara na idadi ndogo ya watu, ambayo ni rahisi kupanga mipango. Njombe itaipita Kilimanjaro Kiuchumi, ila haitakaa muda mrefu, maana Mikoa kama Morogoro, Mwanza siku ikichanganya itakua juu kwa fursa nyingi. Njombe na Kilimanjaro ni kama Qatar, Brunei, na Equatorial Guinea zinafaidika na udogo na uwepo wa fursa.
 
Watu wafanye kzi kwa bidii kuendana na mazingira waliyopo,Kilimanjaro watu wake wametumia fursa zinazo wazunguka na kufanya kazi kwa bidii ndio manake hali ya kipato sio mbaya
 
Njombe bado sana, nimeishi huko, watu Wa Njombe bado wapo nyuma sana kifikra, elimu, kimtazamo na pia hawana maji ya kutosha, vijijini nyumba nyingi Njombe zina funza bado, wanalisi wanawake, na kufuata mila na desturi za ajabu. Faida ya Njombe Ni Mkoa unafikika kwa urahisi kila pande kwa kuwa ni mdogo, hari ya hewa inawarahisishia kulima mazao ya biashara na idadi ndogo ya watu, ambayo ni rahisi kupanga mipango. Njombe itaipita Kilimanjaro Kiuchumi, ila haitakaa muda mrefu, maana Mikoa kama Morogoro, Mwanza siku ikichanganya itakua juu kwa fursa nyingi. Njombe na Kilimanjaro ni kama Qatar, Brunei, na Equatorial Guinea zinafaidika na udogo na uwepo wa fursa.
Nakusahihisha sioni njombe kuweza kuipita Kilimanjaro.
 
1. Vita vya kagera vinaizuiaje kagera kuendelea ili hali vita Vimepiganwa miaka 40 iliyopita, isitoshe athari zilikuwa kwa nchi nzima!!

2. Mv Bukoba??... Mv Bukoba imeizuiaje kagera kuendelea ni Sawa na watu wa Dodoma wakwambie ajali ya treni ya Dodoma inazorotesha mkoa kuendelea au kufika mbali zaidi.

3. Kagera sio mkoa unaongoza kwa maambukizi ya ukimwi, mkoa wa njombe zamani iringa Ndio vinara wa maambukizi na wamekuwa wakishikilia hii title kwa muda mrefu Hata kama ukimwi ulitokea huko, hivyo kisingizio hakina maa hiko

4. Sasa kama hii Ndio sababu na mkoa wa Kilimanjaro usingekuwa wa pili kwa ukwasi isitoshe moja ya mazao tegemezi kilimanjaro ni kahawa tokea enzi za ukoloni.


5. Kigoma wasemaje Sasa kama mnalalamikia wakimbizi, isitoshe wakimbizi ni fursa


6. Haina mashiko, uhalifu unafanyika sana Arusha kushinda hapo Kagera



7. Mnyauko haupo kagera tuu Bali hata Kilimanjaro Ila kagera imebaki kuwa maskini


8. Acha utani mkuu kile kitetemeko cha juzi ndicho kifanye kagera kuwa miongoni mwa mikoa 5 maskini zaidi .. umesahau kuwa kabla ya hilo tetemeko kagera ilikuwa ya pili kwa umaskini.

9. Vikwazo vya kielimu kivipi ili hali wahaya wenyeji wa kagera ni moja ya jamii zilizoelimika zaidi TANZANIA!!



Kimsingi hizi sababu zote hazina mashiko uzijumlishe zote kwa pamoja au moja moja hazishawishi kabisa eti mkoa uko karibu na nchi 3 , mvua za kutosha, wasomi kibao ziwa kubwa , mto mkubwa n.k bado uwe miongoni mwa mikoa maskini zaidi TANZANIA...
Nimekuambia unitajie mkoa ambao umepitia yote hayo na bado sio tegemezi na jibu hakuna. Yote inapitia moja tu ama mawili lakini ndio hivyo. Hiyo njombe, Kigoma and the likes Wala hakuna yenye uafadhali katika umaskini kwa sababu ya hayo majanga mawili au moja ambayo yote yamekuwa experienced na Kagera ama zaidi

1. Mkoa wa Kagera ndio uliathirika zaidi na Vita ya Kagera kuliko mikoa yote Tanzania kwa sababu huo ndio ulikuwa mpakani. Waulize waliokuwa hai Kipindi hicho wakuambie Kama Kuna bom la Idd amini lilifika Kilimanjaro na hapa hujaongelea long term effects za ile Vita kwa Kagera Ni Kheri ungekaa kimya

2. Hujui athari za ukimbizi Sasa sijui shule ulienda kusomea Nini

3. Unasema ajali ya mv bukoba haikuwa na impact. Kafuatilie wafanyabishara na mali zilizoteketea mule

4. Kagera iliwekewa vikwazo vya kupandishiwa viwango vya ufaulu ukilinganisha na mikoa mingine ili kupunguza wahaya katika taasisi za elimu ili kuleta balance. Miundombinu kaulizie Bukoba imepata lini barabara tu ya kuiunganisha na wilaya au mikoa mingine ya Tanzania na uje uongee zaidi mkuu

5. Kuhusu virusi vya ukimwi kaulizie Ni jamii gani watu waliathirika kwa wingi kwa ugonjwa huo ambao Ulishamiri Uganda na fact kuwa Kagera haimo katika mikoa inayoongoza kwa ugonjwa huo kwa Sasa Ni ishara kuwa watu wa huko wanajielewa katika kucontrol issue Kama hizo

6. Unasema kuhusu tetemeko. Hivi ulidhani vyombo vya kimataifa vilifanya coverage kijinga au hujui hata kusoma intensity ya tetemeko. Or unadhani ile misaada iliyotumwa Kila Kona ilikiuwa kwa ajili wa kufanyia Harusi huko Kagera

Nimechoka kuandika maana Nilichokiona kwenye comment yako Ni kuwa umejiandaa kubisha tu and nothing else. Kasome historia vizuri maana HUJUI KITU ZAIDI YA USHABIKI
 
Kingine watu wa kagera matajiri hawajengi vijijini kwao Kama watu wa Kilimanjaro .Kilimanjaro nyumba nyingi nzuri vijijini Ni za wachaga waliosambaa kila Kona ndani na nje ya nchi.Mhaya anapopata riziki ndio kwake hawajengi kwao vijijini
Mkuu ukichukua wahaya wote na ukawaweka katika mkoa mdogo Kama Kilimanjaro ungeweza kuiona impact yake. Matajiri wa kihaya hawatokei Bukoba peke yake Bali wamesambaa katika wilaya tofauti tofauti ambazo Ni kubwa kieneo.

Nimetembea Tanzania hii kwa kiasi Fulani na umaskini niliouona vijijini ndipo nilikubali kabisaa kuwa Kagera imeendelea kwa vijiji
 
Nawambiaga Sana mashemu zangu wa moshi kwamba hiz takwimu zisiwape viburi.

Kagera ilikuwa ya tatu sasa ya kumi na moja rukwa umaskini umeongezeka.

Ni vichekesho eti Dodoma inazidi mwanza maendeleo
Mm nimeishachoka kubishana na watu wa moshi hv dodom hii ninayoijua mm kuanzia kondoa, kogwa,bahi, mpwapwa ndo wawazidi mkoa wa mwanza au kagera takwimu za waafrika bwana cjui uwa wanatumia parameter zipi kufikia conclusion.
 
Nimekuambia unitajie mkoa ambao umepitia yote hayo na bado sio tegemezi na jibu hakuna. Yote inapitia moja tu ama mawili lakini ndio hivyo. Hiyo njombe, Kigoma and the likes Wala hakuna yenye uafadhali katika umaskini kwa sababu ya hayo majanga mawili au moja ambayo yote yamekuwa experienced na Kagera ama zaidi

1. Mkoa wa Kagera ndio uliathirika zaidi na Vita ya Kagera kuliko mikoa yote Tanzania kwa sababu huo ndio ulikuwa mpakani. Waulize waliokuwa hai Kipindi hicho wakuambie Kama Kuna bom la Idd amini lilifika Kilimanjaro na hapa hujaongelea long term effects za ile Vita kwa Kagera Ni Kheri ungekaa kimya

2. Hujui athari za ukimbizi Sasa sijui shule ulienda kusomea Nini

3. Unasema ajali ya mv bukoba haikuwa na impact. Kafuatilie wafanyabishara na mali zilizoteketea mule

4. Kagera iliwekewa vikwazo vya kupandishiwa viwango vya ufaulu ukilinganisha na mikoa mingine ili kupunguza wahaya katika taasisi za elimu ili kuleta balance. Miundombinu kaulizie Bukoba imepata lini barabara tu ya kuiunganisha na wilaya au mikoa mingine ya Tanzania na uje uongee zaidi mkuu

5. Kuhusu virusi vya ukimwi kaulizie Ni jamii gani watu waliathirika kwa wingi kwa ugonjwa huo ambao Ulishamiri Uganda na fact kuwa Kagera haimo katika mikoa inayoongoza kwa ugonjwa huo kwa Sasa Ni ishara kuwa watu wa huko wanajielewa katika kucontrol issue Kama hizo

6. Unasema kuhusu tetemeko. Hivi ulidhani vyombo vya kimataifa vilifanya coverage kijinga au hujui hata kusoma intensity ya tetemeko. Or unadhani ile misaada iliyotumwa Kila Kona ilikiuwa kwa ajili wa kufanyia Harusi huko Kagera

Nimechoka kuandika maana Nilichokiona kwenye comment yako Ni kuwa umejiandaa kubisha tu and nothing else. Kasome historia vizuri maana HUJUI KITU ZAIDI YA USHABIKI

Hakuna sababu yeyote uliyotaja yenye mashiko zaidi ya visingizio vya hapa na pale...


Hivi nyie wana kagera mkipewa ukame uliopo singida si mngekuwa jamii maskini zaidi duniani.. kwa sababu hizi za kipuuzi unazozitaja !!


Mkoa wenu ukitaka maji yapo , samaki wapo , Ardhi yenye rutuba ipo , bado kagera ni kitovu cha biashara na Uganda , Rwanda na Burundi bila Kusahau shule kibao zimejengwa kagera kuanzia enzi za mkoloni mpaka sasa...


Unaulizwa sababu eti tetemeko la ardhi la mwaka juzi 🤣🤣🤣


Nyie kweli mnazingua , na ubaya zaidi hamtaki kukubali kuna shida huo mkoa , mnabaki kuleta visingizio eti ajali ya Mv Bukoba Ndio imewafanya muwe kati ya mikoa maskini
 
Mkuu ukichukua wahaya wote na ukawaweka katika mkoa mdogo Kama Kilimanjaro ungeweza kuiona impact yake. Matajiri wa kihaya hawatokei Bukoba peke yake Bali wamesambaa katika wilaya tofauti tofauti ambazo Ni kubwa kieneo.

Nimetembea Tanzania hii kwa kiasi Fulani na umaskini niliouona vijijini ndipo nilikubali kabisaa kuwa Kagera imeendelea kwa vijiji

Tunaongelea umaskini kwa ujumla Hakuna cha vijiji wa miji
 
Hakuna sababu yeyote uliyotaja yenye mashiko zaidi ya visingizio vya hapa na pale...


Hivi nyie wana kagera mkipewa ukame uliopo singida si mngekuwa jamii maskini zaidi duniani.. kwa sababu hizi za kipuuzi unazozitaja !!


Mkoa wenu ukitaka maji yapo , samaki wapo , Ardhi yenye rutuba ipo , bado kagera ni kitovu cha biashara na Uganda , Rwanda na Burundi bila Kusahau shule kibao zimejengwa kagera kuanzia enzi za mkoloni mpaka sasa...


Unaulizwa sababu eti tetemeko la ardhi la mwaka juzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Nyie kweli mnazingua , na ubaya zaidi hamtaki kukubali kuna shida huo mkoa , mnabaki kuleta visingizio eti ajali ya Mv Bukoba Ndio imewafanya muwe kati ya mikoa maskini
Singida sio jangwa Ni semi-arid na ndio maana Kuna lakes kabisaa pale yaani hawatumii OASIS. Pili udongo wao una rutba Sana na ndio maana hata viazi, alizeti na vitunguu vinakuzwa pale.

Kwa ujumla tu hakuna mkoa Tanzania ambao hauna fursa za kuendelea na hata hiyo dodoma Kuna wilaya ambazo Kama bahi zinazozalisha mahindi.

Inshort Hakuna mkoa uliopata majanga Kama Kagera Tena kwa mfululizo for years na bado wananchi wake wasiwe wategemezi na ushauri wa bure. Anza kutembea hata uijue nchi yako na achana na habari za kusimuliwa
 
Tunaongelea umaskini kwa ujumla Hakuna cha vijiji wa miji
Unajua Tanzania ipo urbanized kwa kiasi gani na umaskini upo wapi zaidi Kati ya miji na vijijini ??..

Huijui Kagera na hujawahi hata kufika na ngoja nikuambie tu , Kagera kwa kiasi kikubwa Ni vijiji ambavyo bado watu wanaishi traditional. Kiufupi Kagera ya kweli Ni vijiji na sio miji ambayo hata haujafikia 40% ya mkoa mzima.

Kingine wewe Ni mjuaji wa vitu usivyovijua and I rest my case. Endelea kubishana na wengine
 
Mikoa mitano?

Hebu tazama takwimu vzr Kwanza.

Asilimia ni 31.


Hata haipo top ten Acha kukurupuka mkuu


Lakini pia Kagera ndo mkoa wa tatu Kwa idadi ya watu nchini vip mbona watu wanapenda kukaa kwenye mkoa wa maskini? Kama unavyoainisha wew.


Kimpangilio sasa mikoa maskini ni

1.Rukwa 45%
2.simiyu 39%
3.lindi37%
4.Geita37%
5.mwanza36%
6.kigoma35%
7.Tabora34%
8nk

Kagera ya 11 huko


Tulia usome takwimu vzrView attachment 1142522
Jitetee weeeee ila kagera ni mijigambo tu si lolote sii chochote
 
Singida sio jangwa Ni semi-arid na ndio maana Kuna lakes kabisaa pale yaani hawatumii OASIS. Pili udongo wao una rutba Sana na ndio maana hata viazi, alizeti na vitunguu vinakuzwa pale.

Kwa ujumla tu hakuna mkoa Tanzania ambao hauna fursa za kuendelea na hata hiyo dodoma Kuna wilaya ambazo Kama bahi zinazozalisha mahindi.

Inshort Hakuna mkoa uliopata majanga Kama Kagera Tena kwa mfululizo for years na bado wananchi wake wasiwe wategemezi na ushauri wa bure. Anza kutembea hata uijue nchi yako na achana na habari za kusimuliwa

Mhhhh sasa vita ilichangiaje kagera kuwa maskini?ukimwi nao je?,mv bukoba nayo je?
Acha pumba tunajua bukoba wao wanaendekeza sana libeneke ndo maana hawataki kufanya kazi
 
Hakuna sababu yeyote uliyotaja yenye mashiko zaidi ya visingizio vya hapa na pale...


Hivi nyie wana kagera mkipewa ukame uliopo singida si mngekuwa jamii maskini zaidi duniani.. kwa sababu hizi za kipuuzi unazozitaja !!


Mkoa wenu ukitaka maji yapo , samaki wapo , Ardhi yenye rutuba ipo , bado kagera ni kitovu cha biashara na Uganda , Rwanda na Burundi bila Kusahau shule kibao zimejengwa kagera kuanzia enzi za mkoloni mpaka sasa...


Unaulizwa sababu eti tetemeko la ardhi la mwaka juzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Nyie kweli mnazingua , na ubaya zaidi hamtaki kukubali kuna shida huo mkoa , mnabaki kuleta visingizio eti ajali ya Mv Bukoba Ndio imewafanya muwe kati ya mikoa maskini
Unaongea kiushabiki Sana bila facts
 
Unajua Tanzania ipo urbanized kwa kiasi gani na umaskini upo wapi zaidi Kati ya miji na vijijini ??..

Huijui Kagera na hujawahi hata kufika na ngoja nikuambie tu , Kagera kwa kiasi kikubwa Ni vijiji ambavyo bado watu wanaishi traditional. Kiufupi Kagera ya kweli Ni vijiji na sio miji ambayo hata haujafikia 40% ya mkoa mzima.

Kingine wewe Ni mjuaji wa vitu usivyovijua and I rest my case. Endelea kubishana na wengine

Unachokataa ni nini sasa [emoji28]

Kagera sio maskini?

Maana unarukaruka tuuu ooh mara kagera imeendelea kijijini ooh mara asilimia kubwa ya Kagera ni vijiji ... Sasa kama hii ni hoja yako kuwa Kagera imeendelea zaidi kijijini na asilimia kubwa ya Kagera ni Kijiji inakuwaje tena hiyo hiyo Kagera ni miongoni mwa mikoa maskini zaidi hapa nchini ?
 
Mhhhh sasa vita ilichangiaje kagera kuwa maskini?ukimwi nao je?,mv bukoba nayo je?
Acha pumba tunajua bukoba wao wanaendekeza sana libeneke ndo maana hawataki kufanya kazi

Huyu jamaa anahisi hii nchi ameishi au anaishi hapa Tz peke yake?


Sasa hapa anataka kutuaminisha kuwa singida ni sehemu nzuri sana yenye mvua za kutosha kama Kagera 🤣🤣🤣



Hiyo Kagera ingekuwa Semi arid kama Singida si wangekuwa maskini wa kwanza Duniani
 
Back
Top Bottom